Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sijaona taarifa ya arteta humu kawaje maana naskia hayupo kwenye touchline
 
Sasa hapo juzi mtu kamuamini nyukesto kwa kusoma maandishi ya Labyrinth 84 humu.

Leo Bayern, na awe kaamini nyumbu ataongoza 1st half 😂
kidogonataka kuamini maneno ya hamisi kuwa baadhi ya timu zimebaki umaarufu tu wa majina
***** ashachana keka huyu kubwa jinga
 
Castr naangalia game hapa naona ameingia Gnabry. Siku hizi anatokea sana bench na ni injury prone, na bad luck hajamaliza hata dk 3 anarudi tena nje. Nadhani hili ndio jua la jioni kwa huyu Gooner kwenye career yake asee, I feel so sad for him.
 
Mwaka jana tulipigwa na kitu kizito kwli...mi huwa naukubali ukweli kama ulivyo🤠🤠🤠 siishi kwa denial...ila mwaka huu msahau kabisa hilo kosa kujirudia...ila Hawa Nyukesto sijui yaani tulichokisema mwanzo wa msimu ndo hiki kinachoendelea....tukiwaambia Hawa wanatakiwa wajipqnge kwa misimu walau mitatu hvi...kusajili waleta vurugu uwanjani hakuwezi kukusaidia msimu mzima....na nikasema wakikaa vbaya hata Manunu watakuwa juu Yao na tyri ishatokea....Sasa leo tamko lingine wakikaa vbaya hata conference hawatacheza....maana hawana timu Wana wafanya vurugu
@hamis77angesema anawaachia laana hata conference hawatacheza
 
Hii atmosphere ya Deutsche Bank Park, nimeielewa sana. Natamani na pale Emirates kuwe na hii kitu. Jamaa wanashangangilia kuanzia dk 1 with the same energy mpaka mwisho. Yaani hakuna kupoa.
 
Back
Top Bottom