Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sikumbuki ni lini mara ya mwisho Arsenal alipoteza mchezo wakati Antony Taylor akiwa ni referee. Tunakuwaga na bahati naye
Ni rahisi kumpigisha mamba mswaki kuliko Arsenyo kumfunga Mancity kwenye uwanja wa Ettihad.
Ndugu yangu Montserrat nakukumbusha tu huenda ukawa umeghafilika, huyo Antony Taylor hio jumapili yeye hatacheza mpira bali kazi yake itakua ni kupuliza firimbi tu uwanjani
1711613976874.jpg
 
hawa machalii japo tunawaombea walibebe hili kombe la ligi ila ni wana dharau utafikiri timu yao ni prime Barcelona ya 2009

reminding you... your facing pep Guardiola the goat of the goat coach real arsenal fans wanajua haitakuwa rahisi but its good keeping hopes up and motivating each other toward the clash

mechi ikikaza sana draw ila mbali na hapo arteta atarudishwa kwa maranyinge darasani na his previous tactical masterclass teacher
 
hawa machalii japo tunawaombea walibebe hili kombe la ligi ila ni wana dharau utafikiri timu yao ni prime Barcelona ya 2009

reminding you... your facing pep Guardiola the goat of the goat coach real arsenal fans wanajua haitakuwa rahisi but its good keeping hopes up and motivating each other toward the clash

mechi ikikaza sana draw ila mbali na hapo arteta atarudishwa kwa maranyinge darasani na his previous tactical masterclass teacher
Acha wenge. Mbinu kibao za kipara kazichukulia kwa Arteta 😂
 
hawa machalii japo tunawaombea walibebe hili kombe la ligi ila ni wana dharau utafikiri timu yao ni prime Barcelona ya 2009

reminding you... your facing pep Guardiola the goat of the goat coach real arsenal fans wanajua haitakuwa rahisi but its good keeping hopes up and motivating each other toward the clash

mechi ikikaza sana draw ila mbali na hapo arteta atarudishwa kwa maranyinge darasani na his previous tactical masterclass teacher
Mkuu hawa sio wa kuwaombea wabebe kombe la ligi, kama unahuruma sana ni bora uwaombee njaa tu.
Hawa kina Masingeli na chawa zake wanatakiwa wateseke jangwani miaka 40 kama wana wa Israel, halafu nchi ya ahadi waje kuishuhudia wajukuu zao wakati wenyewe wakiwa tayari wamesharudi mavumbini
 
Mkuu hawa sio wa kuwaombea wabebe kombe la ligi, kama unahuruma sana ni bora uwaombee njaa tu.
Hawa kina Masingeli na chawa zake wanatakiwa wateseke jangwani miaka 40 kama wana wa Israel, halafu nchi ya ahadi waje kuishuhudia wajukuu zao wakati wenyewe wakiwa tayari wamesharudi mavumbini
Ni suala jepesi sana Arsenalndoo kubeba EPL msimu huu kuliko Manyumbu kumaliza top 4...nyny ni fungu la kukosa na tyri laanq imeshahamia kwenu..
 
Ntakuwa na presha nikitaka kucheza na Brighton mkuu...sio hyu Guardiola...tutampapasa kama tulivyofanya mechi ilopita..atamaliza sana chupa za maji safari hii
Ndugu yako Masingeli ameshashtukia mtego, jumapili Arsenyau anaenda kupigwa kipigo cha paka mwizi ndio maana anaogopa kutia neno kuhusu mechi ijayo, nakushangaa wewe chawa wake mpaka dakika haujashtukia gharika mnayoenda kukutana nayo.
Ninachomkubali Masingeli jamaa hua lina machale kinoma, lilivyokua na akili nyingi sasa hivi utakuta limeshazima na simu kabisa, ataiwasha baada ya mechi 2 zinazofata endapo Arsenyau itashinda.
 
Ndugu yako Masingeli ameshashtukia mtego, jumapili Arsenyau anaenda kupigwa kipigo cha paka mwizi ndio maana anaogopa kutia neno kuhusu mechi ijayo, nakushangaa wewe chawa wake mpaka dakika haujashtukia gharika mnayoenda kukutana nayo.
Ninachomkubali Masingeli jamaa hua lina machale kinoma, lilivyokua na akili nyingi sasa hivi utakuta limeshazima na simu kabisa ataiwasha baada ya mechi 2 zinazofata endapo Arsenyau itashinda.
Nenda Twitter utakutana naye...huku tupo sisi tunaoweza kudili na wazee wa busara kama nyny...j2 kipara anakula makofi palepale uwanjani kwao....yaani akatoe draw na Chelkenge halafu sisi aje kutusumbua....atafute beki za kueleweka...Walker na Stones washatupa taulo....hawataki kuteguliwa nyonga
 
Ndugu yako Masingeli ameshashtukia mtego, jumapili Arsenyau anaenda kupigwa kipigo cha paka mwizi ndio maana anaogopa kutia neno kuhusu mechi ijayo, nakushangaa wewe chawa wake mpaka dakika haujashtukia gharika mnayoenda kukutana nayo.
Ninachomkubali Masingeli jamaa hua lina machale kinoma, lilivyokua na akili nyingi sasa hivi utakuta limeshazima na simu kabisa ataiwasha baada ya mechi 2 zinazofata endapo Arsenyau itashinda.
Wewe kenge ,tutampasua bwana enu man city ,halafu tunawangoja nyie


Nipo Twitter napambana na Nyumbu, chelkenge na TASAF(livakenge)


Tuna timu yakupiga umbwa yeyote yule
 
Arteta on Gabriel, Saka and Martinelli:

Yeah there is a chance. They haven’t trained. Tomorrow we have another session, but there is a chance they can be available.
 
Prediction yangu ya Vikosi ,baada ya kusikiliza Press zote mbili ya Arteta na Pep

Arsenal: Raya, White, Saliba, Gabriel, Kiwior, Jorginho, Rice, Odegaard, Saka, Havertz, Nelli (hopefully he makes it)

City: Ederson, Akanji, Dias, Ake, Gvardiol, Rodri, Kovacic, KDB, Silva, Haaland, Foden

Prediction

Mamacita 0 Arsenal 2
 
Wewe kenge ,tutampasua bwana enu man city ,halafu tunawangoja nyie


Nipo Twitter napambana na Nyumbu, chelkenge na TASAF(livakenge)


Tuna timu yakupiga umbwa yeyote yule
Masingeli kumbe upo?
Nilijua tayari machale yameshakucheza na kuamua kuwakimbia kondoo wako.

Kwa hio Cha-mbuzi nguli la soka lenye leseni ya Fifa daraja A toka Zurich Uswiswi
Mkishagongwa hio jumapili utakuja na ile Slogan yako ya "mkitufunga ni sawa na kunguru kumnyea binadamu anajifuta safari inaendelea" au safari hii una slogan nyingine mpya?
 
Masingeli kumbe upo?
Nilijua tayari machale yameshakucheza na kuamua kuwakimbia kondoo wako.

Kwa hio Cha-mbuzi nguli la soka lenye leseni ya Fifa daraja A toka Zurich Uswiswi
Mkishagongwa hio jumapili utakuja na ile Slogan yako ya "mkitufunga ni sawa na kunguru kumnyea binadamu anajifuta safari inaendelea" au safari hii una slogan nyingine mpya?
Manjesta mshajikatia tamaa ,mmebaki kuwa wapiga debe wa Mamacita

Endeleeni kukumbatia makocha matapeli kama 7hag

Na mnamleta Southgate,SAFI
 
Back
Top Bottom