Guacamole
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 6,079
- 16,035
Raya aendelee kukaa golini mpaka msimu itakapoisha. Kiukweli namkubali sana.Mikel Arteta kuhusu Raya:
"Ninachopenda kuhusu David ni kile anachofanya golini- vile ambavyo anazuia, hata huoni kwa sababu havifanyiki, kwa sababu amevitarajia."
“Ni wazi alikuwa na mazingira ambayo yalikuwa na changamoto nyingi, lakini ndivyo ninavyompenda. Wachezaji wenye ujasiri na tabia na haiba.
Wakati hata iko hivi, wanataka kuwa wao wenyewe na wanajisukuma kufanya hivyo. Amepata haki ya kuheshimiwa na nina furaha sana kwamba ameshinda.”
“[Kuzuia mambo tusiyoyaona?] Tazama mchezo tena. Sitakuambia."View attachment 2905858
Kelele za Ramsdale na mashabiki wake sasa zimeshatulia kwa kuwa tunapata results, tukiboronga utasikia tena makosa wanamsukumia Raya.


