Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

🤠🤠🤠🤠...tatizo wanataka kupishana na sisi...wenzao wanaokujaga pale Emirates huwa wanapaki basi wao wanajifanya wajuaji...wacha tuwape lekcha leo
Wasipojifunza mapema na kuja kwa nidhamu 2nd half, watajikuta wanakula 10 hawa
 
Martinelli kukimbia huku anatizama chini kuna mfanya asione vingine au hapa kafanya uchoyo? Angepiga pasi jesus alikuwa anafunga kwa kugusa tu
Kwa spidi ile ya mpira na yeye mwenyewe sidhani kama angeweza kutafuta mwenzake. Pale uamuzi sahihi ni kutafuta lango tu kwa shuti
 
Wasipojifunza mapema na kuja kwa nidhamu 2nd half, watajikuta wanakula 10 hawa
Kipindi cha pili waingizwe kina Cedric..mara sijui elneny na kuna majina ya ajabuajabu nimeyaona kwny sub nao wajipime kidogo na hawa mabwana wadogo...hli kono la nyani linatosha...haina haja ya kuwadhalilisha mpk wakajiona kama wao ni kundi moja na Manunu wakati wao wana Point 5 ila wale mabraza wa matofali ya kuchoma wana 3🤠🤠
 
Anaingia trossad
Anaingia Nketiah

Goma linakua Kama limeanza upya
Haina haja mkuu....aingie nketiah tu na wengine ambao hawajawahi kucheza....wachezaji muhimu watoke...jumamosi tuna lekcha nyingine tunataka kutoa....maana kuna timu za ligi kuu tunatakiwa tutoe mfano kwao nao
 
Kipindi cha pili waingizwe kina Cedric..mara sijui elneny na kuna majina ya ajabuajabu nimeyaona kwny sub nao wajipime kidogo na hawa mabwana wadogo...hli kono la nyani linatosha...haina haja ya kuwadhalilisha mpk wakajiona kama wao ni kundi moja na Manunu wakati wao wana Point 5 ila wale mabraza wa matofali ya kuchoma wana 3🤠🤠
🤣🤣🤣 wana point 4 wajinga wale. P5, W1, D1, L3. Sasa sijui walikuja huku champions league kufanya nini. Wangeenda hata shambani kulima angalau wawe wamefanya la maana kuliko kuja kupoteza muda wa watu huku.
 
Alikuwa anaweza kupiga ka cross ka chini chini, na jesus angegusa tu, pale ni aidha hajamuona mwenzie au kaleta tamaa tu.
Yea. Hakumuona. Angepiga ka cross ka chini chini ingekuwa ni kupiga akiombea kuwe na mtu wetu wa kumalizia au beki ajichanganye ajifunge
 
Nakumbuka wakati hawa Lens wanatupiga bao kule kwao, kuna qatu walikuja kulishambulia hili jukwaa na kumlipiga sana Spana Hamis nakumbuka kauli moja ya hamisi alisema ""ivi hawa Lens kama Arsenal angekua anataka point tatu ili afuzu hatua inayofuata angeweza ubavu wa kupishana na Arsenal"" walimpiga sana na hamis aliahid wakija Emirates watakula bao 4, ila hadi half time kashakula Kono la Nyani dadeki, hawa tusipochange gia wanakula 8 hawa.

Hizi ni salama tu kwa yoyote ndani ya ligi aliyepata hata angalau pointi moja first round, ajiandae kwa Second round kutoboka goal nyingi kama kauli ya Castr kua Ligi tutainza January
 
Back
Top Bottom