Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Unamaanisha nini sasa? Kwamba baada ya Aaron na Hamis kutakuwa na ID nyingine next season?
haina haja ya kupiga ramli we subiria tu ikifika may tunakuja na Id mpya ya Alhamisi88.
Halafu waambie kabisa ndugu zako wa livapuli kesho wakijifanya kutaka kupishana na sisi watachezea mvua ya magoli, salama yao wapaki basi waforce draw
 
haina haja ya kupiga ramli we subiria tu ikifika may tunakuja na Id mpya ya Alhamisi88.
Halafu waambie kabisa ndugu zako wa livapuli kesho wakijifanya kutaka kupishana na sisi watachezea mvua ya magoli, salama yao wapaki basi waforce draw
Muda hausimami. Tutaona tu.
Kuhusu wale Livakuku, hakikisheni timu imejaa mabeki. Hata kina Bruno na Garnacho na Rashidi wawekeni nje na nafasi zao jazeni hata mabeki wa academy huko ili mradi beki. Kisha chezeni nusu uwanja. Mkijidai kupishana nao...mnawajua wale walivyo na misifa . 9-0, 10-0 zitawahusu. Siku hiyo hata wazembe kama kina Nunez watapiga hat-trick.
 
haina haja ya kupiga ramli we subiria tu ikifika may tunakuja na Id mpya ya Alhamisi88.
Halafu waambie kabisa ndugu zako wa livapuli kesho wakijifanya kutaka kupishana na sisi watachezea mvua ya magoli, salama yao wapaki basi waforce draw
Tupo palee

Ajabu hivi vitisho unakuja kuwatambishia Arse8

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tupo palee

Ajabu hivi vitisho unakuja kuwatambishia Arse8

Sent using Jamii Forums mobile app
hawa nyau ndio wanyonge wetu, tusipo zitambia hizi Kima tutamtambia nani?
Ila na nyie livapunda kuweni na utu basi, kwani mkitufunga 1-0 au 2-0 mtapungukiwa kitu gani?
Kama points ni zilezile 3 tu, kumfunga Man utd goli 7 ni kujitafutia laana za bure tu halafu mwisho wa msimu hata top4 mnashindwa kutoboa.
Goli 7 zinaweza mfanya hata mtoto mdogo aonekane mzee, kamwe siwezi kuisahau sura ya rashidi ilivyokua baada ya kile kipigo cha mbwa koko.
tapatalk_-1022355518_578x578.jpg
 
hawa nyau ndio wanyonge wetu, ila na nyie livapunda kuweni na utu basi, kwani mkitufunga 1-0 au 2-0 mtapungukiwa kitu gani?
Kama points ni zilezile 3 tu, kumfunga Man utd goli 7 ni kujitafutia laana za bure tu halafu mwisho wa msimu hata top4 mnashindwa kutoboa.
Goli 7 zinaweza mfanya hata mtoto mdogo aonekane mzee, kamwe siwezi kuisahau sura ya rashidi ilivyokua baada ya kile kipigo cha mbwa koko. View attachment 2844125
Naona mmekuja kutafuta huruma kwa arsenyani 😂
Wanawafariji eti pangeni mabeki tu


Hakuna picha hamtaona mwaka huu🤣🤣🤣

Vipi Rashid Mpemba naye atakuwepo?🤣
 

Attachments

  • 20230305_232525.jpg
    20230305_232525.jpg
    71.3 KB · Views: 6
Naona mmekuja kutafuta huruma kwa arsenyani
Wanawafariji eti pangeni mabeki tu


Hakuna picha hamtaona mwaka huu

Vipi Rashid Mpemba naye atakuwepo?
hawa kima eti leo wajifanya kutuombea tumgonge au hata tusuluhu na nyinyi ili gape lao na nyinyi lipungue.
Kikubwa mpaka sisi mashabiki wa Utd kesho tunawaombea Liverpool na Brighton wote wapate points3.
 
hawa kima eti leo wajifanya kutuombea tumgonge au hata tusuluhu na nyinyi ili gape lao na nyinyi lipungue.
Kikubwa mpaka sisi mashabiki wa Utd kesho tunawaombea Liverpool na Brighton wote wapate points3.
Nashangaa huu Upendo arsenyeto wameutoa wapi 😂😂😂😂😂

Kipigo kipo palepale 🤣
7 itapendeza

Tofauti ya msimu Jana na huu,
Tutawaruhusu mtufunge bao hata moja angalau msitie huruma.
Magoli 7 kwa nunge ni unyama wa hali ya juu sana.
 

Attachments

  • JamiiForums-1056467408.jpeg
    JamiiForums-1056467408.jpeg
    14.4 KB · Views: 8
hawa kima eti leo wajifanya kutuombea tumgonge au hata tusuluhu na nyinyi ili gape lao na nyinyi lipungue.
Kikubwa mpaka sisi mashabiki wa Utd kesho tunawaombea Liverpool na Brighton wote wapate points3.
Acha roho mbaya mkuu. Piga hiyo livapunda, mimi nichinje hizi njiwa bahari (seagulls) niketi zangu pale juu kileleni ninapostahili.
 
