Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hii arsenal itatupa ugonjwa wa kisukari Tusipokua makini

4g+ ndio zinaanza Leo rasmi, big games zote tumezimaliza
Screenshot_20240403-212741.jpg
 
Odegaard.. 😂 akili nyingi sana kichwani, unyumbulifu mkubwa sana, miaka miwili mbele arsenal ikiwa inabeba makombe makubwa namuona kwenye tuzo kubwa.
 
Nazungumzia mpira ninavyouona, ajabu nini mkuu?
Profile ya Kai as namba 9, ni tofauti na traditional namba 9. The likes of Osimnhen na wengine. Na ndo maana tunahusishwa na kusajili striker mwingine kwa ajili ya next season. Lakini, najua haya yote unayajua.
 
Leo tunacheza kwa kuhifadhi nguvu. Labda tunaona mechi ya jumamosi ni ngumu zaidi
 
Back
Top Bottom