Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hivi vitu tusichukulie kiwepesi.

Inakuja timu unaipiga 6 bila mwenzako yupo nayo 1 - 1
 
Kwa watu wengi, miaka 18 to 21 growth plates zinakoma. Lakini Physiology hiyo hiyo, inatwambia it is "NOT UNLIKELY" kwa baadhi ya watu, kuendelea kukua.

Details zipo mitandaoni, hapa ni wakati Chelsea wanaandika kuhusiana na usajili wake kwenye official website yao, mwaka 2020 akiwa na 21y


Hapa 2024, official website ya EPL




So ni jambo linalojulikana kwamba Kai, amerefuka takribani 6cm tangu alipotoka Ujerumani mpaka sasa hivi.
 
Mashabiki ya Manyumbu yametupiga mkwala sana hapa mtaani. Yanasema na sisi kilichomkita Liver kinatusubiri.

Yanadai, hawamkatazi Liver au Arsenal kubeba ndoo, ila sio kwao
 
Klopp on United-Arsenal:

"If they play like they did today, [Arsenal] win that game. Sorry."
 
Ki

Kifupi ubovu wa kai unafichwa na matokeo ya arsenal.
Kai ana matatizo mengi kuliko mazuri yake.
unatakiwa uwe unajua sana movement za mpira na kazi za mchezaji uwanjani ili utambue kuwa kwa sasa pale mbele arsenal front three kai ndio mchezaji bora zaidi,bila yeye tungekuwa tuna mbele mbwela
 
unatakiwa uwe unajua sana movement za mpira na kazi za mchezaji uwanjani ili utambue kuwa kwa sasa pale mbele arsenal front three kai ndio mchezaji bora zaidi,bila yeye tungekuwa tuna mbele mbwela


Anatakiwa ajue angekuwa CF Jesus tungekuwa tunambwelambwela tu,

Hata mechi tulizopoteza nyingi ni zile ambazo Kai alicheza kama LCM ,
 
Tumekula ng'ombe mzima umebaki mkia, arsenal msiniangushe.
 
Manjesta ni timu mbovu sana ,

Jürgen Klopp:

"Arsenal is a good football team. If they (Man Utd) play like they did today they (Arsenal) will win the game. I am 100% sure of that." @sistoney67
 
Arsenal mkitoka na point 9 Kwa hizi game + game za UEFA basi PL Ni yenu...

Against spurs
Against Chelsea
Against man utd ..

Kudadeki hapa lazima point zidondoke ,kwa kupenda au kutokupenda ....Ni swala la muda tu
 
Arsenal mkitoka na point 9 Kwa hizi game + game za UEFA basi PL Ni yenu...

Against spurs
Against Chelsea
Against man utd ..

Kudadeki hapa lazima point zidondoke ,kwa kupenda au kutokupenda ....Ni swala la muda tu
Nendeni kilingeni kqbisa mkaloge...tukishakutqngulia goli hilo halirudi...case study City na Brighton...hawa wanafanya build up vzuri ila mmoja mchezaji wao bwana Akanji alalamika kabisa kwmba hawa wanacheza mpira wa kihuni🤣🤣..na jana yule kocha wa Brighton akasema si aibu kufungwa na Arsenal maana wanakaba roba za mbao hawa jamaa....sasa nyiny mashabiki maandazi endeleeni na ramli....mechi ngumu ni Spurs...hawa mafala tukiwabonda...ubingwa muusahau
 
Moja ya penalt mbovu ya diving ya wazi kabisa ni hii ya leo ya bissaka vs elliot hiivi hii VAR kuna muda mbn inakuwa ya kiboya sana
 
Hawa Kenge na manjesta Hawa ni points 6 za Bure kabisa


Mechi yetu ngumu ni away vs Spurs ,hiyo mechi tukishinda Arteta atashangilia sana




| Average expected goals (xG):

Sheffield Utd (1.53) 2-2 (0.44) Chelsea

[@xGPhilosophy]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…