HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,643
- 7,073
Kipa wa City ni kama hana kazi leo kwa sababu tunacheza bila kushambulia vilivyo. Huyu City tunatakiwa kumchukulia kama West Ham tu.Rice bado ni mchezaji ambaye bei yake haitozungumziwa. Tunakosa Fluid movement ya transition kwakua Kai anakua chini au mbali na mwenye mpira ila kutransition kwa pamoja.
Jorginho yupo kwaajili ya vision na pasi ila hakuna runs za msingi kutoka kwa forwards zetu. City wana huyu kipa namba 2 na hatujaamua kumjaribu why?


