Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hua tunaambiwa mashabiki wa united ni wajinga.

Hua hawaachi kua wajinga.

Yaani pr team huamua sasa hivi tupige mdundo gani hawa watu wasihoji kitu.

Mdundo wa Elanga, Onana, Casemiro, Garnacho sasa hivi wapo kwa Kobi.

Na walivyo wajinga zaidi wameanza kumfananisha na Saka.

Wapuuzi sana.
 
Hua tunaambiwa mashabiki wa united ni wajinga.

Hua hawaachi kua wajinga.

Yaani pr team huamua sasa hivi tupige mdundo gani hawa watu wasihoji kitu.

Mdundo wa Elanga, Onana, Casemiro, Garnacho sasa hivi wapo kwa Kobi.

Na walivyo wajinga zaidi wameanza kumfananisha na Saka.

Wapuuzi sana.
 
Man utd A.K.A timu ya vilema . badala mpambane na timu yenu ipate matokeo ,mnakuja kutuimbia mapambio na ngonjera huku siku nzima.


Ona sasa mmetoa draw .. yaan mmefunga goli hata hamjashusha mikono, goli likarudishwa 😄😄😄😄😄😄

Brentford 1 : 1 wildebeest


Ila uzur wa man utd mna hamia man cty soon ndio inawapa furaha kidogo ..
 
Nyie makalio fc, nawakumbusha mpo na city leo, msijikaushe.
Screenshot_20240324-115801_Chrome.jpg
 
Its today or ne
Friends of...

Nooo, hao wajomba mnaocheza nao leo hawahitaji u-friend na mtu yeyote.

Kama unasikiaga phrase "kumkata ngebe" ndo leo sasa.

Sio kwa ubaya, mwenye matokeo ya City vs KONDOO mechi 20 za mwisho hapo Etihad ayatume tuyaone. Flano
Mkuu unateseka sana.anyway bet kistaarabu mkuu
 
Gabriel Martinelli, Bukayo saka and gabriel magalhães all are travelled with arsenal squad ahead of manchester City.
20240331_140030.jpg
20240331_140027.jpg
 
Jana Dortmund kampiga Bayern na alikua na huo ukame kwa miaka 10.

Kijiti kipo kwetu sasa.

Anaweza akatususia mpira kama game ya msimu uliopita au kama alivyocheza na Liva msimu huu. Tukimess up ana Haaland, Alavarez.

Ukijisahau ukaacha mpira kwenye 23 yards kuna long shot merchants wawili, Rodri na De Bruyne.

I think wana mbinu nyingi za kufunga on the regular kuliko sisi.

Ila kubwa kuliko ni mentality. Pep anasema bado kikos chake kina attitude ya "Unataka kuchukua taji letu? Tupigane kwanza" wametuacha hapo, but kiukweli tumeimprove tofauti na misimu iliyopita.

Shaky, ila tumejitahidi kuimprove.

Akishinda City sitoshangaa tukishinda sitoshangaa
 
Binafsi nilikua napenda tungeingia hivi


Martinel. .................... Kai...............................saka
.
.
......Rice....................partey.................... odegard
.
.
.Zin................ Gabriel....Saliba....................White
.
.
..................................Raya


City anakufa 3 kavu za bila ubishi
 
Binafsi nilikua napenda tungeingia hivi


Martinel. .................... Kai...............................saka
.
.
......Rice....................partey.................... odegard
.
.
.Zin................ Gabriel....Saliba....................White
.
.
..................................Raya


City anakufa 3 kavu za bila ubishi
Hapo kwa Party partey aanze joginho . Dkk y 60 aingie fundi partey kwa ajili ya msako
 
hawa machalii japo tunawaombea walibebe hili kombe la ligi ila ni wana dharau utafikiri timu yao ni prime Barcelona ya 2009

reminding you... your facing pep Guardiola the goat of the goat coach real arsenal fans wanajua haitakuwa rahisi but its good keeping hopes up and motivating each other toward the clash

mechi ikikaza sana draw ila mbali na hapo arteta atarudishwa kwa maranyinge darasani na his previous tactical masterclass teacher
nyie kenge na nyumbu huwa mnamkuza sana pep
 
Back
Top Bottom