Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Anakuambia saka ni Bora kuliko Gordon

Unaamua utoke jf uingie LinkedIn kutafuta michongo tu
Typing error

Ilikua ni saka si Bora kuliko Gordon.

Sasa huyo Gordon anamfikia vipi saka
Saka ata akiamua kucheza mguu mmoja Gordon hafui dafu
 
Taarifa ni kwamba Hitimisho la FA kuhusu comment ya Mikel Arteta kwa waamuzi kwenye mechi yetu dhidi ya Newcastle lipo mbioni kutolewa. Na tetesi ni kwamba wanavizia ili mechi yetu dhidi ya Liverpool asiwepo kwenye touchline.
Kama hawataki tubebe kombe lao, walipeleke guantanamo likalindwe huko.
Sio kuleteana figisu figisu.
 
Arsenal inajulikana kuwa ina tatizo ndani ya suluhu na suluhu ndani ya tatizo. Ila rafiki yetu naona analileta hilo suala kama vile kwetu ni tatizo kubwa sana au kama linatuathiri zaidi ya kiasi, wakati siyo hivyo. Tunakuwa maeneo ya juu kwenye goal difference ila siyo kuongoza goal difference (Unaweza kuta tutapitwa na timu 1-3). Unakuta tumefunga magoli mengi lakini wachezaji wetu hawafikishi hata magoli 20 kila mmoja, huku timu za chini yetu zinawachezaji wenye magoli zaidi ya wakwetu. Lakini hizo timu hazifungi magoli mengi kuliko sisi. Tumeshawahi kuwa na Aubameyang aliyehinda kiatu na Mane na Salah ila tuliishia wapi?

Hatusemi hatutaki wafungaji wa magoli 20+, of course tunataka na kila siku unasikia tunahusishwa nao. Ila ni wazi pia kuwa kumetengenezwa mfumo wa kufanya tufunge mengi na kushinda zaidi ya hao wenye 20+ goal strikers ila tunajua bado haitoshi. Nadhani Nketiah labda na Saka kama ikosei ndiyo wana hat-trick kwetu, ila kuna timu zimepiwa 5-0, 6-0. Lens alipiwa 6-0 hapa juzi juzi na tulikuwa na wafungaji 6, yaani nusu ya timu imefunga. Tunataka tufunge zaidi kwa system hii hii, kwa kuboresha wafungaji na system. Inawezekena yeye hajaelewa hili. Ndiyo maana hata watu walimuuliza nani anamtaka Wilson ama Isak? Na akaambiwa kuwa kiukweli hao jamaa wakija Arsenal wakimkuta Jesus yuko fit, hawamuweki bench. Mfumo. Theory yetu ni kwamba Arteta atakuwa radhi akomae kuboresha ufungaji wa Jesus kuliko kumweka bench kwa Isak au Wilson.
Umenikumbusha nilikua naangalia game yenu na aston villa sasa pembeni yangu alikaa false hoper mmoja analalamika jesus hana makali yoyote nikamuuliza si mna sub aingie nan? Akaanza kuongelea mambo ya osimhen😂😂 nikamwambia huyo mchezaji wa napoli tusubiri Nketiah ataingia , akaanza ooh hela ya kai na balogun si inatosha kumnunua osimhen, nikaona yale yale ya false hopes😂

Swala la bei ya wachezaji sikuleta mimi ni castr kaleta kutudanganya kuwa saka akiuzwa atauzwa 120M ndo nikauliza kwa nia njema tu “ Arsenal wamepita kina henry, anelka, fabregas, van persie na wengine wengi je waliuzwa kwa bei inayazidi hata bei ya gordon tu 45M ? Tusikimbilie 120 wakati hata 50 hamjawahi kufika toka arsenal inaanzishwa.
 
game nzuri.. sijaona arsenal ilipoharibu mpk sasa ila kuna improvement kubwa kwa kai ;taratibu kashaelewa flow ya mpira na namna timu inavocheza.. awe wapi na kwa wakati gani.
 
Wanatuandama sana wale wapuuzi. Ila ndiyo maisha yetu EPL na wengine hawawezi kuelewa. Tunalazimika kuruka pale wengine wanapoendesha, na kukimbia pale wengine wanapotembea.
Hakuna anayekuandama haya ndo matokeo halisi ya false hope, game na PSG vs Newcastle penalty ya psg ilikua ya mchongo lakini ulimsikiliza eddie howe alivyoelezea kitasha zaidi kulaumu waamuzi na VAR , arteta yeye analopoka tu wakati ni goal halali review zimefanyika zaidi ya 3 na still ikawa halali.

Arteta nae kashawajulia nyinyi ni false hopers so anazidi kuwajaza false hopes kondoo zake.
 
Kwa hiki kikosi ata nyumbu anakalishwa vizuri tu

Nelson anaupiga mwingi
 
Hakuna anayekuandama haya ndo matokeo halisi ya false hope, game na PSG vs Newcastle penalty ya psg ilikua ya mchongo lakini ulimsikiliza eddie howe alivyoelezea kitasha zaidi kulaumu waamuzi na VAR , arteta yeye analopoka tu wakati ni goal halali review zimefanyika zaidi ya 3 na still ikawa halali.

Arteta nae kashawajulia nyinyi ni false hopers so anazidi kuwajaza false hopes kondoo zake.
pamoja na njama ovu dhidi yetu, sisi tutaendelea kupambana na kusonga mbele
 
Hii game ya leo hicho kikosi siyo cha ushindi na kimemanage kuscore
 
Nyukesto akimfunga ac milan halafu dortmund akimfunga psg kumbe anaendelea mbele 😅
 
Back
Top Bottom