makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,839
- 103,949
Hii game tupambane, naimani wataingia kutukazia, game waliyompiga tott 2-1 walinitisha kwa kweliJumamosi tupo nyumbani dhidi ya Wolves, ni mechi ambayo hata wao wanaitaka, kocha Oneil kwa comment yake ya jana anaonekana anatamani kufundisha timu kubwa, na hizi ndio mechi wanazotumia makocha kama huyu kuionesha dunia Uwezo wao, unakumbuka Arsenal (3-2) bournemouth dakika za lala salama? Alikuwa huyuhuyu kocha, na mimi sipo tayari kuona Arsenal inadondosha point kwa timu kama wolves sasa. Ubingwa wa Ligi ni marathon. Lets go gunners.

