makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 36,860
- 106,772
Havertz ni **** kweli 😂🤣, unakosaje goli hapa 😂🤣
Tuna hitaji striker mkatili, naikumbuka Bayern ile hata aongoze 5 lazima akutafutie makosa ya kukufunga😆.Arsenal sio wakatili mbele ya goli la mpinzani, UTOTO mwingi sana, inahitajika akili zao zibadilishwe, huyu NYUKESTO alipaswa ale hata goli 5 kipindi hiki cha kwanza.
Hili kosi la arse8 ndo la kuleta makombe 🤣🤣🤣🤣
Arsenal 0-0 Newcastle.
Tunaanza upya
Tulia wewe.Arse8 aka asaniWali
Ulikuwa unaliulizia kono la nyani...lipo njiani linakuja🤠ðŸ¤Masingeli akijifanya kuibuka na kuanza kucomments humu kabla game kuisha basi goli zote zitarudi na nyingine zitaongezeka.
Daaaahhh ila hawa Newcastle walianza ligi kwa mbwembwe sana sijui hata kitu gani kimewakuta, ukiachana na ile nafasi aliyoipoteza Almiron sijui hata kama wamepata attempt nyingine.
Dakika 45 attempt moja, On target 0 hawa sio nyukesto ninaowajua mimi.
Nimewamaind sana. Walitakiwa watoke kavuWatoto wamechafua gazeti
Hao hao wanamaliza juu yenu, Newcastle sio wabovu tatizo aliekutana nae ni wamoto zaidiMasingeli akijifanya kuibuka na kuanza kucomments humu kabla game kuisha basi goli zote zitarudi na nyingine zitaongezeka.
Daaaahhh ila hawa Newcastle walianza ligi kwa mbwembwe sana sijui hata kitu gani kimewakuta, ukiachana na ile nafasi aliyoipoteza Almiron sijui hata kama wamepata attempt nyingine.
Dakika 45 attempt moja, On target 0 hawa sio nyukesto ninaowajua mimi.

Tunaomba radhi ndugu zetu leo kumekuwa na goli chache🤠🤠...tunaahidi tutalitatua hili tatizo mechi ijayo...asante kwa kuwa nasi usiku wa leo tukisheherekea kilele cha TetaballMasingeli akijifanya kuibuka na kuanza kucomments humu kabla game kuisha basi goli zote zitarudi na nyingine zitaongezeka.
Daaaahhh ila hawa Newcastle walianza ligi kwa mbwembwe sana sijui hata kitu gani kimewakuta, ukiachana na ile nafasi aliyoipoteza Almiron sijui hata kama wamepata attempt nyingine.
Dakika 45 attempt moja, On target 0 hawa sio nyukesto ninaowajua mimi.