Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu tupo pamoja
Una habari zozote za boss wako Masingeli?
Ila humu jukwaani hakuna mtu mwenye machale kumshinda Masingeli, ukiona Masingeli siku moja au mbili kabla ya mechi na matchday inafika hajapost chochote humu tambua kua Masingeli kashanusa harufu ya kipigo.
Hivyo nyinyi chawa wake mnatakiwa mlistukie hilo mapema sana kabla ya kuanza kuropokwa humu
 
A part from "tunabeba EPL this season" ni jokes gani umewai sikia fan wa Arsenal akisema
View attachment 2964298
Kuna kale kamsemo kao wakati ligi inaanza wanasema "Tunaenda kudominate league miaka 10+ consecutively"
Ikifika April hako kamsemo hukasikii tena humu zaidi ya matusi.
Wazee wa phase 4 hua wananifurahisha sana kila msimu wakati ligi inapoelekea ukingoni
 
Duuuuuuu!!! Granit Xhaka anaakili sana, akaona ebu ngoja niwapishe hawa watoto ambao siku zote hawakui. Ona sasa jana Liverkusen wanachukua ubingwa kwa mara ya kwanza kabisa na Xhaka ndani ya nyumba. Congratulations to Granit Xhaka he deserves the Bundes Liga Trophy.
 
Mchambuzi nguli sijawasiliana nae kitambo kidogo ila namuona Sana online, means that yupo okey.

#hamtaamini
 
Arteta anakuambia kama hii loss moja itatuzuia kuinuka na kupambana then hatukustahili kua mabingwa from the beginning.

Hapa ishu siyo sisi. Ishu ni aliye juu yetu.

Atagrant same favour ya kupoteza game kizembe?

Dafuq did we do?

Bayern nao waseme ok hatupo kwenye ligi tunafocus na CL. Mbona tunarudia same mistakes?

Punda kabisa
 

 
Kule kwa akina Hitler mutaenda kupakuliwa haswa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kosa letu kubwa tulilofanya kama Arsenal fans ni kuwa na timu bora iliyotesa sana Nyumbuz, Kengez na Kukuz (hawa kukuz hatuna beef nao ila wao wanataka beef na sisi). Sasa kuwa na timu nzuri imetuletea balaa mtaani mpaka mitandaoni. Tunachekwa na kuandamwa tukitoa sare na tukifungwa ndiyo kabisaaaa hatupumui.
Jamani, nyumbuz na kengez, hatujawanyima kujiunga na chama kubwa, wababe wa ligi, ze ganaz. Njooni tu huku muepuke mateso ya huko kwenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…