Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Commentator kasema '5 goals and no one has scored twice'.

Nakumbuka Labyrinth alikuwa anawalinganisha kina Wilson, Isak na Gordon na kina Jesus, Saka na Martinelli. Jesus hajacheza mechi kadhaa lakini mpaka sasa tuna magoli 66 au 67, wao wana 57.

Mpaka sasa sisi ndiyo tumefunga magoli mengi zaidi kwenye ligi, huku tukiwa ndiyo timu iliyofungwa magoli machache kwenye ligi, 23. Necastle wameruhusu magoli 45 mpaka sasa, magoli 6 zaidi ya Man United.

Commentator pia kasema premierl league record ya magoli mengi kwenye first half ni 5. Sisi ni team ya 14 kufanya hivyo. 6 haijawahi kufikiwa ila anadhani kama wachezaji wetu wangelijua hili wangetafuta la 6.
 
Commentator kasema '5 goals and no one has scored twice'.

Nakumbuka Labyrinth alikuwa anawalinganisha kina Wilson, Isak na Gordon na kina Jesus, Saka na Martinelli. Jesus hajacheza mechi kadhaa lakini mpaka sasa tuna magoli 66 au 67, wao wana 57.

Mpaka sasa sisi ndiyo tumefunga magoli mengi zaidi kwenye ligi, huku tukiwa ndiyo timu iliyofungwa magoli machache kwenye ligi, 23. Necastle wameruhusu magoli 45 mpaka sasa, magoli 6 zaidi ya Man United.

Commentator pia kasema premierl league record ya magoli mengi kwenye first half ni 5. Sisi ni team ya 14 kufanya hivyo. 6 haijawahi kufikiwa ila anadhani kama wachezaji wetu wangelijua hili wangetafuta la 6.
Mwisho wa hii series bila Ndoo inauma sana
We deserve something better
 
Mwisho wa hii series bila Ndoo inauma sana
We deserve something better
Sisi wajinga sana mkuu. Tumeshapoteza mechi 4 so far. Ni ngumu kushinda ligi ukishapoteza mechi zaidi ya 3.

Naona ni muhimu kuendeleza hii momentum. Tukishinda ligi, safi ila tusiposhinda basi tusizidiwe zaidi ya points 2. Hii ikiweza kutuhamasisha kama ilivyowahamasisha 'Invincibles' basi tunaweza kuwa na msimu mzuri next season.

Kwa sasa tuendelee kupambana tuone hii ngoma itaishaje.
 
Sisi wajinga sana mkuu. Tumeshapoteza mechi 4 so far. Ni ngumu kushinda ligi ukishapoteza mechi zaidi ya 3.

Naona ni muhimu kuendeleza hii momentum. Tukishinda ligi, safi ila tusiposhinda basi tusizidiwe zaidi ya points 2. Hii ikiweza kutuhamasisha kama ilivyowahamasisha 'Invincibles' basi tunaweza kuwa na msimu mzuri next season.

Kwa sasa tuendelee kupambana tuone hii ngoma itaishaje.
December ilituacha vibaya
 
Back
Top Bottom