Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwasasa Ni yeye tu kashawekewa system nzuri ,

Ødegaard anatokea chini ,Saka anapokea mipira kwenye zone ya RCM, Kai anaingia ndani kushambulia ,so ni yeye Sasa kufunga tu magoli

Na timu ishaanza kuflow

Tulianza taratibu hasa eneo la attacking

Kocha kapata suluhisho ,kambadilishia Øde majukumu

Angalia mechi za Arsenal,mfatilie Øde anapokea mipira kutoka kwenye backline lakin utamkuta pia katikati ,utamkuta pia mbele

Kai ashindwe yeye Sasa kufikisha goli 10 EPL , Goals 3 muhimu UCL

Namuona akipiga G/A 15 ,Hadi Sasa ana 6 G/A. na amechelewa ku click View attachment 2847517
Nimeikumbuka hii comment ya hamis77
 
hamis77 hebu tusaidie sisi #artetaout.
Hivi kwenye ligi hii kuna manager mwingine ambaye amekuwa head coach au manager kwa mara ya kwanza kama Arteta? Yaani hajatoka kuwa manager wa timu nyingine kabla?

Nikitafakari naanza kuona kama jamaa ana potential. Kakaa chini ya miaka minne na Pep kama msaidizi. Sasa anakaribia miaka mitano Arsenal, na katika hiyo mitano, ametumia mitatu kupambana tusishuke daraja, kurudi top 4 na sasa inaonekana kama miaka miwili anapambania ubingwa. Si haba.

Ukiangalia wahasimu wake wakuu ni Pep na Klopp, wanaosemekana bila shaka kuwa makocha bora duniani, walioingia kwenye timu zao za sasa wakitoka kupata mafanikio timu kubwa tu kabla ya Man City na Liverpool.

Je Arteta aendelee kupewa muda? Je unadhani Arteta anaweza kweli kutwaa ubingwa?
Mkuu hapa hii #arteta out utakuwa unalazimisha utukanwe TU.

Yani Arteta hajafukuzwa enzi zile anafungwa karibu mechi 8 mfululizo, ndo afukuzwe sahivi kipindi ambacho mtu yeyote mwenye akili timamu anaiona kabisa direction ya mafanikio.

Arteta hakuna kuondoka hadi azeeke, kwanza legend wetu
 
hamis77 hebu tusaidie sisi #artetaout.
Hivi kwenye ligi hii kuna manager mwingine ambaye amekuwa head coach au manager kwa mara ya kwanza kama Arteta? Yaani hajatoka kuwa manager wa timu nyingine kabla?

Nikitafakari naanza kuona kama jamaa ana potential. Kakaa chini ya miaka minne na Pep kama msaidizi. Sasa anakaribia miaka mitano Arsenal, na katika hiyo mitano, ametumia mitatu kupambana tusishuke daraja, kurudi top 4 na sasa inaonekana kama miaka miwili anapambania ubingwa. Si haba.

Ukiangalia wahasimu wake wakuu ni Pep na Klopp, wanaosemekana bila shaka kuwa makocha bora duniani, walioingia kwenye timu zao za sasa wakitoka kupata mafanikio timu kubwa tu kabla ya Man City na Liverpool.

Je Arteta aendelee kupewa muda? Je unadhani Arteta anaweza kweli kutwaa ubingwa?
Yeye na Edu wakija kumaster haswa usajili basi makombe yatakuja kwa wepesi
 
Mkuu hapa hii #arteta out utakuwa unalazimisha utukanwe TU.

Yani Arteta hajafukuzwa enzi zile anafungwa karibu mechi 8 mfululizo, ndo afukuzwe sahivi kipindi ambacho mtu yeyote mwenye akili timamu anaiona kabisa direction ya mafanikio.

Arteta hakuna kuondoka hadi azeeke, kwanza legend wetu
#artetaout namaanisha wale ambao hawajatpsheka na mchango wake, hata kama siyo afukuzwe. Wale ambao tunataka tisini lakini tunaona kama jamaa anatupa hamsini tu...
 
