Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kimasihara tu, game inaweza kutubadilikia, tukazikumbuka zile nafasi tulichezea 1st half.
 
Hili kosi la arse8 ndo la kuleta makombe 🤣🤣🤣🤣
1708444052893.jpg
 
Masingeli akijifanya kuibuka na kuanza kucomments humu kabla game kuisha basi goli zote zitarudi na nyingine zitaongezeka.
Daaaahhh ila hawa Newcastle walianza ligi kwa mbwembwe sana sijui hata kitu gani kimewakuta, ukiachana na ile nafasi aliyoipoteza Almiron sijui hata kama wamepata attempt nyingine.
Dakika 45 attempt moja, On target 0 hawa sio nyukesto ninaowajua mimi.
Ulikuwa unaliulizia kono la nyani...lipo njiani linakuja🤠🤠
 
Masingeli akijifanya kuibuka na kuanza kucomments humu kabla game kuisha basi goli zote zitarudi na nyingine zitaongezeka.
Daaaahhh ila hawa Newcastle walianza ligi kwa mbwembwe sana sijui hata kitu gani kimewakuta, ukiachana na ile nafasi aliyoipoteza Almiron sijui hata kama wamepata attempt nyingine.
Dakika 45 attempt moja, On target 0 hawa sio nyukesto ninaowajua mimi.
Hao hao wanamaliza juu yenu, Newcastle sio wabovu tatizo aliekutana nae ni wamoto zaidi
 
Masingeli akijifanya kuibuka na kuanza kucomments humu kabla game kuisha basi goli zote zitarudi na nyingine zitaongezeka.
Daaaahhh ila hawa Newcastle walianza ligi kwa mbwembwe sana sijui hata kitu gani kimewakuta, ukiachana na ile nafasi aliyoipoteza Almiron sijui hata kama wamepata attempt nyingine.
Dakika 45 attempt moja, On target 0 hawa sio nyukesto ninaowajua mimi.
Tunaomba radhi ndugu zetu leo kumekuwa na goli chache🤠🤠...tunaahidi tutalitatua hili tatizo mechi ijayo...asante kwa kuwa nasi usiku wa leo tukisheherekea kilele cha Tetaball
 
Back
Top Bottom