Kuna kitu kikubwa sana ambacho mzee wenger mwishon kilimshinda kukitengeneza kwa quality aliyokuwa nayo.
Its about how to handle a pressure to deliver.wakati tunapotakiwa kushinda au tunapokuwa juu na kuna opponent anatufata kwa karibu basi mara nyingi hujikuta tunadondosha point.na hapa ndo tunepotezea vikombe vingi mno.
Ukiachana na strenth na weakiness za decline rice katika tactical na technical aspect,hapa arteta alilenga zaidi kusajili mentality ya mchezaji kuliko physical presence .Jamaa ana tabia za steven gerald mentally.yaani its not over until its over.
Kwanini rice mentally?ana self pride yenye faida,ana team pride,haamini mwingine atafanya ila yeye ndo atafanya,mechi kubwa kwake ni nafasi ya kustep up,anaongoza,analea wenzie,anahamasisha na mengine mengii.
Unaijua kazi ya james millner au vicent company wa city na captain arm band?basi mwangalie rice.
Siamini kama kikosi cha sasa kina quality kuliko vikosi vya miaka kumi iliyopita vya arsenal.
Unakumbuka fullback ya gael clitchy,bakar sagna?unakumbuka centere back ya vermaleen na laurent coscienly.?unakumbuka?
Kiungo cha carzola,wilshere,fabrigas,ramsey,rosicky,coquleen mtu kaz?song? Alexander hleb?samir nasri?
Hawa watu na wengine walikuwa na quality ila walikosa mentallity ya ushindi.they easily submitted to defeat within 90 minutes.hawakuhuzunika,hawakuumia ila walitazama mechi ijayo?. Kwa sasa pale nyuma kuna wauaji wenye tabia za kimafioso.a strong mentality gives you victory.
Mech ya kesho inaweza leta matokeo yoyote na hayatakuwa ya kwanza wala ya mwisho.
Arteta amewafundisha madogo kuinjoi game na kufeel game.Ila anakazi kubwa ya kujenga mentality ya ushindi ili achukue makombe
Arsenal? Yes ARSENAL