Kwasasa Ni yeye tu kashawekewa system nzuri ,
Ødegaard anatokea chini ,Saka anapokea mipira kwenye zone ya RCM, Kai anaingia ndani kushambulia ,so ni yeye Sasa kufunga tu magoli
Na timu ishaanza kuflow
Tulianza taratibu hasa eneo la attacking
Kocha kapata suluhisho ,kambadilishia Øde majukumu
Angalia mechi za Arsenal,mfatilie Øde anapokea mipira kutoka kwenye backline lakin utamkuta pia katikati ,utamkuta pia mbele
Kai ashindwe yeye Sasa kufikisha goli 10 EPL , Goals 3 muhimu UCL
Namuona akipiga G/A 15 ,Hadi Sasa ana 6 G/A. na amechelewa ku click
View attachment 2847517