Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ule Uzi wao wa Newcastle wameukimbia

Walikuwa wawili mmoja kaona hali mbaya kakimbia ,mmoja kaona anajiongelesha mwenyewe ndipo kakimbilia humu ,msipompa airtime sijui ataenda wapi
Kumbe kuna uzi wa Newcastle!? 😃
 
Y
mkuu Labyrinth 84 hizi nyau za humu zikionaga comments zako kwanza hua zinasonya kimoyomoyo halafu ndio zinasoma, uwepo wako kwenye hili jukwaa hua ni faraja kubwa sana kwa wale mashabiki wa arsenyau wasiopenda false hopes.
Yaaan huyo ndug yako anaubishi wa kitoto huwez ukamweka saka kwenye kapu moja na gordon ukasema unaakili timamu,ubishi wa kitoto ni kubisha ukiwa haumaanishi unachobisha
 
Takwimu hazimfanyi mchezaji kuwa bora zaidi ya mwingine? unaelewa unachosema kweli?

Kama stats hazimfanyi mchezaji kuwa bora zaidi ya mwenzake then tuambie tuangalie kipi ilikujua ubora wa mchezaji?

Kwahiyo ki takwimu umeona gordon kamgaragasa huyo saka umekubali haya wewe lete kitu kingine ambacho unaona kinaweza kupima ubora wa mchezaji.
 
Labyrinth 84

Kuna timu kubwa imewahi kumtaka Wilson?

As of now kuna timu imeonyesha kumtaka mchezaji yeyote wa nyukesto?

Kiwior. Anakaa bench Arsenal, Juve inamtaka

Huyo kiwior ni mchezaji?
IMG_2092.jpg

Huyo hapo bruno na hauuzwiii , maswali yako nakujibu ila nashangaa wewe swali dogo tu hujibu .

Nitajie mchezaji ambaye kashauzwa arsenal amezidi paundi 50M toka ulimwengu huu wa soka uanze.

Juve inamtaka huyo mcheza kutokana na bei yake ni pauni 1 au 5 kama holding mlimuuza shingapi vile? Au tuambie pepe ameuzwa shingap?

Swali umeniuliza nimekujibu “bruno anatakiwa na barcelona hio hapo”.
 
Safi sana wasagie kunguni hawa pimbi asenyeto , wanajiona washabeba kombe
Pumbaf labda wabebe ndoo za ulanzi na chimpumu
Wamekalia nafasi za watu nao wanajiita title contender
 
Nimekuuliza kama kuna timu kubwa imewahi kumtaka Wilson

Mbona unarukaruka ?kwahiyo ubora wa mchezaji unaangaliwa kwa idadi ya timu inayokutaka hivi nyinyi mnatumia nini kufikiri au kujenga hoja?

Yaani ubora wa mchezaji unaangaliwa kwa timu inayokutaka na si performance uwanjani.

Ndani ya misimu 4 huyo first choice striker wa arsenal (jesus) kazidiwa magoli kila season na wilson na bado mnakuja kukaza mishipa humo “ oooh eti timu gani kubwa inamtaka wilson , tunaangalia performance uwanjani na si kingine.
 
Huyo kiwior ni mchezaji? View attachment 2837604
Huyo hapo bruno na hauuzwiii , maswali yako nakujibu ila nashangaa wewe swali dogo tu hujibu .

Nitajie mchezaji ambaye kashauzwa arsenal amezidi paundi 50M toka ulimwengu huu wa soka uanze.

Juve inamtaka huyo mcheza kutokana na bei yake ni pauni 1 au 5 kama holding mlimuuza shingapi vile? Au tuambie pepe ameuzwa shingap?

Swali umeniuliza nimekujibu “bruno anatakiwa na barcelona hio hapo”.
Safi sana wasagie kunguni hawa pimbi asenyeto , wanainua mabega na wanajiona washabeba kombe
Pumbaf labda wabebe ndoo za ulanzi na chimpumu
Wamekalia nafasi za watu nao wanajiita title contender
Asenyeto watoto wadogo sana
 
Nazan wewe kama walivyosema wadau wewe ni wa kupuuuzwa timu yako itapokuwa itapokuwa na hadhi ya kujib, nyumbu na kenge tunaeza kukaa nao meza moja tukazungumza siyo wewe

Una hadhi gani sasa wewe hapo ulipo zaidi ya false hope tu .

Mnaanzisha vitu then tukija kuwasanua na ma false hope yenu mnaanza or sijuiii ignore sijuii block sijuii kupuuza .

