Mjusi_kafiri
JF-Expert Member
- May 8, 2022
- 1,016
- 1,878
Watazitema tu dadek zaoKenge na Newcastle lazima watazitapika zile points
![]()
Watazitema tu dadek zaoKenge na Newcastle lazima watazitapika zile points
![]()
Saa zingine mshindani akiingia anavuruga mipango. Kina Edu huwa wanatakiwa kuficha targets ama kufichua targets za uongo huku wakifuatilia za ukweli. Najua hili si jambo rahisi maana tukimfuata mchezaji tu, club yake na team yake ya mawakala, familia, nk nao hapo hapo wanajitokeza kuringishia ulimwengu kuwa Arsenal inamtaka mchezaji wao.Naona tumejitoa kwenye swala la kumsajili Luiz
🚨 Liverpool are prepared to make a massive offer for Douglas Luiz in the January transfer window, per source. Arsenal are aware and will not compete at that price point.
Kama tunamtaka tutawafanyia kitu mbaya kama tulivyofanya kwa Rice.Saa zingine mshindani akiingia anavuruga mipango. Kina Edu huwa wanatakiwa kuficha targets ama kufichua targets za uongo huku wakifuatilia za ukweli. Najua hili si jambo rahisi maana tukimfuata mchezaji tu, club yake na team yake ya mawakala, familia, nk nao hapo hapo wanajitokeza kuringishia ulimwengu kuwa Arsenal inamtaka mchezaji wao.
Kuna mchezaji anafuatiliwa bado hajatajwa according to TNTXSaa zingine mshindani akiingia anavuruga mipango. Kina Edu huwa wanatakiwa kuficha targets ama kufichua targets za uongo huku wakifuatilia za ukweli. Najua hili si jambo rahisi maana tukimfuata mchezaji tu, club yake na team yake ya mawakala, familia, nk nao hapo hapo wanajitokeza kuringishia ulimwengu kuwa Arsenal inamtaka mchezaji wao.
Arsenal obviously do like Luiz but there is another 6 we are looking at.
Good player but can't see it happening, age profile doesn't fitInakua ngumu Sana habari au tetesi kuto kuvuja, so inakua haakuna namnaSaa zingine mshindani akiingia anavuruga mipango. Kina Edu huwa wanatakiwa kuficha targets ama kufichua targets za uongo huku wakifuatilia za ukweli. Najua hili si jambo rahisi maana tukimfuata mchezaji tu, club yake na team yake ya mawakala, familia, nk nao hapo hapo wanajitokeza kuringishia ulimwengu kuwa Arsenal inamtaka mchezaji wao.
Hao Madrid nawataka hata kesho
Tuna bahati msimu huu kwenye hiyo nafasi. Kuna Tominator, Benny Blanco, Timber...TAARIFA :
Tomiyasu amejikatia ticket ya kuendelea kubaki kikosini, Ben White itabidi ajitafute ili arudishe nafasi yake.
Hali hii sio kwa ubaya bali ni sehemu ya kutengeneza ushindani wenye afya ndani ya timu.
️
Bora Saka kidogo jesus aliweka kufit eneo lake vizuri tu kwenye game na cityTuna bahati msimu huu kwenye hiyo nafasi. Kuna Tominator, Benny Blanco, Timber...
Msimu huu tumemkosa Timber, Benny Blanco anasumbuliwa na injuries lakini Tominator amerudi na amefanya vizuri. Tukiendelea kupata wachezaji wazuri katika kila nafasi tutaweza kupambania hata makombe matatu. Unaona jinsi tunapata taabu tukimkosa Partey ana Odegaard ama Jesus, Saka, Martinelli...
Na namba zao Tominator na Benny wanazicheza. Ila sasa inabidi Zinchenko na Timber wawe fit ili wacheze LB na RB kama Tomi na Ben watacheza LCB na RCBBora Saka kidogo jesus aliweka kufit eneo lake vizuri tu kwenye game na city
Kidogo kidogo tunaziba mianya saivi mwaka jana aslimia 60 tulikua tukikosa baadhi ya wachezaj tunakua na wasiwasi kama
Partey
Saka
Nelly
Saliba
GM6
Ode
Ila msimu huu hata wavimba macho wamebaki na majina mawili tu ni
Saliba na Rice ndo wanasema wakiumia hao msimu umeisha.
Nketiah bye byeArteta:
"This team is going to be different to last season and hopefully very different to next season, and that’s part of the evolution by leaving some things in the past to [make way for] the new things.
It’s a transition."
🤣🤣🤣...kabisa mkuuNa wengine kama akina Partey ni majeruhi kwa hiyo hatuna namna 🤣
Mbona hii kesi ngumu kidogoMsaada
Nilikua nina account ya jamii forum hapo nyuma kidogo kwenye kujisajili ni lazima kutumia email, iyo account niliiacha kutokana na sababu mbalimbali.
Now nina account hii na ndo naitumia ila nilijisajili kwa email nyingine kabisa ambayo haiko active.
naomba msaada jinsi ya kuifuta ile account ya mwanzo ili niweze kuchange Email niweze kuitumia kwenye account hii nayoitumia kwa sasa.
Najua Arsenal Fans hamuwez kuniangusha ndugu yenu, Manyumbu pia msaada wenu na Kenge Fc naitaji msaada wenu maana toka niwaombe mnionyeshe game ambayo Enzo kazishika sijawahi kuwatembelea hii account inanisumbua mara kwa mara, Liverpool pia msaada na. Watoto wa Pep msaada wenu pia na yule na wale wapiga ramli wa Nyukesto tafadhalini.
Benny Blanco White bado ana nafasi vizuri tu...mm nnayeona ana mashaka na nafasi yake pale ni Zinchenko....maana Tomiyasu atakuwa anawekwa ule upande wa kushoto lakini pia Blanco anaweza kugawana mechi na Saliba...a perfect set up....tutakuwa na mabeki wa uhakika kwa miaka kadhaa na bwana mdgo Timber akirudi....bdo tunahitaji kiungo wa kuchukua nafasi ya Partey na forward mkatili...baada ya hapo hatusajili tena miaka 5🤠🤠🤠...ni kurusha tu jezi na atakayeidaka ndo hyohyo anaanzaTAARIFA :
Tomiyasu amejikatia ticket ya kuendelea kubaki kikosini, Ben White itabidi ajitafute ili arudishe nafasi yake.
Hali hii sio kwa ubaya bali ni sehemu ya kutengeneza ushindani wenye afya ndani ya timu.
️