whitemoney
JF-Expert Member
- Nov 9, 2023
- 1,192
- 2,550
shabiki wengi wa nyumbu na kenge ndo wanatuletea
tafrani huku kwenye chimbo letu,wanaboa kinoma!!
kwanini wamekimbia kule kwao?
kuna mmoja wa nyukesto siku za hapo nyuma alikuwa analeta
pigo hizihizi ila wana walimkalisha,amepotea
naona siku si nyingi na hawa watatulizwa tu
tafrani huku kwenye chimbo letu,wanaboa kinoma!!
kwanini wamekimbia kule kwao?
kuna mmoja wa nyukesto siku za hapo nyuma alikuwa analeta
pigo hizihizi ila wana walimkalisha,amepotea
naona siku si nyingi na hawa watatulizwa tu