Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hebu tafuta sehemu niliyowahi kusema tunamaliza kundi na points 18 au 15 au hata 1.

Humu unakuja kwakua una stress hakuna uzi wa timu yako. Be different kaanzishe uzi, jiamini.

Hakuna sehemu nimesema wewe ndo uliosema ,soma vizuriii tena kuna false hoper and senior false giver alisema hayo maneno so mkayameza kama yalivyo.

Stress napata wapi na wakati mimi sio false hoper mkuu , nishakuambia hii thread ni kijiwe cha vichekesho na kupiga zogo. Tunafurahi kuwa hapa wala hatuna tatizo na nyinyi false hopers ila tuna tatizo na false hopes mlizonazo.

Naona unanifukuza mkuu mapema iviii je tukifika january or February si ndo utatamani nipigwe ban kabisa.
 
Hakuna sehemu nimesema wewe ndo uliosema ,soma vizuriii tena kuna false hoper and senior false giver alisema hayo maneno so mkayameza kama yalivyo.

Stress napata wapi na wakati mimi sio false hoper mkuu , nishakuambia hii thread ni kijiwe cha vichekesho na kupiga zogo. Tunafurahi kuwa hapa wala hatuna tatizo na nyinyi false hopers ila tuna tatizo na false hopes mlizonazo.

Naona unanifukuza mkuu mapema iviii je tukifika january or February si ndo utatamani nipigwe ban kabisa.
Ukianzisha uzi tutajua wapi pa kukupata, haufukuzwi.

Kenge, kuku na nyumbu tunajua tunawapata wapi. Wewe upo kama Yahaya tukuvizie tutakapokukuta tukushushie marungu muda huo huo
 
Kipa wa Arsenal, Raya amesababisha magoli mawili, sawasawa na mchezaji mzoefu kuliko wote nyukesto Trippier.

Beki mzoefu mwenye assists nyingi kuliko mchezaji yoyote wa arsenal pia hilo mbona huliweki.

Anyway hivi pale st james mlishinda ngap? mnajificha kwenye mgongo wa Tottenham naona ila mnasahau ubabe tuliowaonyesha pale st james.

Naona unakesha ili PSG ashinde maana aki draw tu tupo 16 mpaka quater final huko or hata tukienda europa tutabeba so sisi lolote sawa tu .

Maana 16 bora ndo hatua yenu kubwa zaidi UEFA mlichojitahidi tu ni kumaliza nafasi ya kwanza makundi baada ya miaka zaidi ya 15
 
Beki mzoefu mwenye assists nyingi kuliko mchezaji yoyote wa arsenal pia hilo mbona huliweki.

Anyway hivi pale st james mlishinda ngap? mnajificha kwenye mgongo wa Tottenham naona ila mnasahau ubabe tuliowaonyesha pale st james.

Naona unakesha ili PSG ashinde maana aki draw tu tupo 16 mpaka quater final huko or hata tukienda europa tutabeba so sisi lolote sawa tu .

Maana 16 bora ndo hatua yenu kubwa zaidi UEFA mlichojitahidi tu ni kumaliza nafasi ya kwanza makundi baada ya miaka zaidi ya 15
Ana assists 7.

Kijana mdogo Saka ana assists 6.
 
Beki mzoefu mwenye assists nyingi kuliko mchezaji yoyote wa arsenal pia hilo mbona huliweki.

Anyway hivi pale st james mlishinda ngap? mnajificha kwenye mgongo wa Tottenham naona ila mnasahau ubabe tuliowaonyesha pale st james.

Naona unakesha ili PSG ashinde maana aki draw tu tupo 16 mpaka quater final huko or hata tukienda europa tutabeba so sisi lolote sawa tu .

Maana 16 bora ndo hatua yenu kubwa zaidi UEFA mlichojitahidi tu ni kumaliza nafasi ya kwanza makundi baada ya miaka zaidi ya 15
Huijui Arsenal.

Rival wa Arsenal ni Spurs, hata angekufunga 100 shabiki wa Arsenal siruhusiwi kushangilia ndiyo maana unaona siitaji hiyo timu kukufunga.

Kihistoria tangu nyukesto mkutane na Arsenal mechi mlizoshinda hazizidi nne. Nyukesto ni punje ya mpunga mbele ya Arsenal.
 
Labda hujui timu inayoongoza kwa ushindi mkubwa ni sisi pia

Newcastle vs Aston villa 5:1
Sheffield vs Newcastle 0:8
Newcastle vs crystal 4:0
Newcastle vs chelaea 4:1

Majeruhi na wewe unajiita una majeruhi kwa huyo partey na timber? Nikikuiliza unitajie wachezaji wa 3 wa arsenal wanaoanza ambao ni majeruhi hamna.

Team yenye clean sheet nyingi mpaka sasa ni Newcastle nakukumbusha tu.
Hebu nipe idadi ya hao majeruhi na nipe data kwmba kabla hawakuumia hawa watu timu ilikuwa nafasi ipi..tuone impact ya kuumia kwao🤠🤠🤠...unaishi kijanjajanja sana
 
Umenikumbusha nilikua naangalia game yenu na aston villa sasa pembeni yangu alikaa false hoper mmoja analalamika jesus hana makali yoyote nikamuuliza si mna sub aingie nan? Akaanza kuongelea mambo ya osimhen😂😂 nikamwambia huyo mchezaji wa napoli tusubiri Nketiah ataingia , akaanza ooh hela ya kai na balogun si inatosha kumnunua osimhen, nikaona yale yale ya false hopes😂

Swala la bei ya wachezaji sikuleta mimi ni castr kaleta kutudanganya kuwa saka akiuzwa atauzwa 120M ndo nikauliza kwa nia njema tu “ Arsenal wamepita kina henry, anelka, fabregas, van persie na wengine wengi je waliuzwa kwa bei inayazidi hata bei ya gordon tu 45M ? Tusikimbilie 120 wakati hata 50 hamjawahi kufika toka arsenal inaanzishwa.
Vingine tutumie akili, henry kauzwa lini alikuwa na umri gani, mkataba wake ulikuwa ukoje, situation ya kuondoka ilikuwa ipi!?
Unajua gaucho alinunuliwa kiasi gani je kafikia cha gordon!? Zidane madrid walitoa kiasi gani!?

