Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

uzuri wa ASENYO domo wanapiga wao kombe wanabeba wengine.

Nawakumbusha mna miaka 20 (2024-2004=20) hamjagusa kombe lolote kubwa narudia tena Lolote lile.
sasa Miaka 20 Umri wa mtu mzima alieanza kudondosha sabuni bafuni kisa nyeto.
Naona umeamua kuweka na hisabati kabisa hapo ili Manyumbu watakaotembelea huu uzi wajue umepataje miaka 20.

Miaka 20 kwenye mpira tumejifunza si mingi. Kimzaha mzaha tu unashangaa imefika na wadau watapiga domo balaa kuwakumbusha. Manyumbu wana hatari ya kujikuta na hali hii wasipojirekebisha.

Sisi katika hicho kipindi tumeambulia FA cup na kukosa kosa Champions league. Manyumbu wana carabao cups za kuzugia.
 
Naona umeamua kuweka na hisabati kabisa hapo ili Manyumbu watakaotembelea huu uzi wajue umepataje miaka 20.

Miaka 20 kwenye mpira tumejifunza si mingi. Kimzaha mzaha tu unashangaa imefika na wadau watapiga domo balaa kuwakumbusha. Manyumbu wana hatari ya kujikuta na hali hii wasipojirekebisha.

Sisi katika hicho kipindi tumeambulia FA cup na kukosa kosa Champions league. Manyumbu wana carabao cups za kuzugia.
😁manyumbu pia yana muda alooh! Kwasasa Arsenal itaanza kuchukua EPL kabla ya NYUMBU
 
Ila washika mitutu wa jiji la London toka Arteta amekuja hii timu imewasha moto sana aiseee.......mpaka watu wameonesha chuki zao waziwazi.....Hebu fikiria hata tukifunga goli hawataki tushangilie....hahahahaaaaaa
Shuleni ukiwa kilaza wa darasa kila mtu anakutegemea uendelee kuharibu ili wao wajifariji kwamba mwisho wa muhula hata wasipoongoza darasani watakupita wewe. Sasa ukianza kupiga msuli sawa sawa na kuanza kupasua, wale vilaza wengine wanachukia maana wataenda kuwaambia nini nyumbani? Wale vipanga nao wanachukia kuwa umewafikia.

Sisi ni wale vipanga tulioanguka kidogo tukawa vilaza. Sasa tunarudinl kundininl kwa vipanga lakini hawataki kutupokea. Vilaza nao hawataki tuwaache. Tunajikuta wanaotupenda ni sisi wenyewe. Ila hakuna namna tutapambana mpaka kieleweke.
 
Goodmorning arsenal fans.kufuatia matokeo ya arsenal ya mechi tatu zilizopita nimepata hasara ya ongezeko la kilo mbili kwenye uzito wangu😂😂😂.anyway sio mbaya.

Kuna watu wanasema tuna mdomo na hatujui may itakuwaje.guys take it easy and enjoy it while it last.
Yesterday is history
Tomorrow is hope
Today is a blessing,please enjoy to the fullest and maxmize it.
Naomba tuongeze juhudi za kuwakera kwa matokeo tunayopata.hii kazi mkorea na Hamiss 77 ongezeni bidii.

Mkuu MalcolM XII una tule tumaneno twa kukeraaaaaaa naomba ongeza juhudi ili waelewe.
HENRY14 jitahidi kaka hii kazi ya kuwapa shida man u,chelsea na liver inahitaji ushirikiano wako pia.
Mkuu Castr hivi unajua Flano anakereka sana kwa hiyo avatar yako yenye legend wenger?.waeleweshe wapinzani kwamba hatuna haja ya kusubiri kesho ili tufurahi.tunaenjoi leo.

Washabiki walioanza kupenda hii team toka late 90's na early 2000 wanajua wapi tumetoka na ni kwa muda gani tumeteseka kuchekwa hadi na team kama chelsea na man city ambazo ni team za very new football generation
Usichukie enjoi
 
Timu toka aje mawigi kubond haina kikombe chochote Cha maana
Wenzenu tunaenda kubeba Kwa mara nyingine vyote vilivyo mbele yetu.
Ni juzi kati tu hapa tulichukua EPL,, nyie mmechukua lini?

Na tupo kileleni.
Tusindikizeni...mwezi wa tatu nyny mnarudi mlikotokea....kusumbuana na kina Manunu huko chinichini...mmeshaonesha hapo juu hampawezi...unakulaje chuma tatu ukiwa unaongoza ligi 🤠🤠🤠
 
Goodmorning arsenal fans.kufuatia matokeo ya arsenal ya mechi tatu zilizopita nimepata hasara ya ongezeko la kilo mbili kwenye uzito wangu😂😂😂.anyway sio mbaya.

Kuna watu wanasema tuna mdomo na hatujui may itakuwaje.guys take it easy and enjoy it while it last.
Yesterday is history
Tomorrow is hope
Today is a blessing,please enjoy to the fullest and maxmize it.
Naomba tuongeze juhudi za kuwakera kwa matokeo tunayopata.hii kazi mkorea na Hamiss 77 ongezeni bidii.

Mkuu MalcolM XII una tule tumaneno twa kukeraaaaaaa naomba ongeza juhudi ili waelewe.
HENRY14 jitahidi kaka hii kazi ya kuwapa shida man u,chelsea na liver inahitaji ushirikiano wako pia.
Mkuu Castr hivi unajua Flano anakereka sana kwa hiyo avatar yako yenye legend wenger?.waeleweshe wapinzani kwamba hatuna haja ya kusubiri kesho ili tufurahi.tunaenjoi leo.

Washabiki walioanza kupenda hii team toka late 90's na early 2000 wanajua wapi tumetoka na ni kwa muda gani tumeteseka kuchekwa hadi na team kama chelsea na man city ambazo ni team za very new football generation
Usichukie enjoi
Sawa kabisa mkuu napokea majukumu kwa mikono miwili.
 
Tusindikizeni...mwezi wa tatu nyny mnarudi mlikotokea....kusumbuana na kina Manunu huko chinichini...mmeshaonesha hapo juu hampawezi...unakulaje chuma tatu ukiwa unaongoza ligi 🤠🤠🤠
Mbona kuongoza ligi mmeshindwa sasa hadi sasa mnatapatapa
 
Ni suala la muda tu....kimahesabu mpk Sasa nyny ni WA pili...mmekaa kienyejienyeji tu hapo juu ila leo mnatoka rasmi
EPL umechukua lini mara ya mwisho?
Hasabu gani unazopiga wewe zinazokwambia 1 ni 3😂😂
Mashabiki wa arse8 mmevurugwa vibaya
 

Attachments

  • Screenshot_20240217-130012_1.jpg
    Screenshot_20240217-130012_1.jpg
    83.5 KB · Views: 11
Jurden klop alibeba EPL baada ya livepool kukaa miaka 30 bila kombe . Na kombe lenyewe kachukua kipindi cha korona kipind watu wanaumwa ..

Klop kaona hawez tena kubeba kombe , liverpool mjiandae kisaikologia miaka ya taaabu na mateso inakuja mpk corona irud tena ndio mbebe EPL
 
Goodmorning arsenal fans.kufuatia matokeo ya arsenal ya mechi tatu zilizopita nimepata hasara ya ongezeko la kilo mbili kwenye uzito wangu😂😂😂.anyway sio mbaya.

Kuna watu wanasema tuna mdomo na hatujui may itakuwaje.guys take it easy and enjoy it while it last.
Yesterday is history
Tomorrow is hope
Today is a blessing,please enjoy to the fullest and maxmize it.
Naomba tuongeze juhudi za kuwakera kwa matokeo tunayopata.hii kazi mkorea na Hamiss 77 ongezeni bidii.

Mkuu MalcolM XII una tule tumaneno twa kukeraaaaaaa naomba ongeza juhudi ili waelewe.
HENRY14 jitahidi kaka hii kazi ya kuwapa shida man u,chelsea na liver inahitaji ushirikiano wako pia.
Mkuu Castr hivi unajua Flano anakereka sana kwa hiyo avatar yako yenye legend wenger?.waeleweshe wapinzani kwamba hatuna haja ya kusubiri kesho ili tufurahi.tunaenjoi leo.

Washabiki walioanza kupenda hii team toka late 90's na early 2000 wanajua wapi tumetoka na ni kwa muda gani tumeteseka kuchekwa hadi na team kama chelsea na man city ambazo ni team za very new football generation
Usichukie enjoi
Huyu Flano tunaishi wote Kiwalani siku hizi hanisalimii
 
Goodmorning arsenal fans.kufuatia matokeo ya arsenal ya mechi tatu zilizopita nimepata hasara ya ongezeko la kilo mbili kwenye uzito wangu.anyway sio mbaya.

Kuna watu wanasema tuna mdomo na hatujui may itakuwaje.guys take it easy and enjoy it while it last.
Yesterday is history
Tomorrow is hope
Today is a blessing,please enjoy to the fullest and maxmize it.
Naomba tuongeze juhudi za kuwakera kwa matokeo tunayopata.hii kazi mkorea na Hamiss 77 ongezeni bidii.

Mkuu MalcolM XII una tule tumaneno twa kukeraaaaaaa naomba ongeza juhudi ili waelewe.
HENRY14 jitahidi kaka hii kazi ya kuwapa shida man u,chelsea na liver inahitaji ushirikiano wako pia.
Mkuu Castr hivi unajua Flano anakereka sana kwa hiyo avatar yako yenye legend wenger?.waeleweshe wapinzani kwamba hatuna haja ya kusubiri kesho ili tufurahi.tunaenjoi leo.

Washabiki walioanza kupenda hii team toka late 90's na early 2000 wanajua wapi tumetoka na ni kwa muda gani tumeteseka kuchekwa hadi na team kama chelsea na man city ambazo ni team za very new football generation
Usichukie enjoi
Tulishasema ligi tutaianza January, Sasa hivi ni mwendo wa spana tu Hadi may

Unyumbuni nitawafundisha soka kwa kejeli, kashfu na mauzi. Maana wamekua wajinga wa muda mrefu sasa

Kenge nawaachia wengine wadili nao
 
Jurden klop alibeba EPL baada ya livepool kukaa miaka 30 bila kombe . Na kombe lenyewe kachukua kipindi cha korona kipind watu wanaumwa ..

Klop kaona hawez tena kubeba kombe , liverpool mjiandae kisaikologia miaka ya taaabu na mateso inakuja mpk corona irud tena ndio mbebe EPL
Mbona nyie hata wakati watu wanaumwa mlishindwa kuchukua
Miaka 20 mpo bado mnarandaranda tu
 
Back
Top Bottom