BJB FC
JF-Expert Member
- Aug 25, 2015
- 2,200
- 2,558
Reaction yao ni hiii, masikitiko[emoji599] BREAKING:
John Stones and Kyle Walker are OUT for the game vs Arsenal this Sunday, confirms Pep Guardiola. [emoji777]
Reaction yao ni hiii, masikitiko[emoji599] BREAKING:
John Stones and Kyle Walker are OUT for the game vs Arsenal this Sunday, confirms Pep Guardiola. [emoji777]
It was a jokeWakati huo, nje wana defenders wa £77m na £67m nje kama mbadala.
Imagine wana hii mali as substituteView attachment 2948750
Kenge kwenye usajiri wa Kai tumewapiga, ila wao hawataki kukubaliKenge tukinyanyua kwapa mwisho wa msimu tutawaongezea ata £15MView attachment 2948954
kumbuka Rodrigo ajapoteza hata game moja kwa mwaka mzima.Man city bila John stonesView attachment 2948303
Chakula ya Asenali hii[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ndugu yangu allypipi usiwatishe sana hawa Kima, kesho wanaweza kugoma kuingiza timu uwanjani.View attachment 2949061View attachment 2949062View attachment 2949063
Mkuu asilimia kubwa ya hao wachezaji hawakupenda kugusana...they were more technical than physical...na ndo maana Manyumbu na Chelkenge yalikuwa yanatupelekesha kwasababu wakikutana ni mwendo wa kuwa bully kwanza then wakishaingia uoga mnatafuta namna ya kushinda....Sasa hivi tuna mijitu inacheza mpira wwte...ukitaka bolu safi tunacheza🤠..ukitaka Fujo sasa ndo kwnyewe hapo....muulizeni Pepe na kile kigenge chake walichofanywa...walileta vurugu nyingi lakini walikuja wakikubali🤠🤠...na hiki ndo tulichokuwa tunakililia mda mrefu...uwe na timu itakayocheza kwa namna yyte... beautiful or ugly footballKuna kitu kikubwa sana ambacho mzee wenger mwishon kilimshinda kukitengeneza kwa quality aliyokuwa nayo.
Its about how to handle a pressure to deliver.wakati tunapotakiwa kushinda au tunapokuwa juu na kuna opponent anatufata kwa karibu basi mara nyingi hujikuta tunadondosha point.na hapa ndo tunepotezea vikombe vingi mno.
Ukiachana na strenth na weakiness za decline rice katika tactical na technical aspect,hapa arteta alilenga zaidi kusajili mentality ya mchezaji kuliko physical presence .Jamaa ana tabia za steven gerald mentally.yaani its not over until its over.
Kwanini rice mentally?ana self pride yenye faida,ana team pride,haamini mwingine atafanya ila yeye ndo atafanya,mechi kubwa kwake ni nafasi ya kustep up,anaongoza,analea wenzie,anahamasisha na mengine mengii.
Unaijua kazi ya james millner au vicent company wa city na captain arm band?basi mwangalie rice.
Siamini kama kikosi cha sasa kina quality kuliko vikosi vya miaka kumi iliyopita vya arsenal.
Unakumbuka fullback ya gael clitchy,bakar sagna?unakumbuka centere back ya vermaleen na laurent coscienly.?unakumbuka?
Kiungo cha carzola,wilshere,fabrigas,ramsey,rosicky,coquleen mtu kaz?song? Alexander hleb?samir nasri?
Hawa watu na wengine walikuwa na quality ila walikosa mentallity ya ushindi.they easily submitted to defeat within 90 minutes.hawakuhuzunika,hawakuumia ila walitazama mechi ijayo?. Kwa sasa pale nyuma kuna wauaji wenye tabia za kimafioso.a strong mentality gives you victory.
Mech ya kesho inaweza leta matokeo yoyote na hayatakuwa ya kwanza wala ya mwisho.
Arteta amewafundisha madogo kuinjoi game na kufeel game.Ila anakazi kubwa ya kujenga mentality ya ushindi ili achukue makombe
Arsenal? Yes ARSENAL
Wameshinda. Ila hali si shwari sana kwaoNyukesto chali.
Mumtag shAbiki wao
Liverkuku kabla ya kukutana na The Gunners alikuwa unbeaten mechi ngapi??[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ndugu yangu allypipi usiwatishe sana hawa Kima, kesho wanaweza kugoma kuingiza timu uwanjani.View attachment 2949061View attachment 2949062View attachment 2949063
Watu wa aseno tunawakumbusha tu tulipoishia. Tunaendelea kuanzia hapa. Nasikia hamjacheza mwezi mzima mna uhakika hiyo timu bado ipo?Weekend hii tutaenda kuongeza gap la points pale kileleni
Kenge na nyumbu mnakaribishwa kutazama soka safi
View attachment 2948151
Wamejitahidi 100%Wameshinda. Ila hali si shwari sana kwao
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hua tunaambiwa mashabiki wa united ni wajinga.
Hua hawaachi kua wajinga.
Yaani pr team huamua sasa hivi tupige mdundo gani hawa watu wasihoji kitu.
Mdundo wa Elanga, Onana, Casemiro, Garnacho sasa hivi wapo kwa Kobi.
Na walivyo wajinga zaidi wameanza kumfananisha na Saka.
Wapuuzi sana.