Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Jumamosi tupo nyumbani dhidi ya Wolves, ni mechi ambayo hata wao wanaitaka, kocha Oneil kwa comment yake ya jana anaonekana anatamani kufundisha timu kubwa, na hizi ndio mechi wanazotumia makocha kama huyu kuionesha dunia Uwezo wao, unakumbuka Arsenal (3-2) bournemouth dakika za lala salama? Alikuwa huyuhuyu kocha, na mimi sipo tayari kuona Arsenal inadondosha point kwa timu kama wolves sasa. Ubingwa wa Ligi ni marathon. Lets go gunners.
Hii game tupambane, naimani wataingia kutukazia, game waliyompiga tott 2-1 walinitisha kwa kweli
 
Jumamosi tupo nyumbani dhidi ya Wolves, ni mechi ambayo hata wao wanaitaka, kocha Oneil kwa comment yake ya jana anaonekana anatamani kufundisha timu kubwa, na hizi ndio mechi wanazotumia makocha kama huyu kuionesha dunia Uwezo wao, unakumbuka Arsenal (3-2) bournemouth dakika za lala salama? Alikuwa huyuhuyu kocha, na mimi sipo tayari kuona Arsenal inadondosha point kwa timu kama wolves sasa. Ubingwa wa Ligi ni marathon. Lets go gunners.
Napenda kuwafatilia Sana wapinzani wiki moja kabla ya mechi

Wolves wapo vzr kwenye buildup ,Lemina Gomes pale Kati ndio mihimili Yao,

Jana wote wamepata kadi za njano na kufikisha 5 kila mmoja ,wote wanaikosa mechi na Arsenal .,pia watamkosa Pedro Neto

Halafu wanakuja Emirates wakiwa uchi kwenye midfield vs BEMUNDA TRIANGLE.
 
Ndani ya box lao wako 9 lakini nyie mnaoshambulia mko 4, hao 5 wenu mmewaacha nje ya box wanafanya shughuli gani uko nyuma dhidi ya mchezaji 1 wa Brentford?

Usichoelewa ni kuwa mnapojazana kwenye box la opponent mnakuwa sehemu ya ulinzi. Imagine na Arsenal wangekuwa 9 humo ndani ya box kuwe na jumla ya outfield players 18 hata hiyo space ya kushoot ama kupiga pass inatoka wapi?

Set pieces zenyewe watu hawaingii wote ndani ya box pamoja na kuwa inajulikana mpira utadondoshwa hapo golini.
 
Usichoelewa ni kuwa mnapojazana kwenye box la opponent mnakuwa sehemu ya ulinzi. Imagine na Arsenal wangekuwa 9 humo ndani ya box kuwe na jumla ya outfield players 18 hata hiyo space ya kushoot ama kupiga pass inatoka wapi?

Set pieces zenyewe watu hawaingii wote ndani ya box pamoja na kuwa inajulikana mpira utadondoshwa hapo golini.
Mashabiki wa Man Utd kama huyo huwa tunawa ignore, maana hawapo kwa ajili ya kuongea mpira.
 
A little Mozart.. Yule jamaa alikuwa fundi saana, uchawi majeruhi moja ya vipaji ambavyo havikufikia ubora wake halisi. Majeruhi ni adui namba oja kwa mwanamichezo.
Huwa nikimuona Modric uwanjani ni kama vile namuona Tom, utofauti ni majeruhi kama unavyosema, kuna kipindi tulikuwa na Tomas, hleb, Fabregas, Van persie, Adebayor, badae akaja fundi Samir Nasri. Mzee Wenger alistahili kuchukua EPL kipindi hiki, ulikuwa unapigwa mpira mwingi mno. Kuna wachezaji hatuwakumbuki sababu waliondoka vibaya ila ukweli ni kwamba Samir Nasr anajua mpira na hatujapata mchezaji kama huyu kwa muda mrefu sasa.
 
