Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Naona tumejitoa kwenye swala la kumsajili Luiz

🚨 Liverpool are prepared to make a massive offer for Douglas Luiz in the January transfer window, per source. Arsenal are aware and will not compete at that price point.
Saa zingine mshindani akiingia anavuruga mipango. Kina Edu huwa wanatakiwa kuficha targets ama kufichua targets za uongo huku wakifuatilia za ukweli. Najua hili si jambo rahisi maana tukimfuata mchezaji tu, club yake na team yake ya mawakala, familia, nk nao hapo hapo wanajitokeza kuringishia ulimwengu kuwa Arsenal inamtaka mchezaji wao.
 
Saa zingine mshindani akiingia anavuruga mipango. Kina Edu huwa wanatakiwa kuficha targets ama kufichua targets za uongo huku wakifuatilia za ukweli. Najua hili si jambo rahisi maana tukimfuata mchezaji tu, club yake na team yake ya mawakala, familia, nk nao hapo hapo wanajitokeza kuringishia ulimwengu kuwa Arsenal inamtaka mchezaji wao.
Kama tunamtaka tutawafanyia kitu mbaya kama tulivyofanya kwa Rice.
 
Saa zingine mshindani akiingia anavuruga mipango. Kina Edu huwa wanatakiwa kuficha targets ama kufichua targets za uongo huku wakifuatilia za ukweli. Najua hili si jambo rahisi maana tukimfuata mchezaji tu, club yake na team yake ya mawakala, familia, nk nao hapo hapo wanajitokeza kuringishia ulimwengu kuwa Arsenal inamtaka mchezaji wao.
Kuna mchezaji anafuatiliwa bado hajatajwa according to TNTX

Arsenal obviously do like Luiz but there is another 6 we are looking at.

Good player but can't see it happening, age profile doesn't fit
 
Ikitokea Newcastle akashindwa kufuzu 16 bora UCL, maumivu yatawazidi juu ya ile penalty waliyopewa PSG. Itakuwa ni adhabu iliyowafikia mapema tu baada ya dhulma tuliyofanyiwa sisi dhidi yao, ila impact kwao yaweza kuwa kubwa zaidi. Tukilalamika kuwe na usawa kwa ajili ya kila mtu, tunaitwa 'bitter' na viherehere.

Na kwa bahati nzuri, kesho yake tu Havertz aliunawa mpira katika mazingira yafananayo na yale ya Newcastle, yaani mpira uligonga mwili kwanza ndio ukagonga mkono na hakukuwa na nia ya mchezaji kuushika mpira. Kwetu penati haikugawiwa kwa Lens, tukashinda 6-0 tukaketi kileleni tukiwazoom tu hao maboya Newcastle na Manyumbu. Karma...
 
Saa zingine mshindani akiingia anavuruga mipango. Kina Edu huwa wanatakiwa kuficha targets ama kufichua targets za uongo huku wakifuatilia za ukweli. Najua hili si jambo rahisi maana tukimfuata mchezaji tu, club yake na team yake ya mawakala, familia, nk nao hapo hapo wanajitokeza kuringishia ulimwengu kuwa Arsenal inamtaka mchezaji wao.
Inakua ngumu Sana habari au tetesi kuto kuvuja, so inakua haakuna namna

Pia Liverpool tunaweza kuwafanyia umafia tulioufanya kwa rice city alipo jaribu kutia pua yake

Lakini pia inawezekana D Luiz tunamtumia kupotezea maboya team zingine
Zubimendi au Fofana mmoja wapo ndio ikawa Target yetu

Na inawezekana akatua Frank de jong
 
Mikel Arteta:

"We wanted to be in that position (to play 3 times a week). We are playing in big games every three days and the squad is ready.

The players are hungry to play every single game. They are disappointed when we have to rest them to manage minutes."
FB_IMG_1700542700931.jpg
 
Arteta:

"This team is going to be different to last season and hopefully very different to next season, and that’s part of the evolution by leaving some things in the past to [make way for] the new things.

It’s a transition."
 
Msaada

📌Nilikua nina account ya jamii forum hapo nyuma kidogo kwenye kujisajili ni lazima kutumia email, iyo account niliiacha kutokana na sababu mbalimbali.

📌 Now nina account hii na ndo naitumia ila nilijisajili kwa email nyingine kabisa ambayo haiko active.

📌naomba msaada jinsi ya kuifuta ile account ya mwanzo ili niweze kuchange Email niweze kuitumia kwenye account hii nayoitumia kwa sasa.

📌 Najua Arsenal Fans hamuwez kuniangusha ndugu yenu, Manyumbu pia msaada wenu na Kenge Fc naitaji msaada wenu maana toka niwaombe mnionyeshe game ambayo Enzo kazishika sijawahi kuwatembelea hii account inanisumbua mara kwa mara, Liverpool pia msaada na. Watoto wa Pep msaada wenu pia na yule na wale wapiga ramli wa Nyukesto tafadhalini.
 