Yeye na Edu wakija kumaster haswa usajili basi makombe yatakuja kwa wepesi
Kimbinu yuko poa ila watu hawatoshi? Tena na majeruhi kwa wachezaji muhimu? Unaona kama ana mbinu za kutosha?
 
#artetaout namaanisha wale ambao hawajatpsheka na mchango wake, hata kama siyo afukuzwe. Wale ambao tunataka tisini lakini tunaona kama jamaa anatupa hamsini tu...
Arteta Hadi sasahivi kama kocha kazi yake kaifanikisha kwa asilimia kubwa tu.

Arsenal ikicheza unaona kabisa hii timu inacheza kimahesabu na structure, tofauti na kama mahirani zetu wa untumbuni.

Ukiangalia hata mechi tunazopoteza, tunapoteza kwasababu wachezaji wetu hawatumii nafasi. Nitajie mechi mbili za haraka haraka ambazo mpinzani ametu dominate / outplay.
Tofautisheni ubovu wa kocha na ubovu wa wachezaji
 
Arteta Hadi sasahivi kama kocha kazi yake kaifanikisha kwa asilimia kubwa tu.

Arsenal ikicheza unaona kabisa hii timu inacheza kimahesabu na structure, tofauti na kama mahirani zetu wa untumbuni.

Ukiangalia hata mechi tunazopoteza, tunapoteza kwasababu wachezaji wetu hawatumii nafasi. Nitajie mechi mbili za haraka haraka ambazo mpinzani ametu dominate / outplay.
Tofautisheni ubovu wa kocha na ubovu wa wachezaji
Kwa kweli sikumbuki mechi nayoweza kusema tulikuwa dominated. Nadhani mechi niliyoona ilitusumbua ni ile ya Spurs maana walikuwa wanapita press yetu kama hatuwakabi vile. Niliona kama ile mechi tulitakiwa kufungwa ila tulipata sare.
 
Kimbinu yupo sawa ila watu hawatoshi.

Hata dhidi ya timu zinazopaki basi bado Arsenal tunatengeneza chances. Hatuna ST na hatuna long shot merchant
Hawezi kukomaa na training ya finishing na long shots? Tunazagaa sana nje ya box la mpinzani. Tunakuwa na wachezaji 4 sometimes nje ya box lakini hawapigi. Kwa nini wasiboreshe upigaji mazoezini? Ingawa hata Wenger alikuwa hapendi shots za mbali kwa sababu kitakwimu matokeo yake hayakuwa mazuri
 
Kwa kweli sikumbuki mechi nayoweza kusema tulikuwa dominated. Nadhani mechi niliyoona ilitusumbua ni ile ya Spurs maana walikuwa wanapita press yetu kama hatuwakabi vile. Niliona kama ile mechi tulitakiwa kufungwa ila tulipata sare.
Sio kama umechanganya mechi ya spurs na Chelsea!!?? Mechi ya spurs tulikuwa tunachomolewa kwa makosa binafsi ya wachezaji ikiwemo kosa la joginho kutoa boko. Ila mechi ya Chelsea ndo kila mtu alijua hatutoki hiyo gem maana Chelsea alitushika sana na wakatutangulia kwa goli mbili
 
Sio kama umechanganya mechi ya spurs na Chelsea!!?? Mechi ya spurs tulikuwa tunachomolewa kwa makosa binafsi ya wachezaji ikiwemo kosa la joginho kutoa boko. Ila mechi ya Chelsea ndo kila mtu alijua hatutoki hiyo gem maana Chelsea alitushika sana na wakatutangulia kwa goli mbili
Ya Chelsea sikuiangalia. Namaanisha hivyo hivyo ya spurs kama nilivyosema.
 
Msimu huu wale big six sijui big four hakuna aliyetufunga Arteta amejua kuzicheza hizo mechi.

Sio rahisi kama ulivyosema.
Kumbe ,unacheza na city yenye midfield ya kovasic na lewis unashinda goli moja tena dakika za mwisho ,nafikiri etihad utaiona show ,tena hao watu wasiwe juu ya table wanakuwa wakatili kwenye mechi za kuongeza gape kama hizi.
 
