Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,496
- 235,192
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]"Sasa anakaribia miaka mitano Arsenal, na katika hiyo mitano, ametumia mitatu kupambana tusishuke daraja"
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kidela muogope Mungu ndugu yangu.
Miaka 3 ipi timu ilitaka kushuka daraja halafu Arteta akapambana ili isishuke?
Sema Arteta kakaa karibu miaka 5 bila ya kombe lolote la maana zaidi ya mwanaFA pamoja na bakuli la ngao ya jamii hapo utaeleweka vizuri ndugu yangu.
Eti kidela[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]