Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mikel Arteta kuhusu Raya:

"Ninachopenda kuhusu David ni kile anachofanya golini- vile ambavyo anazuia, hata huoni kwa sababu havifanyiki, kwa sababu amevitarajia."

“Ni wazi alikuwa na mazingira ambayo yalikuwa na changamoto nyingi, lakini ndivyo ninavyompenda. Wachezaji wenye ujasiri na tabia na haiba.

Wakati hata iko hivi, wanataka kuwa wao wenyewe na wanajisukuma kufanya hivyo. Amepata haki ya kuheshimiwa na nina furaha sana kwamba ameshinda.”

“[Kuzuia mambo tusiyoyaona?] Tazama mchezo tena. Sitakuambia."View attachment 2905858
Raya aendelee kukaa golini mpaka msimu itakapoisha. Kiukweli namkubali sana.

Kelele za Ramsdale na mashabiki wake sasa zimeshatulia kwa kuwa tunapata results, tukiboronga utasikia tena makosa wanamsukumia Raya.
 
This is how it’s going to work:

If Arsenal pursues FDJ; Then Rice is going to be our long-term #6.

If Arsenal pursues Zubimendi; Then Rice is going to be our long-term #8 and situational #6.

I prefer Zubimendi over FDJ, to be honest.
Realy ?
au simjui sana zuba
 
"Sasa anakaribia miaka mitano Arsenal, na katika hiyo mitano, ametumia mitatu kupambana tusishuke daraja"

Kidela muogope Mungu ndugu yangu.
Miaka 3 ipi timu ilitaka kushuka daraja halafu Arteta akapambana ili isishuke?
Sema Arteta kakaa karibu miaka 5 bila ya kombe lolote la maana zaidi ya mwanaFA pamoja na bakuli la ngao ya jamii hapo utaeleweka vizuri ndugu yangu.

Eti kidela
 
Tunakumbushana

Jinsi Liverpool alivyonyanyasika
20240216_122424.jpg
 
mkorea

Unajua kwanini hatuharakishi wachezaji Kwa Sasa ?


Mikel Arteta:

"The most important thing to impact at the end of the season is to have the squad fully available. For me, that is requirement number one. And at the moment, we don't have it.

I think we have a good chance." [Arsenal]
 
mkorea

Unajua kwanini hatuharakishi wachezaji Kwa Sasa ?


Mikel Arteta:

"The most important thing to impact at the end of the season is to have the squad fully available. For me, that is requirement number one. And at the moment, we don't have it.

I think we have a good chance." [Arsenal]
I got u

Mechi za mwishoni uefa na ligi inabidi tuwe na full squad

Game 10 za mwishoni za kumaliza ligi partey aanze kutumika hapo
 
Bingwa which...bingwa who...bingwa how🤠🤠...ww na sisi hatuna tofauti sana wte tunaombea mabaya City asianze zile marathon zake maana pumzi hyo hatuna
Endelea kujilinganisha na sisi wakati huna kikombe hata Cha chai halafu unaona tuko sawa
 
Back
Top Bottom