Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Usishangae nyumbu akampora points 3 city, mpira una maajabu yake.
Acha kujipa matumaini hewa we Arsekima, nani kwanza aliekwambia kua sisi Man Utd tunampango wa kumfunga City?
Guardiola tafadhali usimsikilize huyu kima ni amejiropokea tu baada ya kushiba ulanzi, points zenu 3 kwa nyumbu tushawawekea kwenye mfuko wa shati ni suala la nyinyi wenyewe tu kuamua mtazichukua kwa idadi ya magoli mangapi
 
Acha kujipa matumaini hewa we Arsekima, nani kwanza aliekwambia kua sisi Man Utd tunampango wa kumfunga City?
Guardiola tafadhali usimsikilize huyu kima ni amejiropokea tu baada ya kushiba ulanzi, points zenu 3 kwa nyumbu zipo tushawawekea kwenye mfuko wa shati kabisa
Yaani badala ya kuji pambania kiume, ndo kwanza mme legea ka mbuzi wa msibani,😂😆
 
Acha kujipa matumaini hewa we Arsekima, nani kwanza aliekwambia kua sisi Man Utd tunampango wa kumfunga City?
Guardiola tafadhali usimsikilize huyu kima ni amejiropokea tu baada ya kushiba ulanzi, points zenu 3 kwa nyumbu zipo tushawawekea kwenye mfuko wa shati kabisa
Hiyo game ya utd vs city sio rahisi kama mnavyoifikiria, dua zangu kama arsenal ni kuona nyumbu anang'aa kwenye hiyo game.
 
Yaani badala ya kuji pambania kiume, ndo kwanza mmeegea ka mbuzi wa msibani,
sio suala la kujipambania mkuu hio iko wazi kabisa haina haja hata ya kutumia microscope, kikubwa ni huyo arsenyau mwenzio anaejipa false hope atambue sisi kama Man Utd hatutakubali mdogo wetu City akose ubingwa kwa ajili yetu.
Vita yetu sio ya nyama na damu, vita yetu sisi ni kwa Arsenyau na Liverpunda.
 
sio suala la kujipambania mkuu hio iko wazi kabisa haina haja hata ya kutumia microscope, kikubwa ni huyo arsenyau mwenzio anaejipa false hope atambue sisi kama Man Utd hatutakubali mdogo wetu City akose ubingwa kwa ajili yetu.
Vita yetu sio ya nyama na damu, vita yetu sisi ni kwa Arsenyau na Liverpunda.
Na najua nyumbu hamja wahi kutu angusha arsenal.
Hata muwe wabovu vipi, suluhu hamkosi kwa man city😆🤣
 
Manchester City's next five Premier League games could decide if they win the league for the fourth straight season:

▫️ Manchester United (H)
▫️ Liverpool (A)
▫️ Brighton (A)
▫️ Arsenal (H)
▫️ Aston Villa (H)
Hii itakuwa balaa

Sisi Arsenal twende na mwendo huu then tukutane May, 2024 tukikabidhiwa kikombe chetu cha EPL 💪
 
Kwenye ile list ya wadeni wetu waliotudhulumu point 3 mzunguko wa kwanza wa EPL, amebakia Aston Villa (vs West Ham 0-6, vs Newcastle 4-1).
Huyu akija Emirates tutamfanyia ukatili wa kijinsia.

Kesi ya Porto ni nyengine kabisa wala hatutaki kuizungumzia.
 
Back
Top Bottom