haina haja ya kupiga ramli we subiria tu ikifika may tunakuja na Id mpya ya Alhamisi88.
Halafu waambie kabisa ndugu zako wa livapuli kesho wakijifanya kutaka kupishana na sisi watachezea mvua ya magoli, salama yao wapaki basi waforce draw
wewe ndo wakuwatisha Liver kiasi hiki
 
hawa kima eti leo wajifanya kutuombea tumgonge au hata tusuluhu na nyinyi ili gape lao na nyinyi lipungue.
Kikubwa mpaka sisi mashabiki wa Utd kesho tunawaombea Liverpool na Brighton wote wapate points3.
Mkuu dalili za kuwa mchawi ukiwa Babu huwa zinaanza hivihivi🤠🤠....hzo ndo dalili za mwanzo kabisa....unaacha kihangaika na ya kwenu tena unaombea kabisa mfungwe eti na sisi tufungwe pia....utaratibu ni uleule huwa hatufungwi mechi 2 mfululizo...hlo suala kwetu halipo
 
Acha roho mbaya mkuu. Piga hiyo livapunda, mimi nichinje hizi njiwa bahari (seagulls) niketi zangu pale juu kileleni ninapostahili.
ukiachana na tulivyombahatisha 2-1 msimu ulioisha kwenye round ya kwanza hivi unajua mara ya mwisho man utd kumfunga livapunda ilikua ni mwaka gani?
Nakukumbusha tu kipindi hicho Diamond alikua bado yupo kigoma anauza kahawa hata mawazo ya kuja Dar alikua hana.
Kwa taarifa yako hii siku waliyopiga hii picha ya pamoja Esma, Rommy jones na chibu ndio ilikua mara ya mwisho utd kumfunga livefool.
1702736240612.jpg
 
wewe ndo wakuwatisha Liver kiasi hiki
Hio ndio mikwara yetu kina MANdoga.
Tukishinda kama tumeshinda na tukishindwa kama tumeshinda, kwenye football hakuna raha kama kuwa shabiki wa Manchester.
Siku hizi kuna Man Utd ya kabla ya mechi na Man utd baada ya mechi.
 
Hio ndio mikwara yetu kina MANdoga.
Tukishinda kama tumeshinda na tukishindwa kama tumeshinda, kwenye football hakuna raha kama kuwa shabiki wa Manchester.
Siku hizi kuna Man Utd ya kabla ya mechi na Man utd baada ya mechi.
navyomkubali Ten hug kesho lazima awatulize mashabiki na bodi nzima ya Nyumbu
 
Mkuu dalili za kuwa mchawi ukiwa Babu huwa zinaanza hivihivi....hzo ndo dalili za mwanzo kabisa....unaacha kihangaika na ya kwenu tena unaombea kabisa mfungwe eti na sisi tufungwe pia....utaratibu ni uleule huwa hatufungwi mechi 2 mfululizo...hlo suala kwetu halipo
mimi furaha yangu kubwa ni kuona tu Arsenyau wanateseka haijalishi timu yangu inapitia kwenye kipindi gani.
Kesho kina Mitoma, Joao Pedro, Gilmour na Le captain Grob wasipomlambisha Arsenyau mchuzi niulizwe mimi.
De zebri amesema kesho anataka amfundishe Mateka maana ya pressing na overloading.
 
hivi wewe unajua mara ya mwisho man utd kumfunga livapunda ilikua ni mwaka gani?
Nakukumbusha tu kipindi hicho Diamond alikua bado yupo kigoma anauza kahawa hata mawazo ya kuja Dar alikua hana.
Kwa taarifa yako hii siku waliyopiga hii picha ya pamoja Esma, Rommy jones na chibu ndio ilikua mara ya mwisho utd kumfunga livefool. View attachment 2844146
Arse8 toka lini wakawapenda nyumbu
Ni mtego huo
 
Arse8 toka lini wakawapenda nyumbu
Ni mtego huo
sisi mashabiki wa Utd mbona tulisha wastukia mapema sana tu, kama msimu ulioisha jinsi tulivyo simama na mliMancity msimu huu tutasimama na livapunda mpaka tuhakikishe Arsenyau anatoka mikono mitupu.
Miaka 20 bila Epl, miaka 1000 bila ya kombe lolote la Uefa halafu na wao eti wajiita maGiant
 
sisi mashabiki wa Utd mbona tulisha wastukia mapema sana tu, kama msimu ulioisha jinsi tulivyo simama na mliMancity msimu huu tutasimama na livapunda mpaka tuhakikishe Arsenyau anatoka mikono mitupu.
Miaka 20 bila Epl, miaka 1000 bila ya kombe lolote la Uefa halafu na wao eti wajiita maGiant
Wajaa laana hawa heri mmewastukia
Na mwaka huu pia ni wasindikizaji wasio na tiketi.
Kikosi Cha wahuni, labda wabebe vikombe vya chai

Kila siku wanashinda kuwatukana kwenye uzi wenu
Halafu leo eti wanawashauri namna ya kupanga Kikosi
 
Wajaa laana hawa heri mmewastukia
Na mwaka huu pia ni wasindikizaji wasio na tiketi.
Kikosi Cha wahuni, labda wabebe vikombe vya chai

Kila siku wanashinda kuwatukana kwenye uzi wenu
Halafu leo eti wanawashauri namna ya kupanga Kikosi
kwa umoja wetu mashabiki wote wa Epl tunatakiwa tuwe humu tunawapiga spana 24/7 hawa wajaa laana.
Kwanza hii sio timu ni kikundi tu cha wauza karanga.
 
kwa umoja wetu mashabiki wote wa Epl tunatakiwa tuwe humu tunawapiga spana 24/7 hawa wajaa laana.
Kwanza hii sio timu ni kikundi tu cha wauza karanga.
Hawa wapiga baruti bhana

Timu gani haina kikombe chochote miaka nenda miaka rudi
 
Back
Top Bottom