Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu, Jf ni user generated content forums. Ukiruhusu watu kufuta account maana yake unaweza fika mahali ukakuta forums zote hazina content sababu unapofuta account automatically unaondoa contents zote zilizowahi kuwa posted na account husika.

Ndiyo maana hata ukirudi kwenye posts zako za nyuma ukaanza tu kuzifuta just for any reason utakutana na ban toka kwa mods.

Ukisoma Jf terms and conditions kuna sehemu inasema;

“You are granting us with a non-exclusive, permanent, irrevocable, unlimited license to use, publish, or re-publish your Content in connection with the Service. You retain copyright over the Content.

We respect your right to be forgotten, but at the moment we DO NOT accept account closure or deletion requests. Think before you open an account or share content on the public domain”, mwisho wa kunukuu

Kuhusu issue ya kubadili email nadhani ni simple, log in kwenye hiyo old account kisha bonyeza avatar yako then change email. Hapa utaondoa hiyo email na kuingiza nyingine hata kama siyo email inayotumika ilimradi iwe na proper email format eg: mjusi_kafiri@gmail.com.

Kisha utafanya hivo hivo kwenye hii account yako ya Mjusi_kafiri na kuweka hiyo email unayoitaka, nadhani kiasi itakuwa imekusaidia, all the best.
Hope hapa amekupata
 
Jamie Carragher believes #Arsenal are second favourites for the Champions League this season: ‘I wouldn’t say Bayern Munich are a better team than Arsenal but there’s something about when you see Bayern Munich in Europe you feel like they could do it because they’ve been there before.

‘I think the competition right now, there’s only Manchester City who are better than Arsenal in this competition.’
 
Pep Guardiola on Arsenal:

"David Raya has the ability to play short and long so it’s not easy to control these balls.

They’re a fantastic team and they played really well."
20231201_215446.jpg
20231201_215431.jpg
 
Wolverhampton wanateseka

Jamani hii si sawa

Huu ni unyama katika soka

Hii haikubaliki

 
Waliokuwa wanasema mbona flow ya ushambuliaji haipo

Shida ilikuwa

Ødegaard alikuwa anacheza na injuries

MARTINELL Jesus Saka walikuwa wanakutana na injuries hawaanzi kwa pamoja
 
Back
Top Bottom