makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,819
- 103,873
Martinelli kukimbia huku anatizama chini kuna mfanya asione vingine au hapa kafanya uchoyo? Angepiga pasi jesus alikuwa anafunga kwa kugusa tu
Wasipojifunza mapema na kuja kwa nidhamu 2nd half, watajikuta wanakula 10 hawa🤠🤠🤠🤠...tatizo wanataka kupishana na sisi...wenzao wanaokujaga pale Emirates huwa wanapaki basi wao wanajifanya wajuaji...wacha tuwape lekcha leo
Kwa spidi ile ya mpira na yeye mwenyewe sidhani kama angeweza kutafuta mwenzake. Pale uamuzi sahihi ni kutafuta lango tu kwa shutiMartinelli kukimbia huku anatizama chini kuna mfanya asione vingine au hapa kafanya uchoyo? Angepiga pasi jesus alikuwa anafunga kwa kugusa tu
Sema tawileyanatupwa mawe juu ya mayai..
Kipindi cha pili waingizwe kina Cedric..mara sijui elneny na kuna majina ya ajabuajabu nimeyaona kwny sub nao wajipime kidogo na hawa mabwana wadogo...hli kono la nyani linatosha...haina haja ya kuwadhalilisha mpk wakajiona kama wao ni kundi moja na Manunu wakati wao wana Point 5 ila wale mabraza wa matofali ya kuchoma wana 3🤠🤠Wasipojifunza mapema na kuja kwa nidhamu 2nd half, watajikuta wanakula 10 hawa
"Mshike huyooooo"Kuna uwezekano wasirudi uwanjani hizi fisi za ufarasa
Security guard asikimbie mtu huko, hii shughuli lazima iishe
Haina haja mkuu....aingie nketiah tu na wengine ambao hawajawahi kucheza....wachezaji muhimu watoke...jumamosi tuna lekcha nyingine tunataka kutoa....maana kuna timu za ligi kuu tunatakiwa tutoe mfano kwao naoAnaingia trossad
Anaingia Nketiah
Goma linakua Kama limeanza upya
Score808Daaaaahh hii link mbn inanisumbua
Basi apigwe wikiHaina haja mkuu....aingie nketiah tu na wengine ambao hawajawahi kucheza....wachezaji muhimu watoke...jumamosi tuna lekcha nyingine tunataka kutoa....maana kuna timu za ligi kuu tunatakiwa tutoe mfano kwao nao
🤣🤣🤣 wana point 4 wajinga wale. P5, W1, D1, L3. Sasa sijui walikuja huku champions league kufanya nini. Wangeenda hata shambani kulima angalau wawe wamefanya la maana kuliko kuja kupoteza muda wa watu huku.Kipindi cha pili waingizwe kina Cedric..mara sijui elneny na kuna majina ya ajabuajabu nimeyaona kwny sub nao wajipime kidogo na hawa mabwana wadogo...hli kono la nyani linatosha...haina haja ya kuwadhalilisha mpk wakajiona kama wao ni kundi moja na Manunu wakati wao wana Point 5 ila wale mabraza wa matofali ya kuchoma wana 3🤠🤠
Alikuwa anaweza kupiga ka cross ka chini chini, na jesus angegusa tu, pale ni aidha hajamuona mwenzie au kaleta tamaa tu.Kwa spidi ile ya mpira na yeye mwenyewe sidhani kama angeweza kutafuta mwenzake. Pale uamuzi sahihi ni kutafuta lango tu kwa shuti
Yea. Hakumuona. Angepiga ka cross ka chini chini ingekuwa ni kupiga akiombea kuwe na mtu wetu wa kumalizia au beki ajichanganye ajifungeAlikuwa anaweza kupiga ka cross ka chini chini, na jesus angegusa tu, pale ni aidha hajamuona mwenzie au kaleta tamaa tu.


, hawa tusipochange gia wanakula 8 hawa.