Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Niwe mkweli tu, siku hizi mimi napendelea kutembelea uzi wa gunners kila nikimaliza kufanya shughuli zangu za msingi ili kupata burudani ya jinsi mashabiki wanavyojiskia wakubwa kuliko uhalisia wenyewe. Ila najua hii yote ni ugeni wa kuwa kwenye form, muda ukipita kidogo mtazoea na mtaona vitu vya kawaida sana tu. Huwezi kuta shabiki wa liverkuku, nyumbu, city na chelkenge waki exaggerate ubora wao kama mnavyofanya nyie, its too much gunners.
Siyo kwamba hatujui kuwa tunajizidishia chumvi. Tunajijua tunauwezo ila tunajua udhaifu wetu zaidi. Ni kwamba tukishinda, kitu ambacho kimekuwa kikitokea zaidi ya zamani, tunakuza ukubwa wetu. Tukifungwa, kitu ambacho kimepungua kuliko zamani, tunakuza udhaifu wetu. Yaani ni tabia tu za kishabiki na, niamini, majukwaa yote yako hivyo.
 
Nadhani Sasa ile laana itawaacha kidogo Newcastle


Arteta kakutwa hana hatia


Na Arsenal wametoa Statement
 
A big reason why Mikel Arteta has been cleared of all charges is because Joe Willock told some of the Arsenal players after the game that he thinks the ball went out of play, before he crossed it in for the goal.
20231214_193550.jpg
 
Kwenye ushahidi pia kijana wetu Joe Willock kasema mpira Ni kweli ulitoka nje

Once Gunner always Gunner
20231214_194033.jpg
 
Grupu jepesi Sana lile , PSG,AC MILAN wapo hoi bin taaban, BVB kule Bundesliga wanajipigia tu

Halafu mtu anakwambia eti kundi la kifo

UCL timu nyingi zimebaki majina

Naungana na zege la nyasi ,Mikel aongeze beki wa Kati mwenye uwezo wakucheza pemben na kiungo mmoja anayeweza kucheza LCM na DM, mrefu pande la mtu


UCL Kama nilivyosema ,timu nyingi Ni dhaifu

Sarri kocha wa Lazio kasema yeye anataka mterezo na kaomba mapema apewe Barcelona


Lazio manager Maurizio Sarri:

“I’d like to face Barcelona at UCL round of 16, honestly”.


Ninachoomba Mancity wanitolee ,Hawa wengine watanieleza vzr

Why mancity ,sipend kucheza na timu inayotaka na yenyewe imiliki mpira ,mechi mbili za mwaka huu zote zimeenda Kama 50/50

Lakini Hawa wengine watake wasitake watapakishwa basi kilazima

TUKUTANE WEMBLEY MWEZI MAY


View attachment 2842380

Nakubali
 
Ukitazama hapo unaona Arsenal ina superior goal difference (12) kuzidi team zote kwenye hatua ya makundi kwa msimu wa 2023/2024.

Pamoja na kutokuwa na natural striker tumefunga magoli 16, magoli mawili pungufu kwa City mwenye goal 18. Tumeruhusu magoli 4 tu katika mechi 6 huku mawili yakitokea against Lens kwenye mechi moja.

Pamoja na injuries za defence unit (Partey na Jurrien) bado team inaonesha kuwa na good balance when it comes to attacking and defence.
Yeah,
Partey akirudi sasa, daaah
 
Binafsi naamini huyu shabiki wa Newcastle ndio yule computerarsenal, na huyu inaonekana ni shabiki wa Man united, anachofanya ni kuvuruga hali ya hewa humu kwani inamfanya ajisikie raha, ndio maana anatafuta kila namna ya kuikosoa arsenal, hii inamfanya ajisikie vizuri sababu kuukubali ukweli arsenal inafanya vizuri ni maumivu makali kwa shabiki yoyote wa manunu.

Huyu alishasema Leicester city na Brendan Rodgers ni bora kuliko Arsenal na Arteta, kuna kipindi kachafua sana server humu kwa hoja za Conte na Spurs dhidi yetu, leo jahazi limezama anatafuta unafuu kupitia Newcastle na Eddie howe kesho ataleta hoja za Aston villa na Unai, kesho kutwa tujiandae kwa fujo za RDZ na brighton yote ni kutafuta unafuu.
Conclusion
Huyu Jamaa apuuzwe, ni mpumbafu.
 
BAADA YA MANJESTA NA NYUKASTO KUBURUZA MKIA ,HIZI NDIO FAIDA WATAPATA ARSENAL NA MANCITY

With Manchester United and Newcastle United having parted ways with the Champions League, Arsenal and Manchester City will benefit greatly from the €303.3 million euro television royalties because half of this amount will be divided based on the number of matches played by a club who participates in the Champions League arena.

After passing the group stage, Arsenal collected €77.21 million in prize money and we will receive more if we progress in the Champions League

Participation in the quarter-finals: €10.6 million euros.
Participation in the semi-finals: €12.5 million euros.
Participation in the final: €15.5 million euros. Champions League champion: €23.5 million euros.

With the money in the Champions League arena, Arsenal will benefit a lot both financially and in the club's attractiveness with the goals we aim for in the upcoming transfer periods.

Your thoughts...

#Arsenal
20231213_175837.jpg
 
Thomas Partey has stepped up his personal training and he's likely to return to full training with the team soon.


[source: @samuel_zigah]-wakala wa Partey
20231214_210206.jpg
 
Hizo historia ,hazichezi ,ingekuwa hivo Barcelona last season asingeenda Europa ,msimu huu wenyewe ilibaki kidogo wampeleke Europa

Hilo kundi unalosema Gumu ,AC Milan kaenda Europa ,BVB ndiye kavuka

Hilo kundi Newcastle alikuwa kilaza tu ,

Timu ilijizatiti haishindw kupita hilo kundi,

Huu ujinga wakucheza na historia ndio umemponza manjesta wamemshikisha mkia kund Lina Copenhagen na Galatasaray ambayo imeokota wachezaji reject


PSG hata kwenye Ligi yake wanamkimbiza Sana, BVB Hana makali hayo ,BVB alichofanya kwenye Hilo kundi kamtumia Newcastle Kama ngazi kakomba points 6 ,kaokoteza na kwa wengine akafuzu mapema , ila sio kwamba BVB Ni Bora Sana

PSG , AC MILAN,Barcelona zimebaki majina tu


Maurizio Sarri kasema anaomba apewe Barcelona awahi robo fainal, wewe unatuambia habari za historia
Sarri ameacha kuvuta fegi, anavuta Cha Arusha sasa
 
Acha kuchekesha watu mzee, kwamba 'mbinu za makocha zinaishia group stages!' kwahiyo Villareal ya Emery ilikuwa na wachezaji bora kuliko Bayern?

yhaa! ubora wa wachezaji walikuwa nao at that time na ndo mana pia walieza kumtoa juve round of 16 na wakafika semi nakutolewa na liva.

ubora wa wachezaji hauangaliwi kwa majina bali uwezo wake mchezaji binafsi kwa wakati huo.
 
Back
Top Bottom