Kumbe ,unacheza na city yenye midfield ya kovasic na lewis unashinda goli moja tena dakika za mwisho ,nafikiri etihad utaiona show ,tena hao watu wasiwe juu ya table wanakuwa wakatili kwenye mechi za kuongeza gape kama hizi.
Kaa kwa kutulia, city tunampigia pale pale Etihad
 
Kumbe ,unacheza na city yenye midfield ya kovasic na lewis unashinda goli moja tena dakika za mwisho ,nafikiri etihad utaiona show ,tena hao watu wasiwe juu ya table wanakuwa wakatili kwenye mechi za kuongeza gape kama hizi.
Wewe ni mjinga , kwani yeye anaponifunga anakutanaga na Arsenal ipi?

Arsenal tumecheza na mancity mara 2 msimu huu

Zote kafa
 
Arteta Hadi sasahivi kama kocha kazi yake kaifanikisha kwa asilimia kubwa tu.

Arsenal ikicheza unaona kabisa hii timu inacheza kimahesabu na structure, tofauti na kama mahirani zetu wa untumbuni.

Ukiangalia hata mechi tunazopoteza, tunapoteza kwasababu wachezaji wetu hawatumii nafasi. Nitajie mechi mbili za haraka haraka ambazo mpinzani ametu dominate / outplay.
Tofautisheni ubovu wa kocha na ubovu wa wachezaji
Kama unamuondoa Arteta kwasasa ,kocha pekee anayeweza kufanya hiki kwasasa au zaidi basi ni Pep Guardiola


Hakuna mechi msimu huu mpinzani katoka anasema nime wa outplay arsenal hata tulizofungwa

Ndio maana hata mechi vs Liverpool ya FA a lot of people walisema Liverpool akija Emirates atakutana na pumzi ya moto

Ila kwasasa utengenezaji wa nafasi umeimarika sana ,

Nusu ya magoli tulizofungwa had Sasa ni Bozo gene, au makosa binafsi ,

Hadi Sasa ilikuwa tuwe tumefungwa angalau goli 10 tu
 
Yeye na Edu wakija kumaster haswa usajili basi makombe yatakuja kwa wepesi

Arteta and Edu do not have fund to buy players they like. Trump card on when to spend is in kroenke’s pocket. I am absolutely sure they need more players with winning mentality.
They cant come public to explain all these
 
Mlikuwa mmemzoea mzee Wenger....mlikuwa mkiipiga Arsenal mnashangilia mpaka mnaruka nje ya kiwanja,mkabatiza mpaka jina la specialist in failure.....hamkunyanyua midomo yenu kukemea mlikaa kimya mkichekelea kebehi zote Arsenal walizopewa.........kumbe mzee alikuw anampika kijana wake...sasa amepumzika,ametua kijana wake,anagawa dozi,tunakera sanaaa.....leo hii ndio mtajua kwamba kuimba kupokezana.....tutashangilia tunavyotaka nyie mlidhani tulikuwa tunapenda zile dharau na kebehi zenu eeeh...kaeni kwa kutulia dawa iwaingie!
eti mzee Wenger alikua anampika kijana wake, kijana nakupa mfano mdogo tu wa hapa nchini kwetu.
Wale wanafunzi waliofeli form 4 na 6 ndio wengi wanasomea ualimu na kuajiriwa kufundisha katika shule zetu, je unaona matokeo ya elimu yetu jinsi ilivyo kutoka na kufundishwa na waalimu ambao walikua ni failure?
Kama mwenyewe umekubali mzee Wenger alikua ni specialist in failure basi Arteta nae ni Masterclass in failure.
Wenger na Arteta ni walimu wazuri kufundisha timu za Academy ila kwa timu daraja la kwanza kila siku mtakua mnatukanana humu na kuonekana vituko, tafuteni kocha wa kueleweka otherwise kama wenyewe mmeridhika ubingwa wenu ni kuingia top4
Screenshot_20231231-214600.jpg
 
Back
Top Bottom