Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tupo, kwa kuonekana na ki "anonymous"!

Angalieni manguli msije mkakimbia nyie! Sie tuko calm kabisa!
Hata mioyo haitudundi wala nini!
 
welcome to White Hart Lane....so who is the Lord of North London, we're about to know.
 
welcome to White Hart Lane....so who is the Lord of North London, we're about to know.

Kwa kiwango chetu, Spurs wana probability kubwa kuwa the Lord of North London......kwakuwa ni Football, let's wait if they will be OR we will be----
 
Tupo, kwa kuonekana na ki "anonymous"!
Angalieni manguli msije mkakimbia nyie! Sie tuko calm kabisa!
Hata mioyo haitudundi wala nini!



Dalili za uoga hizo, come out and be counted! Unakuwa kama coward Wacha!
 
Dah.....naingia home tu... naona boko la Song.............
 
Acha unaa bana.........

Arsenal Team in full: Szczesny, Sagna, Mertesacker, Song, Gibbs, Coquelin, Arteta, Ramsey, Walcott,Gervinho, Van Persie.

Substitutes: Fabianski, Jenkinson, Andre Santos, Frimpong, Benayoun, Arshavin, Park.

Mkuu hapa tusikilizie kama tunachomoka au la...naona yahoo wanasema we are weaker than Spurs
 
Mkuu hapa tusikilizie kama tunachomoka au la...naona yahoo wanasema we are weaker than Spurs
Binafsi niko tayari kwa lolote kama ilivyo kwa CCM kule Igunga......

Mpira mara zote ni kushinda kushindwa ama sare/suluhu
 
Hii game naona kama Comfo dogo kiasi kwa upande wetu......koz pasi famba mingi sana.....
 
Ukishinda huwa unakua Mwingi sana.....hahahahahahaaaaa.....mambo vp PISS- ANT????
Huwa analowa mpaka anatia huruma.......Anapotea(ga) kabisa jamvini.......

Bora hata die harder bin shetwan Manda.....Yeye anakomaa mwanzo mwisho hata wafungwe vipi
 
Back
Top Bottom