Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Timu zenye clean sheet kwa EPL Arsenal ni ya kwanza.

Ujue mashabiki wa Arsenal hatufuatilii hivi vitu vidogo vidogo kwakua sisi picha kubwa tuliyonayo ni kushinda na makombe tu.

Sasa timu ndogo hazina uhakika na makombe inabidi wafocus na takwimu zisizo na mchango kwenye safari.

Tafuta defense ngumu kuliko zote kwenye mpira kwa sasa, Arsenal hauikosi, lethal team away na home Arsenal hauikosi. Angalia GD yetu, angalia team play statistics.

Sasa hizo zote tupo vizuri isipokua hua hatuzifuatilii kama kipindi kile cha Emery
 
Timu zenye clean sheet kwa EPL Arsenal ni ya kwanza.

Ujue mashabiki wa Arsenal hatufuatilii hivi vitu vidogo vidogo kwakua sisi picha kubwa tuliyonayo ni kushinda na makombe tu.

Sasa timu ndogo hazina uhakika na makombe inabidi wafocus na takwimu zisizo na mchango kwenye safari.

Tafuta defense ngumu kuliko zote kwenye mpira kwa sasa, Arsenal hauikosi, lethal team away na home Arsenal hauikosi. Angalia GD yetu, angalia team play statistics.

Sasa hizo zote tupo vizuri isipokua hua hatuzifuatilii kama kipindi kile cha Emery
Zote hizo tunatakiwa kuboresha. Najiuliza solidity kwenye set pieces imeenda wapi? Kuna game tungeshinda, kama Fulham 2-2, kama tungejilinda vizuri kwenye kona. Luton alipata magoli mawili ya kona. Tulishinda game 3-4 ila tungewapiga hata 1-3 au 1-4, tungekuwa na GD sawa na kina Liverkuku. Tusingepigwa goli la mchongo Mijusi, tungekuwa tunaongoza GD....
Anyway, wanasemaga "Hindsight is 20/20" ila tunapaswa kuimarika kila idara. Magoli ya kufungwa lazima yapungue, ya kufunga lazima yaongezeke.
 
Zote hizo tunatakiwa kuboresha. Najiuliza solidity kwenye set pieces imeenda wapi? Kuna game tungeshinda, kama Fulham 2-2, kama tungejilinda vizuri kwenye kona. Luton alipata magoli mawili ya kona. Tulishinda game 3-4 ila tungewapiga hata 1-3 au 1-4, tungekuwa na GD sawa na kina Liverkuku. Tusingepigwa goli la mchongo Mijusi, tungekuwa tunaongoza GD....
Anyway, wanasemaga "Hindsight is 20/20" ila tunapaswa kuimarika kila idara. Magoli ya kufungwa lazima yapungue, ya kufunga lazima yaongezeke.
Hii takwimu sijui kama imebadilika ila Arsenal ndiyo timu inayoongoza kwa magoli ya kona ila defense yetu against set pieces iko questionable mno kwa sasa
 
Hii takwimu sijui kama imebadilika ila Arsenal ndiyo timu inayoongoza kwa magoli ya kona ila defense yetu against set pieces iko questionable mno kwa sasa
Last season tulienda muda mrefu sana bila kupigwa kwa set piece, iwe kona ama freekick. Then tukapigwa kona moja na ghafla ikawa kama mafuriko tukaanza kupigwa hovyo kwenye set pieces. Na imeendelea. Jover aanze kazi upya.
 
PSG wana kazi. Wamepoteza chances kadhaa. 1-1. Huku Newcastle wanaongoza 1-0. Michezo yA leo ilivyo , naona kama Newcastle wanastahili kuliko PSG
 
Newcastle wasiposhinda mechi yao ni wao hawajataka. Sijaona midfield ya kichovu na wasteful kama ya milan.
 
Newcastle wasiposhinda mechi yao ni wao hawajataka. Sijaona midfield ya kichovu na wasteful kama ya milan.
Kesho ukiongea na yule kibaraka wa Nyukesto mwambie tukiyomtabiria yte yametokea....tulimwambia Dortmund na PSG ndo watapita na wameshapita...na tulimwambia hafikishi point 9 na hazijafika kwli🤠🤠🤠...ukishakuwa na kikundi cha wafanya Fujo uwanjani usitegemee kupata matokeo chanya siku yyte....
 
