Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Unamaanisha nini sasa? Kwamba baada ya Aaron na Hamis kutakuwa na ID nyingine next season?



haina haja ya kupiga ramli we subiria tu ikifika may tunakuja na Id mpya ya Alhamisi88.Halafu waambie kabisa ndugu zako wa livapuli kesho wakijifanya kutaka kupishana na sisi watachezea mvua ya magoli, salama yao wapaki basi waforce draw




