Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ndugu kuifunga city yenye Rodri ni NGUMU kulingana na takwimu,ukimuongeza KDB na fit Halland inakuwa NGUMU ZAIDI.kipara akiingia mechi hiyo yuko juu ya table ni NGUMU KULIKO
Hongera sana ndugu yangu Lukub inaonekana wewe ni miongoni mwa mashabiki wachache wa Arsenal ambao hawaendeshwi na mihemko ya ki false hopes.
Hiki ulichokiongea ni kosa la jinai kwa false hopes wa humu sio ajabu wakaanza kukushambulia na kukuita mamluki.
 
Msimu huu wale big six sijui big four hakuna aliyetufunga Arteta amejua kuzicheza hizo mechi.

Sio rahisi kama ulivyosema.
Hizi sasa ndio mentality za mashabiki wa Arsenal nnaowajua mimi, hawa jamaa ubingwa wao ni kuingia top4 au kubahatisha kuzifunga big teams.
 
hamis77 hebu tusaidie sisi #artetaout.
Hivi kwenye ligi hii kuna manager mwingine ambaye amekuwa head coach au manager kwa mara ya kwanza kama Arteta? Yaani hajatoka kuwa manager wa timu nyingine kabla?

Nikitafakari naanza kuona kama jamaa ana potential. Kakaa chini ya miaka minne na Pep kama msaidizi. Sasa anakaribia miaka mitano Arsenal, na katika hiyo mitano, ametumia mitatu kupambana tusishuke daraja, kurudi top 4 na sasa inaonekana kama miaka miwili anapambania ubingwa. Si haba.

Ukiangalia wahasimu wake wakuu ni Pep na Klopp, wanaosemekana bila shaka kuwa makocha bora duniani, walioingia kwenye timu zao za sasa wakitoka kupata mafanikio timu kubwa tu kabla ya Man City na Liverpool.

Je Arteta aendelee kupewa muda? Je unadhani Arteta anaweza kweli kutwaa ubingwa?
"Sasa anakaribia miaka mitano Arsenal, na katika hiyo mitano, ametumia mitatu kupambana tusishuke daraja"

Kidela muogope Mungu ndugu yangu.
Miaka 3 ipi timu ilitaka kushuka daraja halafu Arteta akapambana ili isishuke?
Sema Arteta kakaa karibu miaka 5 bila ya kombe lolote la maana zaidi ya mwanaFA pamoja na bakuli la ngao ya jamii hapo utaeleweka vizuri ndugu yangu.
 
Nadhani unaweza kusema kwamba Arteta alivyoanza, hawa miamba wawili walikuwa wamemuacha nyuma sana. Lakini sasa unaona nayeye amewafukuzia mpaka amewafikia kiasi fulani. Sasa anaenda nao bega kwa bega. Kwa mwenendo huu, anaweza kuanza kuwapita.

Klopp kaamua kukimbia battle. Je title race itaacha kuwa Liver-City-Arsenal, na kuwa City-Arsenal?
Kuongoza ligi siku 258 zinabaki mechi 8 ligi kumalizika bado unaongoza ligi kwa points 8 dhidi ya Pep alieshika nafasi ya pili, zinabaki mechi 4 ligi kumalizika Pep anaongoza ligi, inabaki mechi moja ligi kuisha Pep anaongoza kwa 8points huko ndio kwenda bega kwa bega na kipara au mimi ndio sijaelewa jinsi Arteta anavyoenda bega kwa bega na Guardiola?
1707483186890.jpg
 
Kuongoza ligi siku 258 zinabaki mechi 8 ligi kumalizika bado unaongoza ligi kwa points 8 dhidi ya Pep alieshika nafasi ya pili, zinabaki mechi 4 ligi kumalizika Pep anaongoza ligi, inabaki mechi moja ligi kuisha Pep anaongoza kwa 8points huko ndio kwenda bega kwa bega na kipara au mimi ndio sijaelewa jinsi Arteta anavyoenda bega kwa bega na Guardiola? View attachment 2898731
Flano boss umeonekana tena hewani? Maana nilikuwa naanza kupost kwamba wewe umekuwa hamisi wa unyumbuni sasa.
 
Flano boss umeonekana tena hewani? Maana nilikuwa naanza kupost kwamba wewe umekuwa hamisi wa unyumbuni sasa.
Ndugu yangu hamis77 sio kwamba anakimbia jukwaa la hashaa bali yupo kwenye mchakato wa kuvuta jiko ndio maana anaonekana kwa nadra humu.
Ila wewe Kidela ndio wa kutudanganya humu kua Masterclass kwenye 5yrs of nothing alitumia miaka 3 kuisaidia timu isishuke daraja?
Nimekuuliza hapa msimu gani huo Arsenyau ilitaka kushuka daraja haujanijibu.
 
