mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,226
Sevilla amekufaYea. Hapa Sevilla washinde tu ila sijui kama watatoboa na watu 10
Biashara asubuhi, tumpige lens mapema tuangalie ustarabu mwingine
Sevilla amekufaYea. Hapa Sevilla washinde tu ila sijui kama watatoboa na watu 10
Kabisa mkuu. Vijana waende kutekeleza kile tulichowatuma. Wasibembeleze wala wasirembe. Shinda gemu mapema tuangalie ustaarabu mwingineSevilla amekufa
Biashara asubuhi, tumpige lens mapema tuangalie ustarabu mwingine
Hawa watu inaonekana kama leo wameyatimba kwa kweliWalitaka kutuchukulia poa, kumbe arsenal sisi ni watoto wa town
Mkuu inaonekana maneno yako yanatimia ndani ya nusu saa tuKaribuni sana ndugu zetu saa 5 usiku kwa majira ya saa za afrika mashabiki mshuhudie namna tunavyotoa shule ya soka kwa wadogo zetu kutoka ufaransa...kile walichokifanya siku ile kule kwao leo watajuta kwnn walikifanya maana ule ulikuwa ni utovu wa nidhamu🤠🤠🤠...tutawadunda na tutawafundisha namna ya kucheza soka safi
Jaribu kuanza google 808 sportsDaaaaahh hii link mbn inanisumbua
🤠🤠🤠🤠...tatizo wanataka kupishana na sisi...wenzao wanaokujaga pale Emirates huwa wanapaki basi wao wanajifanya wajuaji...wacha tuwape lekcha leoMkuu inaonekana maneno yako yanatimia ndani ya nusu saa tu