Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Rice bado ni mchezaji ambaye bei yake haitozungumziwa. Tunakosa Fluid movement ya transition kwakua Kai anakua chini au mbali na mwenye mpira ila kutransition kwa pamoja.

Jorginho yupo kwaajili ya vision na pasi ila hakuna runs za msingi kutoka kwa forwards zetu. City wana huyu kipa namba 2 na hatujaamua kumjaribu why?
Kipa wa City ni kama hana kazi leo kwa sababu tunacheza bila kushambulia vilivyo. Huyu City tunatakiwa kumchukulia kama West Ham tu.
 
Rice bado ni mchezaji ambaye bei yake haitozungumziwa. Tunakosa Fluid movement ya transition kwakua Kai anakua chini au mbali na mwenye mpira ili kutransition kwa pamoja.

Jorginho yupo kwaajili ya vision na pasi ila hakuna runs za msingi kutoka kwa forwards zetu. City wana huyu kipa namba 2 na hatujaamua kumjaribu why?
Jorginho wana mpin wachezaj wawili asipate mpira kama umeangalia vzr kwaiyo hata kupokea mpira ni ngumu sana kwake
 
Ian Wright na Shaun Wright-Philips wanapiga punditry pamoja. Safi sana hii.
 
nimewahi sema humu arsenal play style yake kama yanga watu wakaleta ohh usifananishe arsenal na taka taka nope

in football context wise hizi ni timu changa zenye kule changamoto kubwa kwenye soka la kisasa

just imagine tactic za leo na jana yanga mwache Professional akae na mali unakuwa deep back then your proper midfield na backline wote wanaenda kwa phase pattern ya ukabaji bora (kukabia juu) ukiwa na discipline yakutafuta mwanya wa kumuazibu through balls long balls counter plus kufunguka kwa mpinzani inaleta possibilities ya ku kill the match mapema.

soo far hamna hamna leo draw in which ita mfavor arsenal toward
title race vs Liverpool ahead
 
Kilio changu kimesikika au uwezo wa kuona mpira unafanana na Arteta

Partey in

Bado martinel kuingia

Hii game city anakufa
 
Back
Top Bottom