Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Ni rahisi kumpigisha mamba mswaki kuliko Arsenyo kumfunga Mancity kwenye uwanja wa Ettihad.Sikumbuki ni lini mara ya mwisho Arsenal alipoteza mchezo wakati Antony Taylor akiwa ni referee. Tunakuwaga na bahati naye
Ndugu yangu Montserrat nakukumbusha tu huenda ukawa umeghafilika, huyo Antony Taylor hio jumapili yeye hatacheza mpira bali kazi yake itakua ni kupuliza firimbi tu uwanjani




BREAKING: