Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Januari hii asenali ndio ameanza ligi mitandaoni ila kiuhalisia manisiti ndio ameanza ligi 😂😂😂
Picha linaanza uzi wameukimbia. Tulishazoea vichekesho kutoka humu ndani , kupunguza stress za hapa na pale. Tuwaombe ndugu zetu warudi kutuburudisha. Tumemiss kauli kama ''wakiamua kupishana na sisi, ku overload, kuchange position, aerial duels, ku invert''
 
Picha linaanza uzi wameukimbia. Tulishazoea vichekesho kutoka humu ndani , kupunguza stress za hapa na pale. Tuwaombe ndugu zetu warudi kutuburudisha. Tumemiss kauli kama ''wakiamua kupishana na sisi, ku overload, kuchange position, aerial duels, ku invert''
Wakiongozwa na comedian maarufu kutokea Mkuranga Hamis Hamis 7
 
gcsd1lcxwaanblv-jpeg.2859453.jpg
gcsl-bnbwaaqg3i-jpeg.2859454.jpg
 
Hii ni kweli au??
BREAKING NEWS: Coming from Fabrizio Romano this morning. One-time Ballon D'or Winner Karim Benzema has finally signed a 6-month loan contract with this stunning Premier League club.

Welcome to Emirates Big Benz!!
FB_IMG_17056034112714278.jpg
 
Timu yangu pendwa Arsenal ningeweza kuongea na kocha Arteta ningemshauri hivi aache kufundisha timu kucheza kivulana bali wacheze kiume.Bado kuna utoto mwingi arsenal ya arteta....ajifunze kwa Liverpool.....kuna muda unaitaji points sio show game
 
Inakuwaje timu inataka kufunga goli zote kwa pasi hadi golini....tangu wamuuze shaka magoli ya nje ya 18 yamepungua na sijui kwa jinu hawapangi Vieira anajua magaoli ya mbali....Na striker no.14 apewe muda mwingi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom