Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Naona City anajitoa taratibu kwenye mbio. Sasa tupo na Liverpool.

Wewe haupo kwenye mbio yoyote ya ubingwa zaidi ya false hope tu, match kama ya jana ndo huwa zinafanya tuwaite false hopes.

Mpaka sasa man city akiendelea ivi timu yoyote iwe liverpool, Newcastle, Aston villa or spurs inaweza kubeba ubingwa lakini si Arsenal.

Mnashangilia goal la dk ya mwisho kama vile mlivyoshangilia na Bournemouth lakini at the end mtatoka patupu.

Kwasasa najua huwezi kunielewa ikifika january utaanza kunielewa na May ndo kabisa utakuwa umenielewa vizuriii
 
Beating kenge is not for everyone.
Chelsea hii mbovu ndio mlipata shida kuokota point 3 za bure kabisa halafu mnatarajia ubingwa!
Mechi 15

Umeshinda 9

Umefungwa 6
Goal difference ni zero.

Timu imeconcede magoli 20+

Ucl group unashika mkia

Ila bado mtu anaandika hivi.

Hii ni classic sign ya mid table team. Hawajali kuhusu trophy, wanajali kufunga timu wanazoziona kubwa na hiyo inawatosha
 
Kilichonichekesha ni kwamba Pep alifanya sub zake Emery akawa katulia tu. Sub zimeingia na chuma kikasoma.

Kama hujacheck mechi jana Luiz na Kamara wamenyanyasa mid, Bailey na Mc Ginn wamesumbua pembeni vibaya mno.

Walikua wakipata mpira hao watu hawautoi kwanza, ama wanafanya take on au wanasubiri mtu aje anachambuliwa yeye na mwingine atakayejipendekeza halafu ndiyo wanasonga mbele.

Ilikua mechi nzuri ila inafikirisha kujua ndiye mpinzani anayefuata, mechi nzima City kapiga mashuti 2 tu, Villa kapiga shots 22.
 
Wewe haupo kwenye mbio yoyote ya ubingwa zaidi ya false hope tu, match kama ya jana ndo huwa zinafanya tuwaite false hopes.

Mpaka sasa man city akiendelea ivi timu yoyote iwe liverpool, Newcastle, Aston villa or spurs inaweza kubeba ubingwa lakini si Arsenal.

Mnashangilia goal la dk ya mwisho kama vile mlivyoshangilia na Bournemouth lakini at the end mtatoka patupu.

Kwasasa najua huwezi kunielewa ikifika january utaanza kunielewa na May ndo kabisa utakuwa umenielewa vizuriii
Wewe utakua na utindio wa ubongo si bure
 
Mbona hamjadili kufunga goli baada ya dakika za nyongeza kuisha?
Ikitokea kwa Nyumbu au City mnapiga kelele kweli kweli.
Ile jana kiasi chake ilikuwa mbeleko toka FA/refarii
Nadhani una Mtindio wa Ubongo,dakika zilizoongezwa ni 6 na Goli lilifungwa dakika ya 96 na sekunde kadhaa kabla ya kufika dakika ya 7,vitu vingine huhitaji hata kuwa na Cheti cha Darasa la Saba kujua hilo NYUMBU wewe
 
Kilichonichekesha ni kwamba Pep alifanya sub zake Emery akawa katulia tu. Sub zimeingia na chuma kikasoma.

Kama hujacheck mechi jana Luiz na Kamara wamenyanyasa mid, Bailey na Mc Ginn wamesumbua pembeni vibaya mno.

Walikua wakipata mpira hao watu hawautoi kwanza, ama wanafanya take on au wanasubiri mtu aje anamchambuliwa yeye na mwingine atakayejipendekeza halafu ndiyo wanasonga mbele.

Ilikua mechi nzuri ila inafikirisha kujua ndiye mpinzani anayefuata, mechi nzima City kapiga mashuti 2 tu, Villa kapiga shots 22.
Mancity Wana winger asilia mmoja tu Doku, Grealish pia sio natural winger Ni no.10, ndio maana ana namba chache Sana, Ni mzuri kwenye ball rentantion

Nilipoona lineup winger Ni Foden na Bernado ,nikachek midfield Stones ,nikajua hawatoboi

Nakumbuka Community shield ,alimuweka winger Bernado, Timber aliinjoy Sana ile mechi,


Ukicheza na timu zinazowin duels haraka ,ukicheza bila winger asilia utakesha kuwafungua


Mancity hatari Yao siku hizi ipo kwa Doku , akianza Grealish au Foden Kama winga wanazuilika vzr Sana

Niliwahi sema kuondoka Mahrez ,Gundogan ,na fitness ya KDB, watapungua Sana makali ,hao ndio walikuwa wanaamua Sana mechi


Rodri watu wamejionea kwanza hawez ku cover eneo kubwa , akifanyiwa pressing Sana wanakuwa shambles na anacheza Sana rafu za kijinga .
 
Caicedo na Rice Ni mbingu na ardhi

Huwa nacheka Sana Caicedo kufananishwa na Rice ,

Di zerbi alimfanya awe Bora ,Pale Brighton Kuna reject nyingi Lakini zinaonekana Bora sababu ya Di zerbi

Arsenal kidogo tuingie kichwa kichwa , Caicedo sio DM
 
Kwaio liverpunda sisi hatumzingatii
Jamaa wapo vzr kwenye attacking tu ndio inawaweka mjini

Injuries moja kwenye kiungo,Ligi kwao imeishia hapo maana viungo wao Ni Szobo na macAllister ambao bado wanaruhusu Sana backline Yao kufikiwa

Backline Yao Wana konate ,matip na vvd hao ndio wakuaminika

Sasa matip nimeona nje miezi 9 kapata ACL, konate injury prone

Salah anaenda afcon anazikosa mechi muhimu zikiwepo 2 za Arsenal .
 
Kilichonichekesha ni kwamba Pep alifanya sub zake Emery akawa katulia tu. Sub zimeingia na chuma kikasoma.

Kama hujacheck mechi jana Luiz na Kamara wamenyanyasa mid, Bailey na Mc Ginn wamesumbua pembeni vibaya mno.

Walikua wakipata mpira hao watu hawautoi kwanza, ama wanafanya take on au wanasubiri mtu aje anamchambuliwa yeye na mwingine atakayejipendekeza halafu ndiyo wanasonga mbele.

Ilikua mechi nzuri ila inafikirisha kujua ndiye mpinzani anayefuata, mechi nzima City kapiga mashuti 2 tu, Villa kapiga shots 22.

Inabidi Arteta ajipange kuwadhibiti McGin na Bailey ili wasiweze kumtengenezea finishing passes Watkins
 
Nadhani una Mtindio wa Ubongo,dakika zilizoongezwa ni 6 na Goli lilifungwa dakika ya 96 na sekunde kadhaa kabla ya kufika dakika ya 7,vitu vingine huhitaji hata kuwa na Cheti cha Darasa la Saba kujua hilo NYUMBU wewe

Kulikuwepo na sub kwenye muda wa nyongeza, wasted time was compensated
 
Back
Top Bottom