Ndugu yangu hamis77 sio kwamba anakimbia jukwaa la hashaa bali yupo kwenye mchakato wa kuvuta jiko ndio maana anaonekana kwa nadra humu.
Ila wewe Kidela ndio wa kutudanganya humu kua Masterclass kwenye 5yrs of nothing alitumia miaka 3 kuisaidia timu isishuke daraja?
Nimekuuliza hapa msimu gani huo Arsenyau ilitaka kushuka daraja haujanijibu.
Arteta alikuta Emery anataka kuzamisha timu. Juhudi za wachezaji zikatubakiza top 10. Tena kwa Arterta ndo kabisa wakataka watupoteze. Aubameyang anajiamulia tu kwenda zake Barcelona badala ya kutimba mazoezini. Arteta alipitia wakati mgumu sana. Hapo bado fans tunamsagia kunguni. Kina hamis wanafikiri hakukuwa na #Artetaout ila tulikuwepo huku bongo mpaka London.

Sasa kijana anakaribia kulia kivulini baada ya msoto wa maana
 
Arteta alikuta Emery anataka kuzamisha timu. Juhudi za wachezaji zikatubakiza top 10. Tena kwa Arterta ndo kabisa wakataka watupoteze. Aubameyang anajiamulia tu kwenda zake Barcelona badala ya kutimba mazoezini. Arteta alipitia wakati mgumu sana. Hapo bado fans tunamsagia kunguni. Kina hamis wanafikiri hakukuwa na #Artetaout ila tulikuwepo huku bongo mpaka London.

Sasa kijana anakaribia kulia kivulini baada ya msoto wa maana

Nilikuwa mmoja ya mashabiki waliokuwa hawamtaki Arteta. Please forgive me, I have proved something different in him. He is the best.
We need someone with convincing power to let those American idiots release fund to buy key players; besides coach and technical director
 
Nilikuwa mmoja ya mashabiki waliokuwa hawamtaki Arteta. Please forgive me, I have proved something different in him. He is the best.
We need someone with convincing power to let those American idiots release fund to buy key players; besides coach and technical director
Nakuelewa. Ila tupo pia wale ambao tunamuona huyu dogo bado. Tunafurahi akishinda halafu tukifungwa tunakumbuka "kwanza huyu dogo hatukumtaka..." 😀😀
 
Nilikuwa mmoja ya mashabiki waliokuwa hawamtaki Arteta. Please forgive me, I have proved something different in him. He is the best.
We need someone with convincing power to let those American idiots release fund to buy key players; besides coach and technical director
Arteta is good tatizo msimu huu ameanza ujuaji wa ki-guardiola ndio itamcost. Aache experiments za ajabu na ajaribu kupanga wachezaji based on form sio upendeleo na pia afanye rotation za kutosha.

Mfano unamtoa mkopo Tierney huku ukijua Zinchenko na Tomi ni injury prone unategemea nani acheze left back? Usije sema Kiwior maana hapo kati Saliba na Gab hawana backup!! One injury we are done. Same applies to White!!

Nashukuru Tomas aliumia maana alishageuzwa RB ili tu Havertz acheze!! Mara Gab akawekwa benchi mwanzo wa msimu. Akiacha hizi weird experiments na upendeleo he will be the best ever.
 
HENRY14 Hebu angalia kinachotokea Chelsea na Man United, Do you think you can terminate a contract of head coach today and expect to have favorable results tomorrow - with new headcoach? Twende taratibu, I sincerely believe he will take us where we want to be
 
Nilikuwa mmoja ya mashabiki waliokuwa hawamtaki Arteta. Please forgive me, I have proved something different in him. He is the best.
We need someone with convincing power to let those American idiots release fund to buy key players; besides coach and technical director
mwamba.. ilifikia stage hadi ukawa unataka arsenal impe kazi ya ukocha sean dyche!

sijui ata uliona nini yani kwa uyo jamaa asee.
 
HENRY14 Hebu angalia kinachotokea Chelsea na Man United, Do you think you can terminate a contract of head coach today and expect to have favorable results tomorrow - with new headcoach? Twende taratibu, I sincerely believe he will take us where we want to be
Upo sahihi kabisa
 
Back
Top Bottom