
USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY

Game ya Man City vs Arsenal nilishatoa pre analysis Siku nyingi tu ila kuna iki kitu nataka niweke hapa mujionee nikichosema City wanafanya anachokifanya Arsenal kwa Ubora kabisa

Kuna kitu wanahita " Build up attacks" nini maana yake hili neno na je tafsiri ipi kwenye uchezaji vilabu hivi

Build up attack kwa Lugha mama ya kiswahili ni kwamba " Ni idadi ya mfatano wa pass ambao unahusisha pass 10 au zaidi na inaweza kumaliza kwa kupiga shuti au angalau mguso mmoja wa pass ndani ya box"

Kwa Lugha nyingine ni series ya pass zinavyopigwa ili kutengeneza shambulizi sasa Kwa EPL hapo team zinazoongoza kwa Build up in attack ni Man city na Arsenal

Uku Arsenal akitajwa kuwa na matumikio hayo 120 na Man City 124 unaweza kuona kitu hapa kwamba hii game tactically ni Ngumu sana ila game kama hizi uwa zinaamuliwa na na Small Margins

Sio build up attack tu ata pressing style wanafanana hawa moja game kutokosa kabisa Hii game tactical genius
Amigos
View attachment 2946519