Kakumamoto
JF-Expert Member
- May 6, 2015
- 1,521
- 2,248
uKiwasikia maneno yao, unaona kabisa hizi kondoo kichwani kuna mafaili yanamisi.Odegard fundi zaidi
Alkifika peak ni zaidi ya KDB,,
Maneno ya walevi haya
Sema record yao Emirates inawahukumu kwahiyo wanapaswa kuja kwa nidhamu zaidi ili kulinda walichokipata vinginevyo mambo yanaweza kuwageukaChangamoto hii hapa
Msimu uliopita nani alijua Sporting atatusumbua?
Na atatutoa?
Mpaka sasa hivi kitakachotokea ni kwamba Porto atakuja anawaza mpira ule ule.
Basi na kaunta. No any other issue.
Watatukamata kwa kushtukiza wakicheza kwa nguvu angalau kwa dk 20 za kipindi cha kwanza.
Porto walidondoka kila walipoguswa. Kipa wao walimkanyaga wenyewe na bado refa akawa anaitafutia Arsenal pa kuichoma.
But hivyo ndivyo mpira wa CL ulivyo. Zile dondoka dondoka zote added time ni 4 minutes 😅
We were horrible
Unataka kutuaminisha nini kaka😂😂😂,
Kwani uongo?Odegard fundi zaidi
Alkifika peak ni zaidi ya KDB,,
Maneno ya walevi haya
Au sioHaka kababu katapewa Kai Havertz a.k.a miguu ya spoku za baiskeli asumbuane naye kipindi wakina Trossard wanafumua mishuti golini....wakikaa vbaya hawa 4 zitawahusu
Ila Asenyetoz , kwa kweli huwa mnanifurahisha sana ,majirani zanguHaka kababu katapewa Kai Havertz a.k.a miguu ya spoku za baiskeli asumbuane naye kipindi wakina Trossard wanafumua mishuti golini....wakikaa vbaya hawa 4 zitawahusu