Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kenge kaeni kwa kujiandaa

Ndo tunaenda kuanza ligi
20240115_170150.jpg
 
Januari hii asenali ndio ameanza ligi mitandaoni ila kiuhalisia manisiti ndio ameanza ligi 😂😂😂
Picha linaanza uzi wameukimbia. Tulishazoea vichekesho kutoka humu ndani , kupunguza stress za hapa na pale. Tuwaombe ndugu zetu warudi kutuburudisha. Tumemiss kauli kama ''wakiamua kupishana na sisi, ku overload, kuchange position, aerial duels, ku invert''
 
Picha linaanza uzi wameukimbia. Tulishazoea vichekesho kutoka humu ndani , kupunguza stress za hapa na pale. Tuwaombe ndugu zetu warudi kutuburudisha. Tumemiss kauli kama ''wakiamua kupishana na sisi, ku overload, kuchange position, aerial duels, ku invert''
Wakiongozwa na comedian maarufu kutokea Mkuranga Hamis Hamis 7
 
Back
Top Bottom