Kuna kitu kinanitatiza. Rice ni mrefu, namtaka awe ndani ya box anagombania mipira iliyokufa. Lakini anapiga mipira iliyokufa na delivery yake ni nzuri na tunapata mabao kutokana nayo. 🤔🤔
Kuna msela mmoja alikuwa anatupiga mikwara kwmba mechi ijayo mnacheza na West Ham....tunaomba aje atueleze ndo West Ham Hawa alokuwa anawazungumzia au kuna wengine