Fabregas aliuzwa kiasi gani na katika situation ipi", kuna vingi vinaamua bei ya mchezaji.

Soko la wachezaji lishaharibika kwa sasa.
 
PSV manager Peter Bosz on Kai Havertz (they worked together at Bayer Leverkusen):

"You don’t need to be a scientist in football to see this was a big, big talent. Absolutely. He is really a modest guy... An outstanding, outstanding player." #AFC
20231211_174412.jpg
 
Huyu utakuta humu akifunga unaambiwa ana finishing nzuriii
Shida yake ni hicho tu ndicho anacho. Vingine ni dhaifu kidogo.
Jana Michael Owen alisema jamaa ana finishing nzuri pia. Kwa hiyo siyo humu tu anakubalika kwa finishing, bali hata kwa mwana Newcastle mwenzako Michael Owen.
 
Yani hawa kondoo akili zao bhana, eti wanadanganyana eti marefa wana njama juu yao,kwamba wana timu bora sana au?! hivi nani kawaroga hawa watu.
Jumapili ifike tu Sheffield afanye yake pale darajani tafadhali.
 
Shida yake ni hicho tu ndicho anacho. Vingine ni dhaifu kidogo.
Jana Michael Owen alisema jamaa ana finishing nzuri pia. Kwa hiyo siyo humu tu anakubalika kwa finishing, bali hata kwa mwana Newcastle mwenzako Michael Owen.
oyaaa HENRY14 nyumbu mpaka muda huu bado zimelala sijui kwa raha gani haswa walizonazo, mchukue ndugu yako Masingeli muende mkaziamshe ziende jikoni kupika uji.
Screenshot_20221005_123719.jpg
 
oyaaa HENRY14 nyumbu mpaka muda huu bado zimelala sijui kwa raha gani haswa walizonazo, mchukue ndugu yako Masingeli muende mkaziamshe ziende jikoni kupika uji. View attachment 2841196
Nimepata habari kutoka chanzo cha kuaminika kwamba mnaenda kucheza Conference league maana UEFA wamesema kuikosa Manunu kwny mashindano ya Ulaya kqbisq kutqshusha sana mapato...hongereni majirani
 
Nimepata habari kutoka chanzo cha kuaminika kwamba mnaenda kucheza Conference league maana UEFA wamesema kuikosa Manunu kwny mashindano ya Ulaya kqbisq kutqshusha sana mapato...hongereni majirani
Waambie wasituchoshe sasa hivi tunahitaji tupumzishe fuvu.
 
oyaaa HENRY14 nyumbu mpaka muda huu bado zimelala sijui kwa raha gani haswa walizonazo, mchukue ndugu yako Masingeli muende mkaziamshe ziende jikoni kupika uji. View attachment 2841196
Kama unamaanisha hamis77 basi nakuhakikishia atakuwa alishafika kule unyumbuni kitambo sana. Sitashangaa kama alikesha kule na saivi anapiga mo energy huku akiendelea kuwapiga spana
 
Sasa clean sheet nyingi au siyo?

Mpo nafasi ya ngapi kwenye timu zilizoconcede goli nyingi?

Tangu msimu umeanza hadi muda huu naandika away mmeshinda mechi moja tu.

Nyumbu, laughingstock of the season, kashinda mechi tisa. Newcastle 8. Tangu 2021 hadi leo mmespend 440M hicho kiasi na mwenendo havifanani.
Mpige spana huyo current Gunner anayejiita former Gunner kinafki . Mara mia angehamia liverkuku kuliko hao mijusi mistari. Angekuwa liverkuku saivi angekuwa anasubiria kuja kujipigia nyumbu bao za kutosha. Sasa kampiga Sheffield 8 anajiona anajuuuuaaaa boli.

Sijafanya statistics tangu PCM ya form six ila nikichora kigraph cha trend ya mechi zao hawa mijusi tangu season ianze, je curve itakuwa inaelekea juu ama inashuka chini?
Je hiyo graph inaweza kutuambia nini, hasa kama nje ya nyumbani wakijitahidi sana ni droo tu ndiyo wanapata? Je unahisi ndani ya mechi chache zijazo hawa mijusi watakuwa na hali gani?

1702458926159.png
 
Huyo jamaa anaejifanya ni mshabiki wa Newcastle nilisham-ignore zamani sana.. Thanks to Jf kwa hii option sasa hivi sioni tena comments zake za utumbo.
Siku hizi amerelax kidogo baada ya hasira kupungua na kulegeza moyo wake juu ya Arsenal. Niamini nakuambia jamaa anarudi mdogo mdogo Ze Ganaz. Ila mwanzoni wakati anahamia kwa mijusi kwa sababu tumekosa ubingwa...aisee alikuwa negative balaa na bonge la kero. Tunaishi naye tu kiushabiki ila kimaisha ya kawaida, watu negative wanaboa sana na wanapaswa kuepukwa kiafya. Ni tofauti sana kulumbana na kina Flano na Mkohoti kiutani wa kishabiki na kulumbana na Gunner mwenzio mwenye jeraha moyoni. Bahati nzuri Forgotten hajafikia kiwango cha huyu mwamba kwa kule Unyumbuni 🤣
 
Back
Top Bottom