Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Tuseme Mara ngapi, hii ndio phase ya makombe
Epl tunaongoza ligi,
game ngumu iliyobaki Ni moja tu vs wolves ambayo tutakua away
Uefa tunafikiria Kati ya city na Madrid hapa tutakutana na Nani?


Labda kama unamaanisha makombe ya chooni.Kwa mid table coach mliye nae mtakua mnatukanana humu kila mwisho wa msimu.
Acheni ubahili tafuteni kocha wa kueleweka, Arteta sio kocha mbaya ila ni avarage kocha wa Mid table team kama Brighton, Everton, Brentford e.t.c
Kila msimu mtakua mnaishia kusifia pressing & overloading halafu mwisho wa ligi mnamtukana kocha humu.
Kyle Walker has been subbed off due to injury.
