Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 1,093
- 3,151
Hebu tafuta sehemu niliyowahi kusema tunamaliza kundi na points 18 au 15 au hata 1.
Humu unakuja kwakua una stress hakuna uzi wa timu yako. Be different kaanzishe uzi, jiamini.
Hakuna sehemu nimesema wewe ndo uliosema ,soma vizuriii tena kuna false hoper and senior false giver alisema hayo maneno so mkayameza kama yalivyo.
Stress napata wapi na wakati mimi sio false hoper mkuu , nishakuambia hii thread ni kijiwe cha vichekesho na kupiga zogo. Tunafurahi kuwa hapa wala hatuna tatizo na nyinyi false hopers ila tuna tatizo na false hopes mlizonazo.
Naona unanifukuza mkuu mapema iviii je tukifika january or February si ndo utatamani nipigwe ban kabisa.

