fuentte
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 3,210
- 9,205
Point 9 kitu gani wakati ndio kwanza mechi ya 14 hii.😂dah.. Huu ni ucheshi sasa!
Arsenal mwezi wenu wa kupoteza form huwa January, msijisahaulishe hili pia.
Point 9 kitu gani wakati ndio kwanza mechi ya 14 hii.😂dah.. Huu ni ucheshi sasa!
Boss tulale, hawa tunao asubuhiPoint 9 kitu gani wakati ndio kwanza mechi ya 14 hii.
Arsenal mwezi wenu wa kupoteza form huwa January, msijisahaulishe hili pia.
Naona City anajitoa taratibu kwenye mbio. Sasa tupo na Liverpool.

Wachezaji wa system hao. Me niliwaambiaga chelkenges, system ya uchezaji ya Brighton na Chelsea ni tofauti, mna uhakika atatoa performance kama ya alipotoka?Hii milioni 100 ya Caicedo ina mashaka. Ni bora hatujajaa kwenye mikono ya matapeli!
Mechi 15Beating kenge is not for everyone.
Chelsea hii mbovu ndio mlipata shida kuokota point 3 za bure kabisa halafu mnatarajia ubingwa!
No, hata Arsenal tukisuluhu ni tatizoCity kafungwa na Villa wala sio habari. Habari ni Arsenal akifungwa.
Wewe utakua na utindio wa ubongo si bureWewe haupo kwenye mbio yoyote ya ubingwa zaidi ya false hope tu, match kama ya jana ndo huwa zinafanya tuwaite false hopes.
Mpaka sasa man city akiendelea ivi timu yoyote iwe liverpool, Newcastle, Aston villa or spurs inaweza kubeba ubingwa lakini si Arsenal.
Mnashangilia goal la dk ya mwisho kama vile mlivyoshangilia na Bournemouth lakini at the end mtatoka patupu.
Kwasasa najua huwezi kunielewa ikifika january utaanza kunielewa na May ndo kabisa utakuwa umenielewa vizuriii![]()
Nadhani una Mtindio wa Ubongo,dakika zilizoongezwa ni 6 na Goli lilifungwa dakika ya 96 na sekunde kadhaa kabla ya kufika dakika ya 7,vitu vingine huhitaji hata kuwa na Cheti cha Darasa la Saba kujua hilo NYUMBU weweMbona hamjadili kufunga goli baada ya dakika za nyongeza kuisha?
Ikitokea kwa Nyumbu au City mnapiga kelele kweli kweli.
Ile jana kiasi chake ilikuwa mbeleko toka FA/refarii
Mancity Wana winger asilia mmoja tu Doku, Grealish pia sio natural winger Ni no.10, ndio maana ana namba chache Sana, Ni mzuri kwenye ball rentantionKilichonichekesha ni kwamba Pep alifanya sub zake Emery akawa katulia tu. Sub zimeingia na chuma kikasoma.
Kama hujacheck mechi jana Luiz na Kamara wamenyanyasa mid, Bailey na Mc Ginn wamesumbua pembeni vibaya mno.
Walikua wakipata mpira hao watu hawautoi kwanza, ama wanafanya take on au wanasubiri mtu aje anamchambuliwa yeye na mwingine atakayejipendekeza halafu ndiyo wanasonga mbele.
Ilikua mechi nzuri ila inafikirisha kujua ndiye mpinzani anayefuata, mechi nzima City kapiga mashuti 2 tu, Villa kapiga shots 22.
Mnapata wapi muda wakuwajibu wehuWewe utakua na utindio wa ubongo si bure
Asikusumbue hyo mkuu...na yy timu yake inataka kuchukua ubingwa kwa mpira papatupapatu🤠ðŸ¤Wewe utakua na utindio wa ubongo si bure
Kwaio liverpunda sisi hatumzingatiiCity kakandwa, hapa arsenal tutafute striker wa maana.
Ili tuendelee na shughuli

Jamaa wapo vzr kwenye attacking tu ndio inawaweka mjiniKwaio liverpunda sisi hatumzingatii![]()
Kuhusu Rice inabidi westham tuwaongezee pesa kidogoRice huwezi kukuta anakupa Rate chini ya 7+ kila mechi anakupa 7+
For me ni best DM in the world
Mpaka Sasa DM lakin Hana hata kadi
Kilichonichekesha ni kwamba Pep alifanya sub zake Emery akawa katulia tu. Sub zimeingia na chuma kikasoma.
Kama hujacheck mechi jana Luiz na Kamara wamenyanyasa mid, Bailey na Mc Ginn wamesumbua pembeni vibaya mno.
Walikua wakipata mpira hao watu hawautoi kwanza, ama wanafanya take on au wanasubiri mtu aje anamchambuliwa yeye na mwingine atakayejipendekeza halafu ndiyo wanasonga mbele.
Ilikua mechi nzuri ila inafikirisha kujua ndiye mpinzani anayefuata, mechi nzima City kapiga mashuti 2 tu, Villa kapiga shots 22.
Nadhani una Mtindio wa Ubongo,dakika zilizoongezwa ni 6 na Goli lilifungwa dakika ya 96 na sekunde kadhaa kabla ya kufika dakika ya 7,vitu vingine huhitaji hata kuwa na Cheti cha Darasa la Saba kujua hilo NYUMBU wewe