HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
Hata mimi enzi zangu za kucheza 11 na 10 halafu nilikuwaga sprinter, ningewaambia wanipitishie tu upande wa Lewis nitoke nduki. Nisingekosa goli 1 na assists mbiliRudisha miaka 10 nyuma, nikiwa kwenye prime huyu dogo Lewis ndio ingekua njia yangu