Niambie gordon ana goli ngap na saka ana goal ngap basiii ?

Wewe huna hadhi yoyote miaka 20 trophyless then unajiita una hadhi
 
Safi sana wasagie kunguni hawa pimbi asenyeto , wanainua mabega na wanajiona washabeba kombe
Pumbaf labda wabebe ndoo za ulanzi na chimpumu
Wamekalia nafasi za watu nao wanajiita title contender
Asenyeto watoto wadogo sana
Bdo unakuja kuzurura hmu wakati una msala na Everton wiki hii🤠🤠🤠....watu mna roho za paka aisee
 
Huyo kiwior ni mchezaji? View attachment 2837604
Huyo hapo bruno na hauuzwiii , maswali yako nakujibu ila nashangaa wewe swali dogo tu hujibu .

Nitajie mchezaji ambaye kashauzwa arsenal amezidi paundi 50M toka ulimwengu huu wa soka uanze.

Juve inamtaka huyo mcheza kutokana na bei yake ni pauni 1 au 5 kama holding mlimuuza shingapi vile? Au tuambie pepe ameuzwa shingap?

Swali umeniuliza nimekujibu “bruno anatakiwa na barcelona hio hapo”.
Source: Mundo Deportivo
 
Mbona unarukaruka ?kwahiyo ubora wa mchezaji unaangaliwa kwa idadi ya timu inayokutaka hivi nyinyi mnatumia nini kufikiri au kujenga hoja?

Yaani ubora wa mchezaji unaangaliwa kwa timu inayokutaka na si performance uwanjani.

Ndani ya misimu 4 huyo first choice striker wa arsenal (jesus) kazidiwa magoli kila season na wilson na bado mnakuja kukaza mishipa humo “ oooh eti timu gani kubwa inamtaka wilson , tunaangalia performance uwanjani na si kingine.
Nani kawahi kumtaka Wilson?

Huyu striker wa Newcastle hatari kabisa mpaka anaogopwa amewahi kutakwa na nani?
 
Y

Yaaan huyo ndug yako anaubishi wa kitoto huwez ukamweka saka kwenye kapu moja na gordon ukasema unaakili timamu,ubishi wa kitoto ni kubisha ukiwa haumaanishi unachobisha
Mjibuni namna atakavyokuja tu🤠🤠...mtoto mdgo kama hyu hatakiwi kutupanikisha hmu ndani...analeta vi stats uchwara wakati ubora wa wachezaji ndo una determine kwa kipindi husika timu iwe wapi.....Sasa hao vijana wake wanadandia namba nane sijui kumi huko kwny msimamo wa ligi halafu anakuja hmu ndani anawapanikisha kwli???....inatakiwa sasahv tusumbuane na kina Saint Anne kina Pain Killer na kina Flano kidogo kwasababu ni watani wa jadi....sio Nyukesto wazee wa vurugu
 
Nani kawahi kumtaka Wilson?

Huyu striker wa Newcastle hatari kabisa mpaka anaogopwa amewahi kutakwa na nani?

IMG_2093.jpg

IMG_2094.jpg

Haya hizo hapo team zilizowahi kumtaka wilson. Mimi naona huna hoja kila nikikujibu unaleta vioja eti source sasa unataka source unazopenda wewe

Tusubiri tu mpira maana huna hoja saiviii
 
View attachment 2837618
View attachment 2837619
Haya hizo hapo team zilizowahi kumtaka wilson. Mimi naona huna hoja kila nikikujibu unaleta vioja eti source sasa unataka source unazopenda wewe

Tusubiri tu mpira maana huna hoja saiviii
Hehehe so hii 2018 Chelsea ikiwa na Hazard, Willian, Pedro, Higuain

Ikamtaka Wilson, hivi una akili kweli? 😂😂😂😂 Tufanye ikamkosa, Wilson akaenda wapi?
 
Una hadhi gani sasa wewe hapo ulipo zaidi ya false hope tu .

Mnaanzisha vitu then tukija kuwasanua na ma false hope yenu mnaanza or sijuiii ignore sijuii block sijuii kupuuza .

Niambie gordon ana goli ngap na saka ana goal ngap basiii ?

Wewe huna hadhi yoyote miaka 20 trophyless then unajiita una hadhi
Wewe ni wakupuuzwa nenda kwenye jukwa lako kwenye majimbi uko
 
Back
Top Bottom