Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nnimesikia Pundit mmoja na mtangazaji anasema defence ya arsenal iko kama greek economy. Je ni kweli the gunners wenzangu. Hiyo greek economy ikoje ?
 
So far so good ukizingatia uzoefu mdogo wa Santos - Chamberlain na Frimpong bado tuko poa , tukiweza kupunguza kona na free kick naona hii mechi tutashinda.
Chamakh kama kawaida yake sijui kapatwa na nini? Arshavin naye anapoteza mipira kizembe kabisa na ni mvivu kurudi kusaidia ulinzi.
 
Nnimesikia Pundit mmoja na mtangazaji anasema defence ya arsenal iko kama greek economy. Je ni kweli the gunners wenzangu. Hiyo greek economy ikoje ?
Ni kwamba mamilioni ya euro yanamiminwa kuinua huo uchumi lakini hakuna dalili ya kuinuka.
 
Breaking news away from tonight's action, Carlos Tevez has been suspended by Man City pending an investigation.

source hapa
 
Inakuaje wadau????? Naona tunaongoza.....Najipa Hongera mie mwenyewe nayi pia.....hata Haterz hongereni kwa kuwa pamoja nasi....
 
Inamaana ni kudefend haka kagoli?????? naona GIBS anaingia na kutoaka Arshavin......
 
Inakuaje wadau????? Naona tunaongoza.....Najipa Hongera mie mwenyewe nayi pia.....hata Haterz hongereni kwa kuwa pamoja nasi....

Mkuu huu ushidi wa 2-1 kwa sasa mfinyu sana ila so far so good
 
zamani tulikuwa tunasema mashabiki wa arsenal binyeni mapu***** jamaa wasisawazishe
 
Sio mchezo!
Kweli mpira ni addiction, na kama ni mpenzi wa Arsenal? Basi wewe hata kukaa haiwezekani, karoho kako juu mno!

Natumaini mli enjoy game kama mie.

NEXT?!
 
Marseille wamewapiga BD 3 mtungi.....This means a win against Marseille is inevitable......Hahahahahaaaaaa......(Vumilia joto la bakery ule mkate wa Moto by Inspector) Ilikua tabu at the start na sasa atleast nalala kwa furaha.....Bado T'Ham.....
 
Back
Top Bottom