arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Akae hukohuko hospitalini hatumtaki tena...akirudi kuna siku tutakuja kumpiga mtu goli 10 na Ball possession ya 90% halafu watu waandame na wagome kucheza na sisi bure🤠🤠...
Partey ananipa mashaka. Nafikiri arsenal wanasema anarudi kutuliza mashabiki. Zikibakia siku 2 kabla ya mechi utasikia aliumia tena mazoezini.
Huenda injury yake ni kubwa sana au wale wanaomshitaki wanatusumbua juu ya ile kesi yake.

“Nampenda. Nadhani sote tunampenda huyu mchezaji, , kila kitu anacholeta kwenye timu. Kulikuwa na dakika 2-3 juzi kwenye goli la 4, 5, 6-0 - Jinsi anavyofuatilia watu, jinsi anavyolinda boksi, jinsi anavyoshambulia boksi, nafasi ya kuwa tishio mara kwa mara kwenye sanduku la wapinzani na ndivyo ilivyo. Napenda sana.
Oleksandr Zinchenko