TAARIFA :

Tomiyasu amejikatia ticket ya kuendelea kubaki kikosini, Ben White itabidi ajitafute ili arudishe nafasi yake.

Hali hii sio kwa ubaya bali ni sehemu ya kutengeneza ushindani wenye afya ndani ya timu.

Tuna bahati msimu huu kwenye hiyo nafasi. Kuna Tominator, Benny Blanco, Timber...
Msimu huu tumemkosa Timber, Benny Blanco anasumbuliwa na injuries lakini Tominator amerudi na amefanya vizuri. Tukiendelea kupata wachezaji wazuri katika kila nafasi tutaweza kupambania hata makombe matatu. Unaona jinsi tunapata taabu tukimkosa Partey ana Odegaard ama Jesus, Saka, Martinelli...
 
Tuna bahati msimu huu kwenye hiyo nafasi. Kuna Tominator, Benny Blanco, Timber...
Msimu huu tumemkosa Timber, Benny Blanco anasumbuliwa na injuries lakini Tominator amerudi na amefanya vizuri. Tukiendelea kupata wachezaji wazuri katika kila nafasi tutaweza kupambania hata makombe matatu. Unaona jinsi tunapata taabu tukimkosa Partey ana Odegaard ama Jesus, Saka, Martinelli...
Bora Saka kidogo jesus aliweka kufit eneo lake vizuri tu kwenye game na city

Kidogo kidogo tunaziba mianya saivi mwaka jana aslimia 60 tulikua tukikosa baadhi ya wachezaj tunakua na wasiwasi kama
Partey
Saka
Nelly
Saliba
GM6
Ode
Ila msimu huu hata wavimba macho wamebaki na majina mawili tu ni
Saliba na Rice ndo wanasema wakiumia hao msimu umeisha.
 
Bora Saka kidogo jesus aliweka kufit eneo lake vizuri tu kwenye game na city

Kidogo kidogo tunaziba mianya saivi mwaka jana aslimia 60 tulikua tukikosa baadhi ya wachezaj tunakua na wasiwasi kama
Partey
Saka
Nelly
Saliba
GM6
Ode
Ila msimu huu hata wavimba macho wamebaki na majina mawili tu ni
Saliba na Rice ndo wanasema wakiumia hao msimu umeisha.
Na namba zao Tominator na Benny wanazicheza. Ila sasa inabidi Zinchenko na Timber wawe fit ili wacheze LB na RB kama Tomi na Ben watacheza LCB na RCB
 
Arteta:

"This team is going to be different to last season and hopefully very different to next season, and that’s part of the evolution by leaving some things in the past to [make way for] the new things.

It’s a transition."
Nketiah bye bye
 
Msaada

Nilikua nina account ya jamii forum hapo nyuma kidogo kwenye kujisajili ni lazima kutumia email, iyo account niliiacha kutokana na sababu mbalimbali.

Now nina account hii na ndo naitumia ila nilijisajili kwa email nyingine kabisa ambayo haiko active.

naomba msaada jinsi ya kuifuta ile account ya mwanzo ili niweze kuchange Email niweze kuitumia kwenye account hii nayoitumia kwa sasa.

Najua Arsenal Fans hamuwez kuniangusha ndugu yenu, Manyumbu pia msaada wenu na Kenge Fc naitaji msaada wenu maana toka niwaombe mnionyeshe game ambayo Enzo kazishika sijawahi kuwatembelea hii account inanisumbua mara kwa mara, Liverpool pia msaada na. Watoto wa Pep msaada wenu pia na yule na wale wapiga ramli wa Nyukesto tafadhalini.
Mbona hii kesi ngumu kidogo
 
🗣️Kevin Campbell on Arsenal defenders Saliba and Gabriel: “You get rough with Saliba, he’s cool, calm, collected. He’s physical, he’s quick, he’s big, he’s strong.

“If you try and get physical with Gabriel, oh my god, he loves it! He loves that fight, he loves that battle."
 
TAARIFA :

Tomiyasu amejikatia ticket ya kuendelea kubaki kikosini, Ben White itabidi ajitafute ili arudishe nafasi yake.

Hali hii sio kwa ubaya bali ni sehemu ya kutengeneza ushindani wenye afya ndani ya timu.

Benny Blanco White bado ana nafasi vizuri tu...mm nnayeona ana mashaka na nafasi yake pale ni Zinchenko....maana Tomiyasu atakuwa anawekwa ule upande wa kushoto lakini pia Blanco anaweza kugawana mechi na Saliba...a perfect set up....tutakuwa na mabeki wa uhakika kwa miaka kadhaa na bwana mdgo Timber akirudi....bdo tunahitaji kiungo wa kuchukua nafasi ya Partey na forward mkatili...baada ya hapo hatusajili tena miaka 5🤠🤠🤠...ni kurusha tu jezi na atakayeidaka ndo hyohyo anaanza
 
Back
Top Bottom