Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hopeless fc
Hamchukui kombe lolote msimu huu
Mnamaliza 3rd position means next season mnamaliza 4th position

Overlap, overload, aerial duel won ndio kitu mutabeba.

UKWEL MCHUNGU HUU.
HOPELESS FC, Chelsea atarudi aichukue EPL na UEFA nyie bado mkiwa na style of playing na takataka nyingne kama kawaida yenu
Mkuu usimzungumzie mgonjwa chelsea maana ni timu ndogo usishangae ukaikuta league1 baada ya misimu mi3 mbele chelkenge na nyumbu kati yenu kuna mmoja ana ugonjwa wa cancer mwingine Ana HIV
 
Sasa nimeelewa kwa nini wanalalamika sana juu ya HARAMU football tuliyoitandaza pale EMPTYHAD kwa mashabiki wa zamani wa Barcelona na Plastic fans.

N hivi, niggers huwa wana enjoy sex football ikiwa na magoli mengi tunalolipiga. So walikuwa wanalisubiri kwa hamu. Jinsi tunavyo overload kiungo, positional play za Kai, Zinny ku-invert ndani na kadhalika.

Sasa, badala ya kuikosa hii, ndo malalamiko yamekuwa mengi. Tuwaondoe shaka, sexy football inarudi tena kesho dhidi ya Luton na umbwa yeyote anayekatiza mbele.
 
Chuma kinanikosha sana hiki, bahati mbaya nyota yake ni kama yangu tu hazing'aai, kaka.jambazii
FB_IMG_17083649212955179.jpg
 
ww bado uko fc porto ? Unatukumbusha mambo ya fc porto ?

mbna unachelewa hvo? wenzako wanahama timu kila siku ,

walikuwa porto wakaona ngumu wakahamia Brentford bado mambo magumu

jana waka hamia cty mambo ndio magumu zaid .. wenzako sasa hv wamehamia buyen munich . wanasubir arsenal afungwe ..
mimi nachojua mwisho wa msimu nyie mnatoka bila kombe lolote hata mzifunge timu zote ila mwisho wa msimu mtabeba hii tu.
1684668666345.jpg
 
Of course Manyumbu na Chelkenge hawastaili hata salamu ila ndo hvyo tunaenda nao kuwafariji tu ila walitakiwa wavamie majukwaa ya kina Fulham huko ndo wakabishane nao maana hzo ndo level zao sasahvi
Haki ya Mungu na hapa mjabeba ubingwa Mungu atakuwa mkatili sana akiwaacha mbebe ubingwa.

Lakini ukuu wa Mungu ni wa ajabu nyie nyie kitu yenye mnaweza kubeba ni hii tu
1684668666345.jpg
 
Partey atumaluzie hizi games 9 za mwisho, ndoo zinaingia pale arsenalView attachment 2950562
Angekuwa Martinelli nafasi aliyopo Trossard kwa spidi yake angeweza kushinda.

Hata hivyo hatuwezi kumlaumu Trossard moja kwa moja kwa sababu sio rahisi kuona nafasi aliyopo Martinelli na muda haukusubiri wewe.
Pia inataka ufikiri wa haraka sana.

Na mpira ndio ulivyo kuna nafasi ya kufanya makosa.

Kama ile chance aliyotengeneza Saka kwa Jesus, mpira uliwekwa at a right time but Jesus hakuwa katika right place at the time mpira unapita.
Snapinsta.app_434422258_1496544950894799_1556707301360506551_n_1080.jpg
 
Kabisa. Pale ilikuwa ni first time cross sema pia hatukuwa tayari kisaikolojia kwa move kama ile. Trossard hata hakuangalia pembeni kama Martinelli amepanda
Mashabiki ya Chelkenge na Manyumbu huwa Kila yakiandika hmu ndani yanaweka na picha...hii ni kuonesha yalivyo desperate kuona tunaanguka ila ndo hvyo tena tunazidi kusonga...bahati mbaya sana kwao second leg kule Allianz Arena braza Timber atakuwa yupo benchi anasubiri kuingia dk ya 80 kupaki kontena pale mbele ya goli letu tukiwa tunaelekea nusu fainali🤠🤠🤠...
 
Arteta on Saka: “He's fine. We haven't trained, we've recovered and there will be a short, light session to prepare for the game.

“We will see if he's in the best condition to start or not.”

On Martinelli: “He is [available to play for 90 minutes] because he was available to play against a really tough opponent and he certainly is today.

“We will train today, see the state of every player and make the right decision tomorrow.”
 
Sasa nimeelewa kwa nini wanalalamika sana juu ya HARAMU football tuliyoitandaza pale EMPTYHAD kwa mashabiki wa zamani wa Barcelona na Plastic fans.

N hivi, niggers huwa wana enjoy sex football ikiwa na magoli mengi tunalolipiga. So walikuwa wanalisubiri kwa hamu. Jinsi tunavyo overload kiungo, positional play za Kai, Zinny ku-invert ndani na kadhalika.

Sasa, badala ya kuikosa hii, ndo malalamiko yamekuwa mengi. Tuwaondoe shaka, sexy football inarudi tena kesho dhidi ya Luton na umbwa yeyote anayekatiza mbele.
Na kazia,,, "na umbwa yeyote anayekatiza Mbele"
 
Timu nzima iko Full sasa ni wakati wa kurusha jezi juu, Partey,Rice na Jorginho nani adake mapema jezi ili akamate Dimba

Tomy,kiwior na Zinny nan adake jezi mapema acheze LB

Kai,jesus na Nketia nan adake jezi mapema acheze 9

Kai,Vieira,rice,smith nan adake jezi mapema acheze LCM

Nawaone huruma ambao bado hawajapitishiwa Msalaba wa Jumuiya kila nyumba utapita tu..
 
Newcastle: twende mbele kidogo...turudi nyuma kidogo...

Hawa jamaa hawaitaki tena ulaya?
Kuna yle mjinga alokuwa anatujazia nzi hmu ndani tangu mwanzo wa msimu nilimuambia Hilo ni genge la wavuta bangi sio timu ya mpira...akawa anakaza shingo hmu ndani....aibu alonayo sasahvi hata kuja kusalimia tu anaona haya...hii yte ni kufata akili za nyumbu kama Flano...ndo akafikia hapq
 
Timu nzima iko Full sasa ni wakati wa kurusha jezi juu, Partey,Rice na Jorginho nani adake mapema jezi ili akamate Dimba

Tomy,kiwior na Zinny nan adake jezi mapema acheze LB

Kai,jesus na Nketia nan adake jezi mapema acheze 9

Kai,Vieira,rice,smith nan adake jezi mapema acheze LCM

Nawaone huruma ambao bado hawajapitishiwa Msalaba wa Jumuiya kila nyumba utapita tu..
unyama sana
umeflow ki-hihop hivi
Newcastle: twende mbele kidogo...turudi nyuma kidogo...

Hawa jamaa hawaitaki tena ulaya?
ulaya ndo hawaitaki nyukesto
 
Back
Top Bottom