Nakubaliana na weweTukiwa na pattern nzuri ya kiungo na hii backline line yetu
Saka, martinel, Jesus, Trossad, Kai
Hawa watatufurahisha tu
Odegard atatafuta mashimo yote uwanjani, msako ukianza
Stats za Uefa kwenye goals sisi ndio tumekimbizaNakubaliana na wewe
Tukimchukua kwa mkopo itakua materialized SanaIvan Toney anataka kwenda Arsenal kuliko Chelsea
Fabrizio Romano
Sheria za EPL zinataka usifanye biashara ya mkopo kwa timu moja zaidi ya mchezaji mmoja
Arsenal imeshamalizana na Brentford kuhusu malipo ya Raya ,inachosubiri January moja iwekwe hadharan
Arsenal wanataka kumchukua Ivan Toney kwa mkopo wenye kipengere Cha kulipa Summer
Ivan Toney chaguo lake ni Arsenal
Hii itatoa mwanya kwa Arsenal kufanya biashara maeneo mengine huku ikipata na CF
Pesa itatumika kununua Beki ,kiungo na tutapata CF
Fabrizio Romano on Ivan Toney:
“From what I’m hearing, this is one more detail on Ivan Toney, this is a rumour I’m hearing that his preference in terms of a top club move in January or the summer would be to go to Arsenal. From what I’m hearing Ivan Toney could be really excited by the possibility of joining Arsenal.”
{Kick}View attachment 2843575










Mie nmechukulia Saga la Arsenala Last season kumtaka Caicedo january kwa nguvu zote alf baada ya hapo dirisha kubwa hata hawakujisumbua kutuma ofa yoyote wala kuulizia ndo nikawa nawaza ishu ya Ivan inaweza kutoka kama iliyotokea kwa Caicedo wala sijaitaji aje akae benchi ArsenalWazi la Caicedo futa kabisa
Sioni kama Arteta akimuuza Partey January,Stats za Uefa kwenye goals sisi ndio tumekimbiza
Kwenye ligi stats za magoli tupo vizuri, alafu ukija defensively ndio wamoto zaidi
Binafsi naona kiungo tunahitaji zaidi na partey asiuzwe hii January.
Hakuna timu itatamani ikutane na arsenal
False hopers mmeanza kidomo domo tena sio ?Kwenye ushahidi pia kijana wetu Joe Willock kasema mpira Ni kweli ulitoka nje
Once Gunner always GunnerView attachment 2842639






