999 chatta
JF-Expert Member
- Apr 17, 2020
- 875
- 1,629
North London forever 🔥🔥
USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY
Game ya Man City vs Arsenal nilishatoa pre analysis Siku nyingi tu ila kuna iki kitu nataka niweke hapa mujionee nikichosema City wanafanya anachokifanya Arsenal kwa Ubora kabisa
Kuna kitu wanahita " Build up attacks" nini maana yake hili neno na je tafsiri ipi kwenye uchezaji vilabu hivi
Build up attack kwa Lugha mama ya kiswahili ni kwamba " Ni idadi ya mfatano wa pass ambao unahusisha pass 10 au zaidi na inaweza kumaliza kwa kupiga shuti au angalau mguso mmoja wa pass ndani ya box"
Kwa Lugha nyingine ni series ya pass zinavyopigwa ili kutengeneza shambulizi sasa Kwa EPL hapo team zinazoongoza kwa Build up in attack ni Man city na Arsenal
Uku Arsenal akitajwa kuwa na matumikio hayo 120 na Man City 124 unaweza kuona kitu hapa kwamba hii game tactically ni Ngumu sana ila game kama hizi uwa zinaamuliwa na na Small Margins
Sio build up attack tu ata pressing style wanafanana hawa moja game kutokosa kabisa Hii game tactical genius
AmigosView attachment 2946519


Arsenyau hio mechi yenu na Mancity jinsi mnavyo jitahidi kuibrand ionekane kama vile ni El Clásico wakati uhalisia mnaujua kabisa jinsi kitavyo walamba kwenye dimba la Ittihad, pona yenu mpaki basi ila mkitaka kupishana na vijana wa Pep kono la nyani linawahusu. 





![]()
Arsenyau hio mechi yenu na Mancity jinsi mnavyo jitahidi kuibrand ionekane kama vile ni El Clásico wakati uhalisia mnaujua kabisa jinsi kitavyo walamba kwenye dimba la Ittihad, pona yenu mpaki basi ila mkitaka kupishana na vijana wa Pep kono la nyani linawahusu.![]()
Kwenye last 20 results vs City mmeishia kushinda mechi 2 tu tena zote mmeshinda kwenye uwanja wenu wa nyumbani kwa ushindi mfinyu wa kagoli kamoja, halafu mmegongwa mechi 18![]()
![]()
![]()
Masingeli naomba unikumbushe Arsenyau mara yenu ya mwisho kushinda kwenye dimba la Ettihad ilikua mwaka gani?
Sio kama nina chuki na nyinyi ila nawakumbusha tu maana nyie ni ndugu zangu kabisa, Guardiola mechi zake 10 za mwisho za kumaliza ligi hua anakua na roho mbaya kwelikweli, hacheki na kima yoyote alie mbele yake wakati Asani-wali mechi zao 10 za mwisho hua inajulikana kabisa jambo linaloenda kuwakuta![]()
![]()
![]()
#Arsenyo ndoo Epl
#Arsenyo ndoo Uefa
#Arsenyo ndoo Wc
#Arsenyo ndoo CecafaView attachment 2946768
Karibu sana weekend pale Etihad uone namna kipara Pep atakavyokuwa anamaliza machupa ya maji...maana huwa akidundwa anaishia kunywa maji tu🤠ðŸ¤Mkuu toobiter sio kuwawangia mimi nimezungumzia uhalisia wa mambo ulivyo ukiachana na hizo false hopes mnazopeana humu
![]()
Wakati tunacheza nao game ya community shield, mlileta taarabu hizi hizi. Ooh katika mechi 20 za mwisho mmefanya kadha wa kadha. Tukamfunga, mkapoteana.Arsenyau hio mechi yenu na Mancity jinsi mnavyo jitahidi kuibrand ionekane kama vile ni El Clásico wakati uhalisia mnaujua kabisa jinsi kitavyo walamba kwenye dimba la Ittihad, pona yenu mpaki basi ila mkitaka kupishana na vijana wa Pep kono la nyani linawahusu.
Kwenye last 20 results vs City mmeishia kushinda mechi 2 tu tena zote mmeshinda kwenye uwanja wenu wa nyumbani kwa ushindi mfinyu wa kagoli kamoja, halafu mmegongwa mechi 18
Masingeli naomba unikumbushe Arsenyau mara yenu ya mwisho kushinda kwenye dimba la Ettihad ilikua mwaka gani?
Sio kama nina chuki na nyinyi ila nawakumbusha tu maana nyie ni ndugu zangu kabisa, Guardiola mechi zake 10 za mwisho za kumaliza ligi hua anakua na roho mbaya kwelikweli, hacheki na kima yoyote alie mbele yake wakati Asani-wali mechi zao 10 za mwisho hua inajulikana kabisa jambo linaloenda kuwakuta
#Arsenyo ndoo Epl
#Arsenyo ndoo Uefa
#Arsenyo ndoo Wc
#Arsenyo ndoo CecafaView attachment 2946768
Kwa nini wanatuchukia
Huyo amekua mchawi kabisa, maana lamli zake zilishashindwa Sasa ameamua kuwanga kabisaDah punguza kutuwangia basi mkuu


kwasababu tumewazidi


Kwa wingi wa makombe ya Emirates kweli mmetuzidi.Msimu ujao Europa league hamvuki hatua ya makundiKwa wingi wa makombe ya Emirates kweli mmetuzidi.
Kwa nini wanatuchukia?


kuambiwa ukweli sio kuchukiwa. kitakachofuata ni conferenceMsimu ujao Europa league hamvuki hatua ya makundi
Msimu ujao Europa league hamvuki hatua ya makundi


Msimu ujao Uefa tuko pamoja kama kawaida halafu Arsenyau mnaishia kutuona wachawi, kumbe sisi wenzenu tuko vizuri kusolve hesabu za Algorithm.Nitamuona kipara Baba Ubaya genius ikiwa atamaliza top 4...Villa na Tottenham wakikubali kuachia hilo gepu watakuwa ni wajinga kwlikwli...nyny sasahv kwa kile kikundi chenu hata europa haiwafai mtaenda kutuaibisha tu...mlitakiwa mkakipute kule Conference league kabisa na kina StuttgartMsimu ujao Uefa tuko pamoja kama kawaida halafu Arsenyau mnaishia kutuona wachawi, kumbe sisi wenzenu tuko vizuri kusolve hesabu za Algorithm.
Nitamuona kipara Baba Ubaya genius ikiwa atamaliza top 4...Villa na Tottenham wakikubali kuachia hilo gepu watakuwa ni wajinga kwlikwli...nyny sasahv kwa kile kikundi chenu hata europa haiwafai mtaenda kutuaibisha tu...mlitakiwa mkakipute kule Conference league kabisa na kina Stuttgart


Wewe na Masingeli Baba Ubaya hata kama akibeba Epl msimu huu bado mtamuita Tapeli tu.Hatumuiti kwa chuki Bali kutokana na kile kinachoonekana uwanjani🤠🤠..Onana butua mbele kwa Bruno akiipata anabutua kwa Rashford halafu baada ya hapo anabutua golini apate asipate itajulikana hukohuko....Sasa kwa staili hiyo hata Nottingham Forest watakufumua tu lazimaWewe na Masingeli Baba Ubaya hata kama akibeba Epl msimu huu bado mtamuita Tapeli tu.
Kwa nini wanatuchukia?