Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mm hata ashinde 15...sina shida naye maana najua hawezi kumaliza juu yetu...huo ubavu msimu huu Hana 🤠🤠...kwhyo Manunu liwakute jambo ziti kwakwli hii weekend
Nyumbu wanaweza kukushangaza wakamganda city kama maiti iking'ang'ania muoshaji
 
Tuwaache manyumbu wapambane na hali yao. Wakishinda watampunguza spidi kidogo mamacita. Wakifungwa wataanza kupotezwa mdogo mdogo kwenye kupambania top 4 na top 6. Waamue wenyewe wanataka nini 😄😄
Kipindi kile tuliwabeba mkawa top of the table lakini hamkutoa shukrani na dharau dhidi yetu zikaanza. Sasa hivi jipambanieni wenyewe tuone kama mtabahatika kukalia tawi kwa mara nyingine tena.
 
Kipindi kile tuliwabeba mkawa top of the table lakini hamkutoa shukrani na dharau dhidi yetu zikaanza. Sasa hivi jipambanieni wenyewe tuone kama mtabahatika kukalia tawi kwa mara nyingine tena.
Mnajipambania wenyewe aisee....sisi habari za kusaidiana hatutaki🤠🤠...tunawatakia Kila heri hyo siku...ila mjitahidi sana msije mkala wiki...maana nyny akili zenu mnazijua wenyewe
 
Ndiyo ndiyo mzee Mudi
 
Ndiyo bwana Martinez
 
Kipindi kile tuliwabeba mkawa top of the table lakini hamkutoa shukrani na dharau dhidi yetu zikaanza. Sasa hivi jipambanieni wenyewe tuone kama mtabahatika kukalia tawi kwa mara nyingine tena.
Msiwe hivyo guys. Msiwe na kinyongo 😁😁. Tupigieni huyo mamacita hata 4-0 mkitaka. Wanaofuata watawarudisha kwenye -ve GD.
 
Mikel Arteta on Thomas Partey:

“Thomas had a session before the last game, now he’s done two or three consecutive sessions so he should be part of the squad on Monday [to face Sheffield United]."
 
Mechi 3 muhimu ndani ya wiki 2 za kupiga watu 5G au zaidi. Sheffield 4/3/24, Brentford 9/3/24 na Porto 12/3/24.

Baada ya hapo ni Mamacita 31/3/24. Tuishie zetu dubai baada ya Porto tukapige tena ile alkasusu kabla ya Mamacita.

Au mnasemaje wana ganaz?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…