Vitu napenda kuona

Tulimwambia yule jamaa yenu Manjesta na nyukasto wataburuza mkia


Pumbaff
20231214_012847.jpg
 
Meneja wa PSV Peter Bosz aliyemuibua Kai Havertz ,Bayer Leverkusen:


“Nilipofika Leverkusen alicheza kama winga wa kulia lakini nilimwona kama kiungo mkabaji.

"Kwa hivyo nilimweka katika mfumo,karibu zaidi au kidogo, na kiungo mkabaji mmoja au na viungo wakabaji wawili, [Julian] Brandt . Na alicheza bora huko.

“Mwishowe nilimweka kama nambari 9. Rudi Voller hakukubaliana nami lakini nadhani anaweza kucheza huko pia, ndivyo alivyofanya Chelsea.

"Sasa anacheza zaidi tena kama kiungo pemben ya mkabaji.

Anaweza kucheza nafasi hizo lakini pia anaweza kucheza pembeni.

"Hiyo ina maana kwamba yeye ni mchezaji mwenye akili sana, kiufundi pia kwa mchezaji mrefu kama yeye, anaweza kufunga mabao,anaweza kucheza zaidi ya nafasi moja . Lakini ninaamini anapocheza sasa ndio nafasi yake bora zaidi.”
20231211_174412.jpg
 
Kesho ukiongea na yule kibaraka wa Nyukesto mwambie tukiyomtabiria yte yametokea....tulimwambia Dortmund na PSG ndo watapita na wameshapita...na tulimwambia hafikishi point 9 na hazijafika kwli🤠🤠🤠...ukishakuwa na kikundi
Tutampa tu pole. Walikuwa na nafasi nzuri ya kushinda ila hawakuitumia. Ni vizuri pia wametoka huku wapunguze takataka champions league. Pia ni vizuri wameburuza mkia maana waliambiwa itakuwa hivyo. Wamekaa miongo bila champions league hivyo inapendeza kuona wameburuza mkia wasijipe false hopes kuwa nao wanauwwza muziki wa huku champions league.
 
Eliminating Manchester Utd and Newcastle Utd in the UCL group stage will allow Arsenal to gain additional prize money from the market pool .


The further the Gunners go in the competition, the more they will earn. ManCity's potential knockout stage defeat will be an added bonus.
 
Henry 14 umeona hii ,
Eliminating Manchester Utd and Newcastle Utd in the UCL group stage will allow Arsenal to gain additional prize money from the market pool .


The further the Gunners go in the competition, the more they will earn. ManCity's potential knockout stage defeat will be an added bonus.
 
Kitendo Cha Man u na Newcastle kuburuza mkia kinafanya nafasi ya Ligi ya Uingereza kupata nafasi ya kupeleka nafasi ya 5 UCL ipotee ,Sasa inabaki kwa Germany na Italy


Only top 2 get a 5th place in UCL

1. Germany, 13.36
2. Italy, 13.14
3. England, 12.13
4. Spain, 12.06
5. France, 10.42

Manjesta na Nyukasto mmeitia aibu Ligi ya malkia
 
BAD NEWS

Joshua Mollel, a 21-year-old Tanzanian student, was abducted by Hamas terrorists in Nir-Oz on October 7th.

His family has been informed that he was killed by Hamas during his captivity. Joshua, an Arsenal fan, will be remembered, and may his memory be honored.
20231214_020746.jpg
 
Hizi ndio timu zilizofuzu hatua ya 16 bora kwenye michuano ya klabu bingwa Ulaya 2023/24.

Walioongoza Makundi
Bayern
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Arsenal
Real Madrid
Real Sociedad
Atlético
Dortmund
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Man City
Barcelona

Waliomaliza nafasi ya pili katika Makundi
Copenhagen
PSV
Napoli
Inter
Lazio
PSG
RB Leipzig
Porto

Walioburuza Mkia

1.Manjesta
2.Nyukasto
 
Back
Top Bottom