Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Izi kadi mhh kuna faulo zinafanyika upande wa liver na zinafanana na zile za upande wa Arsenal lakini kadi zinatoka kwetu tu dadeki zake
 
Arteta asipochukua hatua za haraka kumsub in Kiwior basi hii game tunaweza kufa hata kwa goal 3 (3 goal contribution by Salah) na red card moja itakayotokana na mistake ya Zinny.
 
Upande wa salah, lifanyike jambo, zinchenko na martinelli wanazingua sana.
Zinchenko hamuwezi salah
 
Ikipendeza aingie hata trossard, haya anayofanya martinelli ni tatizo kwetu.
 
Game inamuhitaji trossad amalize mchezo

Joginho asaidie kutuliza mpira chini
 
Hii game tukikosa points 3 itakua aibu Sana, kitu pekee tunacho kosa ni organized attack

Game inamuhitaji Sana Trossad
 
Back
Top Bottom