arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
De Bruyne nje miezi 2 huko...naam hii ndio ligi ya mabingwa huu upande wa kina bayern/real/man c/asenal ndio unaonekana utatoa bingwa...binafsi nawaona siti wakipiga mtu kipigo cha mbwa koo halafu sasa huku bayern na asenali hii ngoma atakama arteta atatoboa akikutana na siti shughuli inakuwa imeshaisha 😎

