Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Msimu ujao Uefa tuko pamoja kama kawaida halafu Arsenyau mnaishia kutuona wachawi, kumbe sisi wenzenu tuko vizuri kusolve hesabu za Algorithm.
Nitamuona kipara Baba Ubaya genius ikiwa atamaliza top 4...Villa na Tottenham wakikubali kuachia hilo gepu watakuwa ni wajinga kwlikwli...nyny sasahv kwa kile kikundi chenu hata europa haiwafai mtaenda kutuaibisha tu...mlitakiwa mkakipute kule Conference league kabisa na kina Stuttgart
 
Nitamuona kipara Baba Ubaya genius ikiwa atamaliza top 4...Villa na Tottenham wakikubali kuachia hilo gepu watakuwa ni wajinga kwlikwli...nyny sasahv kwa kile kikundi chenu hata europa haiwafai mtaenda kutuaibisha tu...mlitakiwa mkakipute kule Conference league kabisa na kina Stuttgart
Wewe na Masingeli Baba Ubaya hata kama akibeba Epl msimu huu bado mtamuita Tapeli tu.
 
Wewe na Masingeli Baba Ubaya hata kama akibeba Epl msimu huu bado mtamuita Tapeli tu.
Hatumuiti kwa chuki Bali kutokana na kile kinachoonekana uwanjani🤠🤠..Onana butua mbele kwa Bruno akiipata anabutua kwa Rashford halafu baada ya hapo anabutua golini apate asipate itajulikana hukohuko....Sasa kwa staili hiyo hata Nottingham Forest watakufumua tu lazima
 
Kwa nini wanatuchukia?
20240328_205531.jpg
 
Sikumbuki ni lini mara ya mwisho Arsenal alipoteza mchezo wakati Antony Taylor akiwa ni referee. Tunakuwaga na bahati naye
Ni rahisi kumpigisha mamba mswaki kuliko Arsenyo kumfunga Mancity kwenye uwanja wa Ettihad.
Ndugu yangu Montserrat nakukumbusha tu huenda ukawa umeghafilika, huyo Antony Taylor hio jumapili yeye hatacheza mpira bali kazi yake itakua ni kupuliza firimbi tu uwanjani
1711613976874.jpg
 
hawa machalii japo tunawaombea walibebe hili kombe la ligi ila ni wana dharau utafikiri timu yao ni prime Barcelona ya 2009

reminding you... your facing pep Guardiola the goat of the goat coach real arsenal fans wanajua haitakuwa rahisi but its good keeping hopes up and motivating each other toward the clash

mechi ikikaza sana draw ila mbali na hapo arteta atarudishwa kwa maranyinge darasani na his previous tactical masterclass teacher
 
hawa machalii japo tunawaombea walibebe hili kombe la ligi ila ni wana dharau utafikiri timu yao ni prime Barcelona ya 2009

reminding you... your facing pep Guardiola the goat of the goat coach real arsenal fans wanajua haitakuwa rahisi but its good keeping hopes up and motivating each other toward the clash

mechi ikikaza sana draw ila mbali na hapo arteta atarudishwa kwa maranyinge darasani na his previous tactical masterclass teacher
Acha wenge. Mbinu kibao za kipara kazichukulia kwa Arteta 😂
 
hawa machalii japo tunawaombea walibebe hili kombe la ligi ila ni wana dharau utafikiri timu yao ni prime Barcelona ya 2009

reminding you... your facing pep Guardiola the goat of the goat coach real arsenal fans wanajua haitakuwa rahisi but its good keeping hopes up and motivating each other toward the clash

mechi ikikaza sana draw ila mbali na hapo arteta atarudishwa kwa maranyinge darasani na his previous tactical masterclass teacher
Mkuu hawa sio wa kuwaombea wabebe kombe la ligi, kama unahuruma sana ni bora uwaombee njaa tu.
Hawa kina Masingeli na chawa zake wanatakiwa wateseke jangwani miaka 40 kama wana wa Israel, halafu nchi ya ahadi waje kuishuhudia wajukuu zao wakati wenyewe wakiwa tayari wamesharudi mavumbini
 
Mkuu hawa sio wa kuwaombea wabebe kombe la ligi, kama unahuruma sana ni bora uwaombee njaa tu.
Hawa kina Masingeli na chawa zake wanatakiwa wateseke jangwani miaka 40 kama wana wa Israel, halafu nchi ya ahadi waje kuishuhudia wajukuu zao wakati wenyewe wakiwa tayari wamesharudi mavumbini
Ni suala jepesi sana Arsenalndoo kubeba EPL msimu huu kuliko Manyumbu kumaliza top 4...nyny ni fungu la kukosa na tyri laanq imeshahamia kwenu..
 
Ntakuwa na presha nikitaka kucheza na Brighton mkuu...sio hyu Guardiola...tutampapasa kama tulivyofanya mechi ilopita..atamaliza sana chupa za maji safari hii
Ndugu yako Masingeli ameshashtukia mtego, jumapili Arsenyau anaenda kupigwa kipigo cha paka mwizi ndio maana anaogopa kutia neno kuhusu mechi ijayo, nakushangaa wewe chawa wake mpaka dakika haujashtukia gharika mnayoenda kukutana nayo.
Ninachomkubali Masingeli jamaa hua lina machale kinoma, lilivyokua na akili nyingi sasa hivi utakuta limeshazima na simu kabisa, ataiwasha baada ya mechi 2 zinazofata endapo Arsenyau itashinda.
 
Ndugu yako Masingeli ameshashtukia mtego, jumapili Arsenyau anaenda kupigwa kipigo cha paka mwizi ndio maana anaogopa kutia neno kuhusu mechi ijayo, nakushangaa wewe chawa wake mpaka dakika haujashtukia gharika mnayoenda kukutana nayo.
Ninachomkubali Masingeli jamaa hua lina machale kinoma, lilivyokua na akili nyingi sasa hivi utakuta limeshazima na simu kabisa ataiwasha baada ya mechi 2 zinazofata endapo Arsenyau itashinda.
Nenda Twitter utakutana naye...huku tupo sisi tunaoweza kudili na wazee wa busara kama nyny...j2 kipara anakula makofi palepale uwanjani kwao....yaani akatoe draw na Chelkenge halafu sisi aje kutusumbua....atafute beki za kueleweka...Walker na Stones washatupa taulo....hawataki kuteguliwa nyonga
 
Ndugu yako Masingeli ameshashtukia mtego, jumapili Arsenyau anaenda kupigwa kipigo cha paka mwizi ndio maana anaogopa kutia neno kuhusu mechi ijayo, nakushangaa wewe chawa wake mpaka dakika haujashtukia gharika mnayoenda kukutana nayo.
Ninachomkubali Masingeli jamaa hua lina machale kinoma, lilivyokua na akili nyingi sasa hivi utakuta limeshazima na simu kabisa ataiwasha baada ya mechi 2 zinazofata endapo Arsenyau itashinda.
Wewe kenge ,tutampasua bwana enu man city ,halafu tunawangoja nyie


Nipo Twitter napambana na Nyumbu, chelkenge na TASAF(livakenge)


Tuna timu yakupiga umbwa yeyote yule
 
Arteta on Gabriel, Saka and Martinelli:

Yeah there is a chance. They haven’t trained. Tomorrow we have another session, but there is a chance they can be available.
 
Back
Top Bottom