Bado narudia unadanganya Tena Sana
Emery amefanya kazi na huyo huyo Edu na hawakuendana ,nimekupa takwimu unasema za magazeti
Majukumu ya Edu yalikuwa hayo hayo aliyofanya na Emery
Kwanza kubali umedanganya Emery hakuwasajili Saliba, Martinelli,hata Pepe
Nimekupa Hadi aliowasajili Ni Fransis Cagigao
Unasema Øde hapati namba Madrid hii ?
Unatumia ubongo kweli ?
Ødegaard alishakuwa flop Madrid ndio maana aliuzwa €30m kwasasa Hana tjaman hiyo ,nimekuwekea na Value ya transfermarket ,
Kwenye wachezaji 20 most valuable duniani Øde humkosi ,10 most valuable EPL humkosi
Midfield hii ya Madrid wanacheza Hadi kina Ceballos , thaman ya Øde sokon Ni €100m
Unadhani kwa kiwango alicho nacho Sasa Madrid wangekuuzia €30m?

Emery ndiye kocha wa ovyo kupita Arsenal
Emery anabaki kocha wa timu ndogo tu Kama alivyo Erik 7 hag
Arteta ndiye kamfanya saka kuwa moja ya RW Bora duniani , Martinelli moja ya LW Bora duniani
Ødegaard moja ya AM Bora duniani
Hata Declan Rice unayemuona anakiri game yake imekuwa developed under Arteta
William Saliba , Magalhaes,
Au unadhani hao wachezaji wa Arsenal wamekuja wakiwa vzr ,80% wamekuja wakawaida tu na wao wanakiri hivo ukitaka ushahidi nakupa
Emery Ni kocha wa timu ndogo, wachezaji wa PSG walimkataa , Wachezaji wa Arsenal akiwepo Ozil alisema kabisa EMERY sio kocha
Unasema mafanikio yake Ni kweli sababu hata kiumri Ni Rika la kina Pep ,klopp na ETH
EMERY kamfunga Pep kwa Mara ya kwanza ndani ya miaka 15
View attachment 2851845