D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,636
- 121,032
Wapi nitapata ile documentary ya ARSENAL yote?
Kuna clip nimeiona juzi mitaa ya twitter ilinivutia sana na kunipa mzuka wa kuifuatilia full.
Arteta alikuwa anazungumza na jamaa fulani (nimegundua ni josh kroenke) nyakati ambazo mashabiki walikuwa wanataka kichwa chake (afukuzwe).
Kuna mambo mengi ya nyuma ya pazia huwa hatuyafahamu.
Respect kwake josh
Kuna clip nimeiona juzi mitaa ya twitter ilinivutia sana na kunipa mzuka wa kuifuatilia full.
Arteta alikuwa anazungumza na jamaa fulani (nimegundua ni josh kroenke) nyakati ambazo mashabiki walikuwa wanataka kichwa chake (afukuzwe).
Kuna mambo mengi ya nyuma ya pazia huwa hatuyafahamu.
Respect kwake josh

Arsenal currently have the second most valuable squad in the world. [@Transfermarkt]
Arsenal's newly appointed first-team scout for Latin America, Paulo Xavier, has forged a successful career:
Academy Scout at Manchester United
️Scouting Member at Real Madrid