Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Akae hukohuko hospitalini hatumtaki tena...akirudi kuna siku tutakuja kumpiga mtu goli 10 na Ball possession ya 90% halafu watu waandame na wagome kucheza na sisi bure🤠🤠...
Partey ananipa mashaka. Nafikiri arsenal wanasema anarudi kutuliza mashabiki. Zikibakia siku 2 kabla ya mechi utasikia aliumia tena mazoezini.

Huenda injury yake ni kubwa sana au wale wanaomshitaki wanatusumbua juu ya ile kesi yake.
 
Hivi Mudryk atakuwa akiangalia Arsenal anawaza nini? Timu yake ina mastar kibao lakini bado hawajafika juu. Sisi hatuna Timber, hatuna Tomiyasu, hatuna Partey na sometimes hatuna Jesus lakini tunapambana. Hatakuwa anatamani kuwa kwetu kweli?
Utashangaa mudryk ananyanyua kwapa kabla ya hizo kondoo zenu.
 
KUHUSU BEN WHITE KUWA INVERTED TO MIDFIELD


Maestro Martin Ødegaard


#EBL mchambuzi nguli anakwambia yote haya yanafanyika uwanjani wa akili ya mpira na technical aspects alizokua nazo Ødegaard kichwani ni very intelligent kwenye possession, attacking flow, ishu za spaces na fluidity Ødegaard ainafanya Arsenal icheze na ndio mchezaji anaeelekeza uwanjani kuhusu kuchukua spaces kama mchezaji mwenza akijisahau.

Ben White ni kiraka kwelikweli ni mwamba sana na anajua kusoma movements za Ødegaard na Saka, na kwenye hii game alikua anafanya Kazi mbili kipindi Cha attacking:-

1. Inverted kwenye Midfield,

2. Overlapping upande wa Saka kumpa Saka nafasi ya kuingia ndani na kumuondelea defender mmoja. Na kwa Ødegaard kuja kwenye deep laying inaonyesha akili yake ya mpira maana anausoma mchezo wote na kuelekeza wenzie sehemu za kukaa. View attachment 2903990
Nimemshtukia pia Ben White kwenye corner kicks zetu hana kazi ya kugombania mipira ya kichwa. Yeye kazi yake ni kumghasi kipa wa timu pinzani na kumblock kijanja ili asitoke kudaka mipira ya juu bila kumfoul. Sometimes inafeli ila inatusaidia kufunga pale trick hii inspokubali.
 
Mikel Arteta kuhusu Kai Havertz:

“Nampenda. Nadhani sote tunampenda huyu mchezaji, , kila kitu anacholeta kwenye timu. Kulikuwa na dakika 2-3 juzi kwenye goli la 4, 5, 6-0 - Jinsi anavyofuatilia watu, jinsi anavyolinda boksi, jinsi anavyoshambulia boksi, nafasi ya kuwa tishio mara kwa mara kwenye sanduku la wapinzani na ndivyo ilivyo. Napenda sana.

"Unamuomba acheze kama 9, kama kiungo mkabaji wa kulia, kama kiungo mshambuliaji wa kushoto, kwenye safu ya ulinzi na anafanya hivyo.

Ni furaha tu kufanya kazi naye."
20230831_080532_020712.jpg
 
Nimemshtukia pia Ben White kwenye corner kicks zetu hana kazi ya kugombania mipira ya kichwa. Yeye kazi yake ni kumghasi kipa wa timu pinzani na kumblock kijanja ili asitoke kudaka mipira ya juu bila kumfoul. Sometimes inafeli ila inatusaidia kufunga pale trick hii inspokubali.
Ni kazi ya Carlos Cuesta
 
Mikel Arteta says Fábio Vieira has a chance of making the FC Porto game in the UEFA Champions League.
 
Mikel Arteta says Fábio Vieira has a chance of making the FC Porto game in the UEFA Champions League.
 
At London Colney. Arteta on team news:

"I’m positive that we’re going to get a few back for tomorrow."
 
Ni kazi ya Carlos Cuesta
Halafu je ni mimi au siku hizi kwenye kuzuia magoli ya setpieces hatuko vizuri sana? Kuna wakati tulikuwa tuko vuzuri halafu tukaotewa, ikawa mwendo wa kufungwa kwa setpieces kwa kwenda mbele.
 
Oleksandr Zinchenko
Takehiro Tomiyasu
Emile Smith Rowe
Fabio Vieira
Gabriel Jesus

Mikel Arteta is “positive” he will see some of Arsenal’s injured players return to face Burnley.

Thomas Partey, who has not featured since October, “is progressing really well".
 
Oleksandr Zinchenko
Takehiro Tomiyasu
Emile Smith Rowe
Fabio Vieira
Gabriel Jesus

Mikel Arteta is “positive” he will see some of Arsenal’s injured players return to face Burnley.

Thomas Partey, who has not featured since October, “is progressing really well".
Zinchenko, Samurai Tomiyasu na ESR wanatosha kurudi kwa kesho....Jesus na Vieira hatuwataki kwa kesho...wasubiri j4 na Porto....habari za kupachikwa majina mabaya kama waonezi au makatili hatutaki
 
Mikel Arteta kuhusu kama Arsenal wanapaswa kuwa kwenye mazungumzo ya kumsajili Mbappe:

“Hasa. Kwa nini isiwe hivyo?

Ikiwa tunataka kuwa timu bora, tutahitaji vipaji bora na wachezaji bora, hiyo ni hakika.

“Sipo [katika mazungumzo hayo]! Labda Edu na wamiliki , lakini siko kwenye mazungumzo hayo hadi hatua ya mwisho.

[@SamJDean]
 
Mikel Arteta kuhusu Raya:

"Ninachopenda kuhusu David ni kile anachofanya golini- vile ambavyo anazuia, hata huoni kwa sababu havifanyiki, kwa sababu amevitarajia."

“Ni wazi alikuwa na mazingira ambayo yalikuwa na changamoto nyingi, lakini ndivyo ninavyompenda. Wachezaji wenye ujasiri na tabia na haiba.

Wakati hata iko hivi, wanataka kuwa wao wenyewe na wanajisukuma kufanya hivyo. Amepata haki ya kuheshimiwa na nina furaha sana kwamba ameshinda.”

“[Kuzuia mambo tusiyoyaona?] Tazama mchezo tena. Sitakuambia."
20240216_152116.jpg
 
Back
Top Bottom