Arsenal (The Gunners) | Special Thread

🅱️USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY

✍🏾 Kwanini Arsenal inatajwa kwamba Summer Dirisha Usajili wanahitaji kusajili Striker leo tuangalie ili swala kimbinu zaidi na kimtazamo

✍🏾 Mpaka sasa Sio kwamba Arsenal hawafungi Magoal hapana wanafunga tangu msimu jana je Striker mpya ana offer nini

✍🏾 Soka ni mchezo ambao hauhitaji kuwa predictable utateseka sana Arsenal alivyokuwa Anacheza Msimu jana Sio sawa na Msimu huu baadhi ya nyanja

✍🏾 Striker analetwa ili kuwapa Arsenal Dimensions nyingi kwenye ushambuliaji Ukiacha swala goal distributions kuna Nyakati zinahitaji killer

✍🏾 Kwa level tunayo endea msimu ujao ni kuraise level na kuwa ushindani muda mrefu

✍🏾 Hivyo basi Tunaweza kuwa na options nyingi kiushambuliaji moja Kutumia Striker kama Target Man endapo mpinzani kaziba mianya mingine mfano game Porto

✍🏾 Kumtumia Striker kuwin mipambano Mingi kwenye box la Mpinzani ambapo faida kwa team na uwepo wake ndani box ( Presence in a box ), Kuna nyakati zinahitaji Tap ins Goals sababu sio kila muda mpinzani ataruhusu goal za mbali au nje box Haaland ana offer kwa City kitu ichi watu wanadai anategea ila mwisho siku ubao unasoma watu hawatangalia umepiga chenga ngapi au mashuti bali Goals

✍🏾 kitu cha Namna hii Klop na Guadiola walifanya ili kuwa peleka level nyingine Pep alipo mleta Haaland sio kwamba alikuwa afungi before ila level raiser Uwezo wa Haaland licha kutofunga Final ila unawapa uhakika asilimia kubwa kupata goal match yeyote

✍🏾 Ukitengeneza uhakika wa Kupata walau 1 goal per Match kwa striker wako unatengeneza probability kubwa kushinda michezo mingi

✍🏾 Hii haina maana tutaacha Distribution ya magoal hapana bali tunatafuta dimensions nyingine pia kiushambuliaji ambapo tutapata kitu kinaitwa unpredictable na wapinzani

Amigos
FB_IMG_1711472193906.jpg
 
Thomas Partey: "It’s been tough for me, being injured for a long time, but now I am ready to give everything I can to the team.

"Anything I can add to our level, I will do. I worked hard during my rehab to be able to come back to the level I need to be at. Now I want to get back with the team.”

....martinel.....................Kai........,.........,........Saka...

.......,......,.,...,Rice......,,.......,.............. odegard.........

.........,..............,........... partey.....................

IMG-20240327-WA0025.jpg
 
🅱️USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY

✍🏾 Game ya Man City vs Arsenal nilishatoa pre analysis Siku nyingi tu ila kuna iki kitu nataka niweke hapa mujionee nikichosema City wanafanya anachokifanya Arsenal kwa Ubora kabisa

✍🏾 Kuna kitu wanahita " Build up attacks" nini maana yake hili neno na je tafsiri ipi kwenye uchezaji vilabu hivi

✍🏾 Build up attack kwa Lugha mama ya kiswahili ni kwamba " Ni idadi ya mfatano wa pass ambao unahusisha pass 10 au zaidi na inaweza kumaliza kwa kupiga shuti au angalau mguso mmoja wa pass ndani ya box"

✍🏾 Kwa Lugha nyingine ni series ya pass zinavyopigwa ili kutengeneza shambulizi sasa Kwa EPL hapo team zinazoongoza kwa Build up in attack ni Man city na Arsenal

✍🏾 Uku Arsenal akitajwa kuwa na matumikio hayo 120 na Man City 124 unaweza kuona kitu hapa kwamba hii game tactically ni Ngumu sana ila game kama hizi uwa zinaamuliwa na na Small Margins

✍🏾 Sio build up attack tu ata pressing style wanafanana hawa moja game kutokosa kabisa Hii game tactical genius

Amigos
IMG-20240328-WA0000.jpg
 
USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY

Game ya Man City vs Arsenal nilishatoa pre analysis Siku nyingi tu ila kuna iki kitu nataka niweke hapa mujionee nikichosema City wanafanya anachokifanya Arsenal kwa Ubora kabisa

Kuna kitu wanahita " Build up attacks" nini maana yake hili neno na je tafsiri ipi kwenye uchezaji vilabu hivi

Build up attack kwa Lugha mama ya kiswahili ni kwamba " Ni idadi ya mfatano wa pass ambao unahusisha pass 10 au zaidi na inaweza kumaliza kwa kupiga shuti au angalau mguso mmoja wa pass ndani ya box"

Kwa Lugha nyingine ni series ya pass zinavyopigwa ili kutengeneza shambulizi sasa Kwa EPL hapo team zinazoongoza kwa Build up in attack ni Man city na Arsenal

Uku Arsenal akitajwa kuwa na matumikio hayo 120 na Man City 124 unaweza kuona kitu hapa kwamba hii game tactically ni Ngumu sana ila game kama hizi uwa zinaamuliwa na na Small Margins