Huwa linanifurahisha Sana zikifika hizo dakika,halafu awepo na zinny

Ni pass after pass

Nimemkumbuka Sana Uncle Tom , yule mwamba hajui kurudisha mpira nyuma ,Ni mbele kwa mbele
Tomas Rosicky kipaji kikubwa na akili nyingi, yaani anachezesha timu na ukizubaa anakufunga mwenyewe, Wenger alikuwa ana jicho la kuona wachezaji yule mzee. Afu kuna Andy Arshavin pia alicheza na Rosicky
 
Joao Gomes suspended for Arsenal next week after that booking and Ait-Nouri looks injured. Lemina is one yellow away from a one-match ban too. #AFC
 
Huwa nikimuona Modric uwanjani ni kama vile namuona Tom, utofauti ni majeruhi kama unavyosema, kuna kipindi tulikuwa na Tomas, hleb, Fabregas, Van persie, Adebayor, badae akaja fundi Samir Nasri. Mzee Wenger alistahili kuchukua EPL kipindi hiki, ulikuwa unapigwa mpira mwingi mno. Kuna wachezaji hatuwakumbuki sababu waliondoka vibaya ila ukweli ni kwamba Samir Nasr anajua mpira na hatujapata mchezaji kama huyu kwa muda mrefu sasa.
Umenikumbusha samir nasri, wachezaji wenye asili ya uarabuni ni wajeuri jeuri saana hawa,
Nimekumbuka national team alivyokorofisha na th14 kisa siti 😂

Kwa kipaji tu, samir alikuwa na kipaji kikubwa, uwezo wake wa kuficha mpira mguuni, kuna game tunawafunga man u, nadhani ndio ilikuwa debut yake, aliupiga mwingi saana.
 
Tomas Rosicky kipaji kikubwa na akili nyingi, yaani anachezesha timu na ukizubaa anakufunga mwenyewe, Wenger alikuwa ana jicho la kuona wachezaji yule mzee. Afu kuna Andy Arshavin pia alicheza na Rosicky
Kwangu mimi huyu ni moja ya viungo bora niliowaona kwa macho yangu.nilikuwa napenda zile turning zake na jinsi anvyojoin na kukontrol temple,kuficha mpira,driving speed yake kutokana na temple ya mchezo.

Dah katika vitu wenger alikosa kipindi hicho ni attitude,spirit na proper motivation to win something
 
Umenikumbusha samir nasri, wachezaji wenye asili ya uarabuni ni wajeuri jeuri saana hawa,
Nimekumbuka national team alivyokorofisha na th14 kisa siti

Kwa kipaji tu, samir alikuwa na kipaji kikubwa, uwezo wake wa kuficha mpira mguuni, kuna game tunawafunga man u, nadhani ndio ilikuwa debut yake, aliupiga mwingi saana.
Aliwachukua akawarudisha,halafu akawamwaga
 
Umenikumbusha samir nasri, wachezaji wenye asili ya uarabuni ni wajeuri jeuri saana hawa,
Nimekumbuka national team alivyokorofisha na th14 kisa siti

Kwa kipaji tu, samir alikuwa na kipaji kikubwa, uwezo wake wa kuficha mpira mguuni, kuna game tunawafunga man u, nadhani ndio ilikuwa debut yake, aliupiga mwingi saana.
Wenger dah,nna heshima yake kubwa.nasri akicheza LCM nilikuwa napenda sana.kasi,shooting,decision making,low-block unlocking,kukokota,vision na accuracy yake

Nasri
 
Umenikumbusha samir nasri, wachezaji wenye asili ya uarabuni ni wajeuri jeuri saana hawa,
Nimekumbuka national team alivyokorofisha na th14 kisa siti

Kwa kipaji tu, samir alikuwa na kipaji kikubwa, uwezo wake wa kuficha mpira mguuni, kuna game tunawafunga man u, nadhani ndio ilikuwa debut yake, aliupiga mwingi saana.
Good old days mkuu
 
Wenger dah,nna heshima yake kubwa.nasri akicheza LCM nilikuwa napenda sana.kasi,shooting,decision making,low-block unlocking,kukokota,vision na accuracy yake

Nasri
Ndio kiazi cha kina hatem ben arfa, alikuwa anaujua, ila nae ni jeuri pia. 😂

Kwenye ubora wake nilitamani itokee siku acheze arsenal.
 
Back
Top Bottom