mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,226
Bayern atamzibua nyumbu kwa makusudi tuNyumbu ngumu kupita ,anatakiwa ampige Bayern halafu wengine wasare
Either way, nyumbu ameshabeba vilago UEFA Hadi Europe
Bayern atamzibua nyumbu kwa makusudi tuNyumbu ngumu kupita ,anatakiwa ampige Bayern halafu wengine wasare
Wasifikirie lens ni mbovuLens have conceded 10 goals in their last 11 games. 7 of those goals were to Arsenal.



Yah, Øde alichafukwa sanaWasifikirie lens ni mbovu
Ile booster Jana inanikumbusha booster alifunguliwa Barca
Xavi anakuambia arsenal wanacheza Kama wapo final ya UEFA
![]()
Definetely a lethal combinationNileteeni psg au inter
When you see Kai, bukayo, martinel, ode, Jesus know that your defenders are in trouble. Big trouble
Nataka mpangiwe Bernabeu magetoni ,mje mkamuliwe samadiWapinzani tunaoweza kukutana nao round 16
Copenhagen
Napoli
Inter
Lazio
PSG
RB Leipzig
Porto
Utaratibu Ni ule ule tukutane WEMBLEY MWEZI MAY
Sijui huwa hawaangalii mechi zetu hawa watu?Huku Champions League mpaka wakumbuke Saka na Martinelli hawakabwi na mchezaji mmoja tutakuwa tumefika Fainali..
Ona tofauti hapo EPL wanawakaba wawili wawili au watatu View attachment 2829572View attachment 2829573
Wiki hii mna Brighton 🤠🤠🤠...mikazo inaendeleaNataka mpangiwe Bernabeu magetoni ,mje mkamuliwe samadi
Huku vini huku Bellingham huku mtoto Rodrigo huku camavinga ,valvede ,Tchuoameni
Mtaita maji mma
Brighton tunamkamuaWiki hii mna Brighton...mikazo inaendelea
Angalia msije mkakamuliwa...maana mna umachachari mwingi sanaBrighton tunamkamua
Tuliteleza kwa wale wabeba vyuma na mapipa ya zege NewcastleAngalia msije mkakamuliwa...maana mna umachachari mwingi sana
Wale Nyukesto Wana mbinu moja matata sana....wakiona hawakuwezi kimpira wanaanza kukupiga makofi na ngumu...mpk wakufunge🤠🤠Tuliteleza kwa wale wabeba vyuma na mapipa ya zege Newcastle
Brighton tunawapelekea moto