Sio build up attack tu ata pressing style wanafanana hawa moja game kutokosa kabisa Hii game tactical genius

AmigosView attachment 2946519
Arsenyau hio mechi yenu na Mancity jinsi mnavyo jitahidi kuibrand ionekane kama vile ni El Clásico wakati uhalisia mnaujua kabisa jinsi kitavyo walamba kwenye dimba la Ittihad, pona yenu mpaki basi ila mkitaka kupishana na vijana wa Pep kono la nyani linawahusu.
Kwenye last 20 results vs City mmeishia kushinda mechi 2 tu tena zote mmeshinda kwenye uwanja wenu wa nyumbani kwa ushindi mfinyu wa kagoli kamoja, halafu mmegongwa mechi 18
Masingeli naomba unikumbushe Arsenyau mara yenu ya mwisho kushinda kwenye dimba la Ettihad ilikua mwaka gani?
Sio kama nina chuki na nyinyi ila nawakumbusha tu maana nyie ni ndugu zangu kabisa, Guardiola mechi zake 10 za mwisho za kumaliza ligi hua anakua na roho mbaya kwelikweli, hacheki na kima yoyote alie mbele yake wakati Asani-wali mechi zao 10 za mwisho hua inajulikana kabisa jambo linaloenda kuwakuta


#Arsenyo ndoo Epl
#Arsenyo ndoo Uefa
#Arsenyo ndoo Wc
#Arsenyo ndoo Cecafa
1711613976874.jpg
 
Dah punguza kutuwangia basi mkuu
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
Arsenyau hio mechi yenu na Mancity jinsi mnavyo jitahidi kuibrand ionekane kama vile ni El Clásico wakati uhalisia mnaujua kabisa jinsi kitavyo walamba kwenye dimba la Ittihad, pona yenu mpaki basi ila mkitaka kupishana na vijana wa Pep kono la nyani linawahusu.
Kwenye last 20 results vs City mmeishia kushinda mechi 2 tu tena zote mmeshinda kwenye uwanja wenu wa nyumbani kwa ushindi mfinyu wa kagoli kamoja, halafu mmegongwa mechi 18
emoji16.png
emoji16.png
emoji16.png

Masingeli naomba unikumbushe Arsenyau mara yenu ya mwisho kushinda kwenye dimba la Ettihad ilikua mwaka gani?
Sio kama nina chuki na nyinyi ila nawakumbusha tu maana nyie ni ndugu zangu kabisa, Guardiola mechi zake 10 za mwisho za kumaliza ligi hua anakua na roho mbaya kwelikweli, hacheki na kima yoyote alie mbele yake wakati Asani-wali mechi zao 10 za mwisho hua inajulikana kabisa jambo linaloenda kuwakuta
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png



#Arsenyo ndoo Epl
#Arsenyo ndoo Uefa
#Arsenyo ndoo Wc
#Arsenyo ndoo CecafaView attachment 2946768
 
Arsenyau hio mechi yenu na Mancity jinsi mnavyo jitahidi kuibrand ionekane kama vile ni El Clásico wakati uhalisia mnaujua kabisa jinsi kitavyo walamba kwenye dimba la Ittihad, pona yenu mpaki basi ila mkitaka kupishana na vijana wa Pep kono la nyani linawahusu.
Kwenye last 20 results vs City mmeishia kushinda mechi 2 tu tena zote mmeshinda kwenye uwanja wenu wa nyumbani kwa ushindi mfinyu wa kagoli kamoja, halafu mmegongwa mechi 18
Masingeli naomba unikumbushe Arsenyau mara yenu ya mwisho kushinda kwenye dimba la Ettihad ilikua mwaka gani?
Sio kama nina chuki na nyinyi ila nawakumbusha tu maana nyie ni ndugu zangu kabisa, Guardiola mechi zake 10 za mwisho za kumaliza ligi hua anakua na roho mbaya kwelikweli, hacheki na kima yoyote alie mbele yake wakati Asani-wali mechi zao 10 za mwisho hua inajulikana kabisa jambo linaloenda kuwakuta


#Arsenyo ndoo Epl
#Arsenyo ndoo Uefa
#Arsenyo ndoo Wc
#Arsenyo ndoo CecafaView attachment 2946768
Wakati tunacheza nao game ya community shield, mlileta taarabu hizi hizi. Ooh katika mechi 20 za mwisho mmefanya kadha wa kadha. Tukamfunga, mkapoteana.

Ikaja game ya kwanza EPL msimu huu, mkarudia yale yale. Taarabu na ngonjera. Tukamfunga, mkapoteana.

Hii weekend pia, mshaanza taarabu na ngonjera kama kawaida yenu. Tutamfunga, mtapoteana.
 
Kwa nini wanatuchukia?
kuambiwa ukweli sio kuchukiwa.
Ukiona mtu anakwambia ukweli ujue anakupenda, kina masingeli wanawapea false hopes halafu mwisho wa msimu wanawakimbia mnaishia kupata depression na kuchukua maamuzi magumu ya kujitoa uhai, ndio maana psychiatrist wa kujitolea nipo humu muda mwingia kuokoa nguvu kazi ya taifa isije kupotea bure.
623050843.jpg
 
Back
Top Bottom