Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hiyo mijamaa tuwe nayo karibu sana, huenda tukaikosa baada ya kukabidhiwa ndoo ya EPL na/au UCL kwa chuki zao. Hawachelewi kufanya maamuzi magumu, kisa tu kuiona Gunners inafanya vizuri. Wamebaki kupika ramli tu sasa hivi.
Hahahaha..........kuna mdau humu, alishauri Mashabiki wa Arsenal tuwe tunatembea kwa Makundi kuogopa kufanyiwa fujo na hawa Jamaa ikishindikana kuomba Ulinzi wa Polisi kwa IGP kabisa 😅
 
Baada ya kumaliza kucheki game ya Man U na Liverpool kuna mwamba mmja akanipigia simu ni shabiki wa Man U.

Call 1 - oya Mjusi kafiri niaje, ulikua unacheki game ya

Mjusi kafiri- Shwari mzee, eeh nilikua nacheki

Call 1- hahahah aisee mpira hauna mvuto kabisa kama nilikua naangalia ndondo aisee,

Mjusi kafiri - hahha kwanini mzee mbona game ilikua inapresha upande mmoja kufungwa na upande mwingine kufunga.

Call 1- awapi hapo hakunapo timu hata liver nashangaa anaongoza vipi ligi na ni mbovu kiasi icho?? Hakuna viungo wa maana,.striker wao ndo yule Nunuz ahahah hapo hakuna timu yan wamekutana pipa na mfuniko.

Mjusi kafiri- sema leo nimeona sanaa ya uzuiaji kwa upande wa Man u na imewalipa.

Call 1- aisee yan hapo hakuna timu zotr mbili yan nimeangalia game ya Arsenal na Brighton hadi unaenjoy game mpira unatembea unapita kwenye njia zake,wachezaji wamefundishwa wa timu zote mbili yan nakuja kuangalia tena game hii ya liver na Man aisee naona kabisa hakuna kilichochezwa kwenye timu zote mbili, unakiungo ya Amrabat na mac Tombina hapo hakuna timu ila kuna yule dogo Mainoo anafaa apate coaching ya maana sio ya yule Kocha wetu ten hug

Mjusi Kafiri- hahhahahaha…… .blaaa blaaaah blaaaah kibao..
 
Na Mzee wa jambia

60 MILLION DOWN THE DRAIN ,KAI HAVERTZ SCORES AGAIN...#Glossaryyasoka

Kwenye uchambuzi umeshawahi Kusikia neno "TOTAL DOMINANCE"?? Ndo hiki tumewafanyia Brighton Leo.

Ndani ya Dakika 90 Brighton ana shot on target 1 na Corner 1. Arsenal total shots ni 26 on target ni 9.

For the first msimu huu Brighton anatoka uwanjani akiwa hajafunga Goli.

Kirahisi Ingeweza kuwa hata 10-0

DECLAN UBWABWA RICE

TOP OF THE TABLE ,

Sijui itakuwaje Lakini nitakuwepo
 
De Zerbi:


"Arsenal played much better than us. They deserved to win the game. We suffered a lot. I think Arsenal are one of the best, maybe this season the best team in the Premier League.

We are not used to suffering in this way. We are used to controlling the game."
Tactician kama De Zerbi anasema haya maneno sasa kuna nyumbu wa JF atakwambia nyie mnajikuza, mnajipa false hope
 
Imagine kuna wachezaji km lallana & Ferguson walionekana tu kipindi wakifanyiwa sub huku ulimi nje nikajua hii game tunawakimbiza mbaya. Ukicheza nasi sharti ukimbie ht km hutaki, off ball tunaku chase kama mwizi na tukiupata mpira kimbia muda wote ukizubaa tunakufunga nyingi.
 
Arsenyau tunakumbushana kwa nia njema tu, msimu ulioisha mpaka mwezi April Arsenyo ilikua inaongoza ligi kwa points 8 mbele dhidi ya timu iliyokua nafasi ya pili, mpaka kufika mwezi may nadhani kila mmoja humu anajua msimamo wa ligi ulikuaje.
Sijapenda kabisa leo Kuku kishingo kukosa points zake 3 pale kwenye dimba la Anfield.
IMG_20230503_151414.jpg
 
Arsenyau tunakumbushana kwa nia njema tu, msimu ulioisha mpaka mwezi April Arsenyo ilikua inaongoza ligi kwa points 8 mbele dhidi ya timu iliyokua nafasi ya pili, mpaka kufika mwezi may nadhani kila mmoja humu anajua msimamo wa ligi ulikuaje.
Sijapenda kabisa leo Kuku kishingo kukosa points zake 3 pale kwenye dimba la Anfield. View attachment 2845492
tunawakumbusha mara nyingi tu., history hazichezi
 
Mpo hapo mlipo sababu ya Man utd lakini hamtoi mkono wa shukrani mnasifia kuwabana BHA.
Kupata droo ya 0-0 pale anfield sio kazi ndogo jamani.
Kimsingi man utd ndio ameibeba Arsenal kuwa kileleni.
eti unasemaje
 
Mpo hapo mlipo sababu ya Man utd lakini hamtoi mkono wa shukrani mnasifia kuwabana BHA.
Kupata droo ya 0-0 pale anfield sio kazi ndogo jamani.
Kimsingi man utd ndio ameibeba Arsenal kuwa kileleni.
Ona huyu naye🤠🤠...umepata point 1 unasema umetusaidia kwli???...midomomidomo kama hii ndo maana huwa tunaomba Baba Ubaya kichwa manundu Ten Hag awe anadundwa kwasababu mashabiki wake mna mdomo mchafu sana....sisi hatukuomba msaada kwenu...Kila mtu apambane na matatizo yake
 
Back
Top Bottom