Hapo sasa ndiyo tutaanza kucheza jihad.January mtawakuta watu wameshavuka mlima mkuu.
Hapo sasa ndiyo tutaanza kucheza jihad.January mtawakuta watu wameshavuka mlima mkuu.
unasema nini weweDakika ni ya 51
Bayern anaongozwa 4 na Frankfurt
Kama umebet ndugu yangu kaombe cash outunasema nini wewe
Kizazi cha muhindi weekend kinateseka sana.Kama umebet ndugu yangu kaombe cash out
kanji hatoagi cashout namna hiyo.akiona ulivyobeti ni ngumu kutoboa naye anakazia humohumoKama umebet ndugu yangu kaombe cash out
Hahahahahah wale wanakufuraisha mechi moja tatu mechi nne wanakulizaSijamaliza dakika mbili tangu niandike nyumbu lishachezea chuma
Sasa hapo juzi mtu kamuamini nyukesto kwa kusoma maandishi ya Labyrinth 84 humu.Kizazi cha muhindi weekend kinateseka sana.
Hata kama ni wewe dakika ya 70 ushampiga mtu bao 5 alf aombe kuairisha mechi huwez kukubalikanji hatoagi cashout namna hiyo.akiona ulivyobeti ni ngumu kutoboa naye anakazia humohumo

Kono la nyani kala🤣🤣🤣...hii inaitwa kuotewa...leo asipoangalia pakti mbili zitaishaVAR imekubali Bayern anaongozwa 5
afu sisi simba tukifungwa 5 na topolokwinyo inakuwa nongwa nchi nzimaKono la nyani kala🤣🤣🤣...hii inaitwa kuotewa...leo asipoangalia pakti mbili zitaisha
Muhindi,, anatoka mashavu na kizazi chake.Sasa hapo juzi mtu kamuamini nyukesto kwa kusoma maandishi ya Labyrinth 84 humu.
Leo Bayern, na awe kaamini nyumbu ataongoza 1st half 😂
kidogonataka kuamini maneno ya hamisi kuwa baadhi ya timu zimebaki umaarufu tu wa majinaSasa hapo juzi mtu kamuamini nyukesto kwa kusoma maandishi ya Labyrinth 84 humu.
Leo Bayern, na awe kaamini nyumbu ataongoza 1st half 😂
@hamis77angesema anawaachia laana hata conference hawatachezaMwaka jana tulipigwa na kitu kizito kwli...mi huwa naukubali ukweli kama ulivyo🤠🤠🤠 siishi kwa denial...ila mwaka huu msahau kabisa hilo kosa kujirudia...ila Hawa Nyukesto sijui yaani tulichokisema mwanzo wa msimu ndo hiki kinachoendelea....tukiwaambia Hawa wanatakiwa wajipqnge kwa misimu walau mitatu hvi...kusajili waleta vurugu uwanjani hakuwezi kukusaidia msimu mzima....na nikasema wakikaa vbaya hata Manunu watakuwa juu Yao na tyri ishatokea....Sasa leo tamko lingine wakikaa vbaya hata conference hawatacheza....maana hawana timu Wana wafanya vurugu
Hiyo ni kweli 😅kidogonataka kuamini maneno ya hamisi kuwa baadhi ya timu zimebaki umaarufu tu wa majina
***** ashachana keka huyu kubwa jinga