Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

| Mikel Arteta on whether Kai Havertz is now putting in the performances he expected:

“In terms of goals, yes. In terms of performances, it’s exactly the same as he was at the start of the season.

“You can see he’s confident and enjoying his football.” [@BBCSport] #afcView attachment 2845349
Huyu goigoi Havertz mmempa nini siku mbili tatu hizi ?
 
Gabriel Jesus kuhusu Kai Havertz baada ya ushindi wa #Arsenal dhidi ya Brighton leo:

"Kai ni mchezaji wa kustaajabisha, jinsi anavyocheza, ana nguvu nyingi, mrefu, halafu ubora wake ... anatusaidia sana.

Anapambana kila wakati na kusaidia timu, jinsi mtu huyu anavyokimbia

tunafurahi sana kuwa naye."View attachment 2845357
nas
Ukimuona Saint Anne inavyokua busy na matokeo yetu utafikiri ya kwake anayajua vile.

Yani anajitekenya halafu anacheka mwenyewe!
tunamsubiri kwa hamu tuone atacomment nini leo
 
Wale waliosema Kufikia December tutakuwa tumetoka Top 4 waje waseme Hapa ni Wapi
Screenshot_20231217-214347_Chrome.jpg
 
Hawa jamaa wanaichukulia Poa Arsenal yetu.

Mdogo mdogo tunakusanya Points, wakija kutahamaki watakuta tuna alama 90 huko
Hiyo mijamaa tuwe nayo karibu sana, huenda tukaikosa baada ya kukabidhiwa ndoo ya EPL na/au UCL kwa chuki zao. Hawachelewi kufanya maamuzi magumu, kisa tu kuiona Gunners inafanya vizuri. Wamebaki kupika ramli tu sasa hivi.
 
Nilishawai andika humu humu
"namuona ozil kwenye miguu ya Kai"

Niliishia kutukanwa na kebei za hapa na pale
Watu walikuwa wanatoa maneno machafu sana hmu juu ya Kai ila wengine tukawa tunamtetea....inasikitisha kuona baadhi ya mashabiki wanabebwa na upepo wa kejeli za mashabiki wengine.... Mashabiki wa Chelkenge wanaomba sana jamaa afeli pale kwetu ila ndo hvyo Sasa pale amekutana na watu wanaocheza bolu kwlikwli...sio kama Chelsea kule wao wanachojua ni kukimbiakimbia tu....wakiipata wanambutuliaa mbele kwa Jackson mimbio au Mudryk 🤠🤠🤠...halafu wao ndo wajue nn cha kufanya kama kubutua nje au kuporwa....Inasikitisha sana
 
Back
Top Bottom