Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Reis neilsson aongeze juhudi, la si hivyo arsenal nae vitakuwa maji na mafuta
 
Profile ya Kai as namba 9, ni tofauti na traditional namba 9. The likes of Osimnhen na wengine. Na ndo maana tunahusishwa na kusajili striker mwingine kwa ajili ya next season. Lakini, najua haya yote unayajua.
Najua, hii haizui tusijadili boli, ni kawaida kusungumzia kitu kilichopo.
 
Kai msimu wake bora kabisa akiwa Chelsea alikua na goli na assists ambazo hapo Arsenal kazifikia mwezi uliopita.

Nafikiri bado hajafika mwisho, ila alipo ni pazuri kuliko nyakati za mwanzo. Tumsubiri
 
Kai, kai, kai.. jwangu bado, anakosa sifa za kuwa namba 9. Bado ana makosa mengi, matokeo ya timu kiujumla yanaficha aibu zake.

Kwangu kai HAPANA.
Arteta aache kukariri. Kuna mechi za kashi kashi zinazomhitaji Kai, mfano wa mechi za City na Liverpool. Lakini game open kama hizi ambazo unategemea mpinzani awe anazuia muda mwingi, inapaswa uanze na natural 9.

Kwa leo ilipaswa aanze Nketiah au Jesus.
 
Back
Top Bottom