Kweli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2007
- 1,152
- 304
Sio mchezo!
Kweli mpira ni addiction, na kama ni mpenzi wa Arsenal? Basi wewe hata kukaa haiwezekani, karoho kako juu mno!
Natumaini mli enjoy game kama mie.
NEXT?!
Hiyo next wala sitaki kuifikiria kwa leo nikifikiria difensi yetu hii ya kuunga-unga na nikimuangalia Mr. Misifa Adebayor nafikiri Spurs watatusumbua sana.
Yaani leo tumeshinda lakini tumecheza ovyo kidogo yaani tulikuwa tunapoteza possesion kijinga ila sema wapinzani wenyewe nao walikuwa siwo na pengine kwa vile Prof. alikuwa juu.
Tunahitaji kuwa makini sana J'pili.