Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 46,268
- 101,738
Dah kwa style hii, bingwa Ni Bayern Leverkusen
Namba Zina ongea, ana ongoza ligi nani 🤔😄.Hii mid ya Arsenal ndio huwa tunaambiwa inatisha. Ptuu ukikuta inapambwa humu unaweza hisi ile mids ya AC milan ya 2006 au ile mids ya Barcelona ya 2009-2013
@Hamis 77 tokeni huko kwenye mashimo mlimojifichaKamekimbia , huwa vinatabia ya kujificha ,vinavizia mpaka vibahatishe ndio utabiona humu vimelundikana kama nyigu na statistics ushuzi![]()




,
Liver tunaongoza ligi we kondoo.
We unaona mi nafanania Nyumbu ?Tuliza kichwa we nyumbu, dozi ni nzito..
mkorea, Scars, hamis77 nyumbu Hawa wezi ona ya kwao,
View attachment 2837865
Wewe mshika manati acha kuota ,amka





,ninyi mnaongoza ligi ya wanywa chimpumuFocus nimeihamishia kwenye CAF naona EPL imekuwa miyeyusho
Something not right so far
Kula chumaaaaa hichoooooooooTuliza kichwa we nyumbu, dozi ni nzito..
mkorea, Scars, hamis77 nyumbu Hawa wezi ona ya kwao,
View attachment 2837865
It's a matter of time, meza Ina pinduka- tuna shinda 3-1Liver tunaongoza ligi we kondoo.
Tuna shinda 3-1 take my word, UTA onaKula chumaaaaa hichooooooooo
View attachment 2837919
Endelea kuota.It's a matter of time, meza Ina pinduka- tuna shinda 3-1