Tupo fezi siriii...hatujafika fezi foo bado🤠🤠Hiiiiiiihhg hivi vipigo nyie nao muwe hata na huruma
Watu wana red lazima zifike 5, big match ukizidiwa lazima upigwe nyingi. Hao porto atutowafunga nyingi ila tutawatoa.Tupo tupo. Wakati huo Porto walikiwa wanapasha misuli jana. View attachment 2923950
🤣🤣🤣🤣...wametandikwa na kitu kizito hawaelewi kabisa...unafungwa halafu bado unalazimishwa kupaki basiHawa ndio waliowaongoza kwa possession Man Utd
Neno "United" ndio limewaponza, boys wanajua hizi ni nyumbuSheffield unite
Hilo neno United ndio linamponza, atakula chuma 4
Hawa watoto wakimaliza hii mechi wataenda kuwasimulia wale wenzao Luton na kina Brentford kwmba wajipange![]()






Mwisho wa hii series bila Ndoo inauma sanaCommentator kasema '5 goals and no one has scored twice'.
Nakumbuka Labyrinth alikuwa anawalinganisha kina Wilson, Isak na Gordon na kina Jesus, Saka na Martinelli. Jesus hajacheza mechi kadhaa lakini mpaka sasa tuna magoli 66 au 67, wao wana 57.
Mpaka sasa sisi ndiyo tumefunga magoli mengi zaidi kwenye ligi, huku tukiwa ndiyo timu iliyofungwa magoli machache kwenye ligi, 23. Necastle wameruhusu magoli 45 mpaka sasa, magoli 6 zaidi ya Man United.
Commentator pia kasema premierl league record ya magoli mengi kwenye first half ni 5. Sisi ni team ya 14 kufanya hivyo. 6 haijawahi kufikiwa ila anadhani kama wachezaji wetu wangelijua hili wangetafuta la 6.
Sisi wajinga sana mkuu. Tumeshapoteza mechi 4 so far. Ni ngumu kushinda ligi ukishapoteza mechi zaidi ya 3.Mwisho wa hii series bila Ndoo inauma sana
We deserve something better
With due respect naunga mkono hojaHala hala jama asiingie Trossard. Yule jamaa hakubali kucheza bila goli.
December ilituacha vibayaSisi wajinga sana mkuu. Tumeshapoteza mechi 4 so far. Ni ngumu kushinda ligi ukishapoteza mechi zaidi ya 3.
Naona ni muhimu kuendeleza hii momentum. Tukishinda ligi, safi ila tusiposhinda basi tusizidiwe zaidi ya points 2. Hii ikiweza kutuhamasisha kama ilivyowahamasisha 'Invincibles' basi tunaweza kuwa na msimu mzuri next season.
Kwa sasa tuendelee kupambana tuone hii ngoma itaishaje.

