Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,870
- 16,425
njama ovu zitoke wapi ? Arsenal ndo timu yakufanyiwa njama kweli? Wachezaji wanajindondosha ovyo halafu mnataka foul au tuta! .
Nyie nendeni kwenye draft labda mtaweza kidogo .


hawa jamaa tokea kipindi cha mzee Wenger mpaka leo wao ni kulalamika tu, kama vipi ni bora wajiite tu Malalamiko Fc. Wao wakishinda huwasikii wakilalamikia VAR wala Refa ila wakifungwa sasa daaaahhh lawama mwanzo mwisho.
Kulialia ni miongoni mwa tabia za false hopers.