False hopers FCUongozi wa Chelsea una upumbavu mwingi yule dogo Andrey Santos waliepeleka Notingham forest Kwa mkopo ni uharibifu wa kipaji ,yule dogo tungempeleka hata kwa asenyetoz angepata uzoefu na kukichafuaNakubaliana na wewe
Hapo sawaPalinha hii machine inabidi tuichukue mapema sana
Kuhusu Kati ya mshambulia CF na kiungo, naona Bora tumpate kiungo
Binafsi mimi bado sijapenda ufungaji wetu. Naamini kuwa kama tunataka kuwa top top top side, tunatakiwa kufunga timu nyingi zaidi kwa zaidi ya magoli 3. Yaani 3-0, 4-1, 5-0 nk, ili nione kama tunamchapa mtu haswa.Stats za Uefa kwenye goals sisi ndio tumekimbiza
Kwenye ligi stats za magoli tupo vizuri, alafu ukija defensively ndio wamoto zaidi
Binafsi naona kiungo tunahitaji zaidi na partey asiuzwe hii January.
Hakuna timu itatamani ikutane na arsenal
Umeona Ile siku city vs Villa, Haaland alivyokua anazururaBinafsi mimi bado sijapenda ufungaji wetu. Naamini kuwa kama tunataka kuwa top top top side, tunatakiwa kufunga timu nyingi zaidi kwa zaidi ya magoli 3. Yaani 3-0, 4-1, 5-0 nk, ili nione kama tunamchapa mtu haswa.
Hizi 2-1, 3-2, 1-0 zinanionesha kuwa hatufungi vya kutosha na pia tunafungwa kuliko kiasi ninachopenda hata kama siyo kama timu zingine.
Kitu kingine kwenye stats ambacho binafsi sipendi ni scoreline kubwa kwenye mechi moja inayokuja kutumika kufukia makosa mengine. Mfano Lens tumempiga 6-0 lakini alitupiga 2-1. Aggregate 8-1. Mimi hapo kwa Aggregate hiyo ningependa kuipata kwa kushinda 4-1 na 4-0. Nachosema ni kushinda kwa magoli mengi mechi moja haileti picha halisi ya timu. Mfano mzuri ni ukiangalia Newcastle GD yao. Halafu ukiangalia na 3-0, 4-1 walizopigwa na Everton na Tottenham na sare walizotoa, 5-1 na 4-0 walizopiga akina crystal palace, unaona GD ingecheza kwenye 7-9 au hata chini zaidi kuendana na midtable teams zingine kama Brighton (mwenye 5).
Lakini unakuja kuona ile 8-0 waliyompiga Sheffield inawafanya waonekane kama wako vizuri kwa kufunga, hence pia ni timu kali. Njoo kwenye actual points, Newcastle mwenye GD ya 12 ana 26 points, chini ya Manyumbu wenye GD ya -3 na 27 points.
Nachosema ni sometimes tuangalie consistency ya wins na consinstently large win margins kuliko kuwa general sana. Angalia GD yetu premier league halafu angalia na ya Liverkuku na Mamacita, halafu kumbuka hapo kuna mtu tulimpiga 5-0. Hii inatuambia nini?
Yes. Sikuicheki hiyo game ila kweli forwards na mid yetu inapaswa kuzidisha magoli. Ode, Rice, Kai nao washoot zaidi.Umeona Ile siku city vs Villa, Haaland alivyokua anazurura
Sometimes timu kumtegemea CF Kama inakua rahisi sana ku-be marked kuliko kukiwa na goals distribution kwa attackers wote
Tena sometimes hujui Nani atakufunga, au Nani umkabe zaidi
Naomba martinel, saka na Jesus waongeze strikes
Warudishe ule Moto wa last season
Hao wakipewa assurance ya supply ya mipiri muda wote, mbona nyavu zitacheka sanaYes. Sikuicheki hiyo game ila kweli forwards na mid yetu inapaswa kuzidisha magoli. Ode, Rice, Kai nao washoot zaidi.
Yaani umeshasahau ya Everton wiki ilopita tyri umekuja kutujazia nzi hmu🤠🤠...kwli binaadamu tunaumbiwa kusahau....mnahangaika sana na hili neno false hopers....sasa mnataka tuhuzunike wakati tupo nafasi ya 2...hebu tupumzisheni ndugu zetu😀😀😀False hopers mmeanza kidomo domo tena sio ?
Ngoja mmbamizwe hiyo mechi inayokuja ,
Yaani asenyetoz mnachekesha sana
Mkila kisago mnapotea humu kabisa
False hopers FC
Lower your expectations and you will thank me later.


false hopers hawa waache waendelee hivihivi kuishi kwa matumaini ili mwisho wa msimu tuwasimange na kuwacheka vizuri kama tulivofanya msimu ulioisha. 



Yaani umeshasahau ya Everton wiki ilopita tyri umekuja kutujazia nzi hmu...kwli binaadamu tunaumbiwa kusahau....mnahangaika sana na hili neno false hopers....sasa mnataka tuhuzunike wakati tupo nafasi ya 2...hebu tupumzisheni ndugu zetu
![]()





Unamaanisha nini sasa? Kwamba baada ya Aaron na Hamis kutakuwa na ID nyingine next season?false hopers hawa waache waendelee hivihivi kuishi kwa matumaini ili mwisho wa msimu tuwasimange na kuwacheka vizuri kama tulivofanya msimu ulioisha.
Msimu ujao kuna watu wataibiwa simu humu na watabadilisha tena Id zao kama ilivyokuwa msimu uliopita![]()