Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tukiwa wakweli wa nafsi zetu,hadi sasa United ndiye kamuweka Tembo karibu na kileleni au kesho akae kileleni ingawa napata hofu kama mnaweza kurudi tena pale kwenye tawi mbele ya Hammers.
Narudia tena kama ambavyo huwa nawaambia tena....jana mmekutana pipa na mfuniko....naangalia ratiba yenu fixture tatu zijazo ntakwambia matokeo yatakavyokuwa na itakuwa hvyohvyo....Manunu hamna utulivu...hamfanyi build up inavyotakiwa...hamzuii vzuri...kiungo chenu kinapwaya...yaani mna matatizo chungu nzima....ukiniuliza mm Villa Wana wachezaji wasiozidi watatu ambao ndo wazuri...wengine wte ni average....walikuwa wamefikia peak Yao kwa mechi kadhaa na kile walichokionesha jana ndo uwezo wao hauzidi pale.....Sasa mtulie ndugu zetu...nyny bdo wabovu sana kama walivyo wazee wa kupiga watu mangumi Nyukesto....mna timu ya kawaida sana
 
Mechi ya kesho naona itaamuliwa kwa kiasi kubwa na wachezaji watatu tu paqueta,bowen na kudus hao watu nafikiri arteta awazuie kimfumo zaid na kwa kukosekana kwa kai arteta kazi anayo,akiachiwa zinchenko pekee yake atalaumiwa mpaka mwakani😂😂😂😂 na kwa akili ya moyes atalazimisha kupitia kwa zinchenko tu😂😂😂 msaada wa martinel inategemea ataamkaje....
Kesho kazini kwa arteta kuna kazi kubwa sana👣
Labda afunge busta la partey,rice na odegaard.

Nafikiri moyes atatumia kanuni ile ya kungoja robo ya mwisho, ziba mianya,pora mali kisha itupe mbavuni kwa adui mshindane mbio na adui,ingia ndani piga,walete kati😂😂😂 (kama nawaona anavyowakaririsha wagonga nyundo tebo ya tatu)

Kesho kwa usalama wa nafsi shabiki wa asenali atarajie lolote lile😂😂😂
Nitakutafuta baada ya mechi kuisha...wale tutakachowafanya kwny press conference Moyes atakuja kukiri kama alivyokiri kocha wa Brighton...yule Paqueta sijui na Kudus mtawasonya kesho🤠🤠🤠....hawajawahi kutusumbua kabisa wale wazee wa counter attack
 
Narudia tena kama ambavyo huwa nawaambia tena....jana mmekutana pipa na mfuniko....naangalia ratiba yenu fixture tatu zijazo ntakwambia matokeo yatakavyokuwa na itakuwa hvyohvyo....Manunu hamna utulivu...hamfanyi build up inavyotakiwa...hamzuii vzuri...kiungo chenu kinapwaya...yaani mna matatizo chungu nzima....ukiniuliza mm Villa Wana wachezaji wasiozidi watatu ambao ndo wazuri...wengine wte ni average....walikuwa wamefikia peak Yao kwa mechi kadhaa na kile walichokionesha jana ndo uwezo wao hauzidi pale.....Sasa mtulie ndugu zetu...nyny bdo wabovu sana kama walivyo wazee wa kupiga watu mangumi Nyukesto....mna timu ya kawaida sana
Tutakachowafanya kesho watasimulia
 
Victor Osimhen will want to play in the Champions League and Chelsea, barring a miracle, won't be in it until at least 2025-26 [unlike Arsenal].

[@TheAthleticFC]
20231227_181552.jpg
 
Based on credible reports, at the moment, our top targets for the next couple of transfers windows (mainly the summer window) are:


Striker: Osimhen (£108m release clause)
Winger: Pedro Neto (> £60m)
Midfielder: Zubimendi (£53m release clause)
Defender: Jorrel Hato (18 months left on his contract)



Outgoings: Cedric, Tierney, Nketiah, Ramsdale, Jorginho, Elneny etc
 
Arteta on January plans:


Yeah we have certain targets and ideas. We don’t know how the squad is going to look in two weeks time. It’s a very tricky market that shifts quite quickly.

[@kayakaynak97]
 
Mikel Arteta on Thomas Partey and Takehiro Tomiyasu:

"Nothing has changed with those two, we won't have them available yet. I think it's five players missing. We are a bit short but the team has been doing well and we have enough players willing to play.
 
PRESS YA KOCHA KUELEKEA MECHI YA KESHO

Mikel Arteta has spoken to the press ahead of #AFC vs West Ham. Touched on:

January transfer plans
️Tomiyasu and Partey injuries
Martinelli form
️Lessons from being top last season

All that and more in the full transcript

View attachment 2854874
 
| Mikel Arteta’s message to Arsenal fans: “First of all, thank-you for everything that you’ve done throughout the year and the way you’ve supported and inspired the team.

“For tomorrow [against West Ham], please

“Get behind the team, inspire them again and the team is going to try to do everything that we can.

“It’s going to be the last game of the year in front of you, so it’s a special moment, so let’s make it beautiful.”


[@arsenal] #afc
 
| Mikel Arteta’s message to Arsenal fans: “First of all, thank-you for everything that you’ve done throughout the year and the way you’ve supported and inspired the team.

“For tomorrow [against West Ham], please

“Get behind the team, inspire them again and the team is going to try to do everything that we can.

“It’s going to be the last game of the year in front of you, so it’s a special moment, so let’s make it beautiful.”


[@arsenal] #afc
Hivi kutakuwa na Ubaya kama Arteta akifanya jambo juu ya hyu mtoto Olise🤠🤠...anajua mpk anapitiliza aisee
 
Back
Top Bottom